FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #101
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana mkuu, hebu elezea kidogo food addiction inakuwaje na dawa yake nnKitaalum aina yoyote ya mchezo wa kamari unapoucheza kwa muda mrefu na ikiwa ndo kipaumbele chako kwa kila sekunde, saa, siku, wiki, mwezi, miezi, mwaka n.k tayari unakuwa umeathirika na unakuwa tegemezi wa kamari, hapo ndo mtu tunasema amekuwa na "GAMBLING ADDICTION" na inatibiwa kama aina ya ADDICTION YOYOTE kama ulivyotoa mfano wa dawa za kulevya, na mi naongezea pombe (alcohol), ngono (sex), sigara (nicotine), wizi, umbea, ulafi (greed), kiherere (co-dependency), chuki (jealousy), hasira (anger), manunuzi na matumizi (buying & spending), kazi (work), matumizi ya kahawa (caffeine), ugomvi (violence), dini (spititually), wasiwasi (worry), mawazo mgando (riggid thinking), chakula (food), mapenzi (love), nk mengine unaweza kuongezea.
Kuhusu "methadone" hii ni dawa inayotumiwa wa waathirikiwa wa madaya ya kulevya hasa cocaine na heroine kupunguza hamu (craving) ya dawa hizo, pia kitaalum nazo ziko katika mfumo wa dawa (drug) so ukitumia kwa muda mrefu pia nazo ugeuka kuwa tegemezi kwa mgonjwa na kusababisha ADDICTION, kwa maana hiyo nazo zinatakiwa kutumiwa kwa uangalifu na kwa usimamizi kwa hali ya juu toka kwa mtu mwenye taaluma hasa ya masuala ya utegemezi wa vitu (addiction) kwa bahati mbaya hapa nchini watu wanatumia hizo dawa bila ya hiyo tahadhari matokeo yake baada ya muda tutegemee WATU WALIOACHA DAWA ZA KULEVYA LAKINI WAKIWA TEGEMEZI WA DAWA YA "METHADONE" KWA MAISHA YAO YOTE.
Mwisho kwa mwathirika wa michezo ya kamari "GAMBLING ADDICTION" huyu hutumii methadone, bali anahitaji kitu kiitwacho recovery program from gambling addiction kutoka kwa wataalum wa saikolojia ambao kwa nchi za wenzetu wanapatika katika hospital za rufaa au vituo vya maalum vya uangalizi wa watu kwa muda maalum (sober house or rehabilitation centres)
😂😂😂😂😂😂Halafu eti watu wanashadadia kulinganisha addiction ya punyeto ama kuchabo kuwa inalingana na ya unga!
Acheni masihara yenu nyie!
Kwhyo kamari za miaka hiyo kulikua na odds,au sio....Mkuu kidogo katereza,kamali iko miaka na miaka kabla hata ya unga kuwepo duniani.
Watu wanacheza kamali
Kwni mpiga punyeto hupiga daily!?Ninabet, ninafanya kazi na sioni kama kuna addiction yoyote hapo. Kwa mfano, teja hawezi maliza siku bila kubwia unga, ila mimi naweza nikakaa hata wiki sijabet na sioni athari zozote zile..
Ukila unga unakuwa affected healthily and psychologically lakini kubet sioni kama ina athiri chochote unless ufanye kubet kama ni kazi yako ya msingi na si mchezo kama michezo mingine.. Anyway katika kubet pesa niliyopata ninakaribia kununua kavits sasahivi. Kubet kunanisaidia sana kiafya na kiuchumi, sababu nime divert yale matumizi ya weekend ya bia na nyama na kuhonga wahudumu na marafiki kule bar nimeamishia hilo fungu kwenye betting na huwa linanipa faida. Mwanzoni weekend ilikua inanimalizia hadi laki kwa kima cha chini lakini sasa napata zaidi ya laki kama faida kila weekend.
