Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Toka hapa acha uongoo jezi zinazouzika wolves namba Moja za man u zimedoda zipo kibao hapa kariakooHujui unachokiongea.....
Mimi siangalii mtaani nani amevaa nini..
Naangalia mahitaji ya jezi kwa ujumla....
Jezi ya Man U ndiyo imeuza sana na tumeigiza maranyingi China kwa idadi kubwa kuliko hizo Wolve....
Wolve haingii hata kwa Madrid Black....
Acha ubishi..
Nini kinavaliwa sana mtaani ndo kinadetermine pia hata mahitaji ya jezi kwa ujumla, then jezi/product yyte kuuza sana tunaangalia kwny stage ya mwsho kabisa yani ya RETAILERS.Hujui unachokiongea.....
Mimi siangalii mtaani nani amevaa nini..
Naangalia mahitaji ya jezi kwa ujumla....
Jezi ya Man U ndiyo imeuza sana na tumeigiza maranyingi China kwa idadi kubwa kuliko hizo Wolve....
Wolve haingii hata kwa Madrid Black....
Acha ubishi..
Wanazipatia wapi hizoJezi zinauzwa kkoo buku nane mchina anauza buku mbili jero bei ya jumla, usishangae ukienda mbagala ukakuta inauzwa buku tano
Inter Milan-ItaliaKwanini mnaiita inter miami wakati ni inter Milan?
Jezi ya Necastle ya Mistari na ya Kijani Logo yake ni LiselaTimu ambazo Jezi zake zinauzika sana kwa sasa:-
1.Simba
2.Yanga
3.Wolves(Astropay ya Njano sanasana)
4.Al-Nassr
5.Mamelodi sundown
6.Real Madrid
7 Inter miami
8.Azam(Nyeupe na ile ya Njano)
9.Zanzibar Heroes
10.Manchester United(Team Viewer) etc
Unaeza ukaongeza hapo chini timu zngne zilizosahaulika..
Bila Ajax(Ziggo) na PSG basi hujui jezi kaliTimu ambazo Jezi zake zinauzika sana kwa sasa:-
1.Simba
2.Yanga
3.Wolves(Astropay ya Njano sanasana)
4.Al-Nassr
5.Mamelodi sundown
6.Real Madrid
7 Inter miami
8.Azam(Nyeupe na ile ya Njano)
9.Zanzibar Heroes
10.Manchester United(Team Viewer) etc
Unaeza ukaongeza hapo chini timu zngne zilizosahaulika..
Uzi umenyooka.Imebidi mpaka niende Google kuangalia hiyo Jersey View attachment 2977702
KariakooWanazipatia wapi hizo
Weka Arsenal namba moja hapo..1. Man City light blue
2. Madrid white
3. Bayern white cream
3. Madrid black
4. Al Nasr green
5. Inter Miami black pink
6. Ajax
7. Tottenham
8. Man U
9. Arsenal
10. Liverpool white green
Hapana.Weka Arsenal namba moja hapo..
Hyo ya AS Roma bdo sjaipata mzee hzo zngne sure znafanya vzurii sana hasa hyo ya NewcastleJezi ya Newcastle ile ya Mistari na Kijani nazo zinauzika zina logo ya Lisela
ROMA Fc wala Jezi ya rangi ya Cream nayo iko pw sana sokoni
Jezi ya Necastle ya Mistari na ya Kijani Logo yake ni Lisela
Jezi ya Roma Fc ya Yangu ya Cream
Jezi ya timu ya Uarabuni anayocheza Benzama ina rangi ya Blue blue
Sijui kwanini jezi za timu ndogo ulaya ndio zinakua nzuriHyo ya AS Roma bdo sjaipata mzee hzo zngne sure znafanya vzurii sana hasa hyo ya Newcastle
Yaaa na hii imekua kubwa sana kwny miaka ya karibun maana zaman kdogo watu walikua wananunua jezi kishabiki ila sahv jezi zmekua km vazi la Mtoko ndo mana watu hawanunui sana kishabiki kikubwa uzuri wa jeziSijui kwanini jezi za timu ndogo ulaya ndio zinakua nzuri
Big NO..Weka Arsenal namba moja hapo..
Hapo kuhusu duka la timu au authorised dealer nmekupata sanaaaSoko..., kuna market ya Jerseys / mashabiki hence wauzaji wanatumia fursa....
Kutengenezwa ni pengi tu na bei unayopewa sio necessarily authenticity bali ni eneo lilipo na purchasing power ya wahusika..,
Ukitaka kuhakikisha pesa inaingia kwenye timu yake kanunue kwenye duka la timu au authorized dealer..., Kuhusu timu kunafaika hata isiponufaika kwa faranga itanufaika kwa promo watu wengi kuvaa uzi wao....
By the way uzi mwingi unaonunua / uziwa ni replica....
Wolverhampton timu ndogo lakini kwenye jezi walipatia.Timu ambazo Jezi zake zinauzika sana kwa sasa:-
1.Simba
2.Yanga
3.Wolves(Astropay ya Njano sanasana)
4.Al-Nassr
5.Mamelodi sundown
6.Real Madrid
7 Inter miami
8.Azam(Nyeupe na ile ya Njano)
9.Zanzibar Heroes
10.Manchester United(Team Viewer) etc
Unaeza ukaongeza hapo chini timu zngne zilizosahaulika..
Safiii hyo jezi hamna mtu isiyempendezaWolverhampton timu ndogo lakini kwenye jezi walipatia.
Mimi mwenyewe ninayo.
Asee hapa umesema juzi tu apa kabla ya sikukuu ya idi nimeingia k/koo kwamambo yangu mengine tu sinazikuta zimemwagwa kwene meza bei 6000 ,nikasema hizi Mwanjelwa situnajumlishiwa kwa 8000.? Nikajikusanyia kwa uwezo wangu kufika nazo Mbeya nami nikauza teni teni tu chap kwa haraka..Jezi zinauzwa kkoo buku nane mchina anauza buku mbili jero bei ya jumla, usishangae ukienda mbagala ukakuta inauzwa buku tano