All in All kubet sio mashindano wala full time job, ukiendekeza unafilisika na utaishia kubwia unga
Safi sana mkuu, umeelekeza vizuri kabisa kitaalamu, nataka kuuliza, 'kiherehere' ni nini na addiction yake inakuwaje?Kitaalum aina yoyote ya mchezo wa kamari unapoucheza kwa muda mrefu na ikiwa ndo kipaumbele chako kwa kila sekunde, saa, siku, wiki, mwezi, miezi, mwaka n.k tayari unakuwa umeathirika na unakuwa tegemezi wa kamari, hapo ndo mtu tunasema amekuwa na "GAMBLING ADDICTION" na inatibiwa kama aina ya ADDICTION YOYOTE kama ulivyotoa mfano wa dawa za kulevya, na mi naongezea pombe (alcohol), ngono (sex), sigara (nicotine), wizi, umbea, ulafi (greed), kiherere (co-dependency), chuki (jealousy), hasira (anger), manunuzi na matumizi (buying & spending), kazi (work), matumizi ya kahawa (caffeine), ugomvi (violence), dini (spititually), wasiwasi (worry), mawazo mgando (riggid thinking), chakula (food), mapenzi (love), nk mengine unaweza kuongezea.
Kuhusu "methadone" hii ni dawa inayotumiwa wa waathirikiwa wa madaya ya kulevya hasa cocaine na heroine kupunguza hamu (craving) ya dawa hizo, pia kitaalum nazo ziko katika mfumo wa dawa (drug) so ukitumia kwa muda mrefu pia nazo ugeuka kuwa tegemezi kwa mgonjwa na kusababisha ADDICTION, kwa maana hiyo nazo zinatakiwa kutumiwa kwa uangalifu na kwa usimamizi kwa hali ya juu toka kwa mtu mwenye taaluma hasa ya masuala ya utegemezi wa vitu (addiction) kwa bahati mbaya hapa nchini watu wanatumia hizo dawa bila ya hiyo tahadhari matokeo yake baada ya muda tutegemee WATU WALIOACHA DAWA ZA KULEVYA LAKINI WAKIWA TEGEMEZI WA DAWA YA "METHADONE" KWA MAISHA YAO YOTE.
Mwisho kwa mwathirika wa michezo ya kamari "GAMBLING ADDICTION" huyu hutumii methadone, bali anahitaji kitu kiitwacho recovery program from gambling addiction kutoka kwa wataalum wa saikolojia ambao kwa nchi za wenzetu wanapatika katika hospital za rufaa au vituo vya maalum vya uangalizi wa watu kwa muda maalum (sober house or rehabilitation centres)
Duh sasa mwana hii 2022 sii utakuwa na range rover kabisaNinabet, ninafanya kazi na sioni kama kuna addiction yoyote hapo. Kwa mfano, teja hawezi maliza siku bila kubwia unga, ila mimi naweza nikakaa hata wiki sijabet na sioni athari zozote zile..
Ukila unga unakuwa affected healthily and psychologically lakini kubet sioni kama ina athiri chochote unless ufanye kubet kama ni kazi yako ya msingi na si mchezo kama michezo mingine.. Anyway katika kubet pesa niliyopata ninakaribia kununua kavits sasahivi. Kubet kunanisaidia sana kiafya na kiuchumi, sababu nime divert yale matumizi ya weekend ya bia na nyama na kuhonga wahudumu na marafiki kule bar nimeamishia hilo fungu kwenye betting na huwa linanipa faida. Mwanzoni weekend ilikua inanimalizia hadi laki kwa kima cha chini lakini sasa napata zaidi ya laki kama faida kila weekend.
All in All kubet sio mashindano wala full time job, ukiendekeza unafilisika na utaishia kubwia unga
Ndiyo.Kwni mpiga punyeto hupiga daily!?
Sifahamu. Ila kwasasa nina miaka karibia mitano sijabetKwni mpiga punyeto hupiga daily!?
Nina miaka zaidi ya mitano now sijabrt..Duh sasa mwana hii 2022 sii utakuwa na range rover kabisa
Hutaki kupiga hela tena mwanawane?Nina miaka zaidi ya mitano now sijabrt..
Betting sio kazi na sikuwa addicted nayo.. Niliamua kuacha tu. Mambo mengine yananipa pesa ndio nimewekeza muda na akili huko..Hutaki kupiga hela tena mwanawane?