Biashara ya Kamari: Mbadala wa Dawa za Kulevya?

Biashara ya Kamari: Mbadala wa Dawa za Kulevya?

Mimi nimebet sana wakati ndiyo inaanza anza 2012 hadi 2016 nikaachana nayo, nahisi nimeweza kuacha kwasababu sikuwa addicted kihivyo, nimeshakula fedha ndefu ndefu kdg, tsh 887,609/= na 1,123,040/=
 
Mmh aisee hatari..ukitaka kujua kuwa hii biashara
ni vigumu serikali kupambana nayo

angalia nchi kama colombia na mexico yaani huko wanampaka majeshi yao ya kujilinda

pia wametengeneza mtandao wao wa simu wa mawasiliano


HII BIASHARA NI NGUMU SERIKALI KUPAMBANA NAYO

PIA HATA ILE NDEGE YA MKULU NINA WASIWASI NAYO

MAANA SAFARI KILA KUMEKUCHA..
Ni mpango uliopo kwenye ilani ya ccm
 
Wazee wa kuweka mizigo ( kubet) njooni huku uzi wetu una dhalilishwa
 
Kampuni hizi zinatengeneza hela mpaka unashangaa na kujua kweli betting ni ugonjwa na addiction kama pombe, sigara, na drugs

Miezi kadhaa iliyopita kuna Dada mmoja ambaye ni director wa 365 alijilipa hela ambazo hata ukiambiwa unaweza kubisha mpaka kwa ushahidi kama huu
a7c4fed2a18de77cfca1b0a9f41c3a41.jpg


Sent from my SM using Tapatalk
 
 
nenda kaone rais wa ufilipino alivyo wafanya wauza unga nchi zote zijifunze kwa rais wa ufilipino
 
Kwa wale ambao mmeshawahi kusikia namna 'punda' wa 'sembe ya mwakyembe' wanavyo 'packiwa' mizigo ya kusafirisha mtakubaliana na mimi kwamba biashara hii 'takatifu' ina faida kubwa iliyotukuka. Ni ukweli unaosikitisha kwamba 'pipi' za 'sembe' hushindiliwa kupitia njia ya nyuma mpaka tumbo lijae kisawa sawa, udhalilishaji!

Sasa turudi kwenye mada, habari za uhakika kutoka kwa mmoja wa wazungu wanaomiliki makampuni ya kamari hapa nchini, zimevujisha kwamba, Kamari ya mpira ni 'addiction' mpya ambayo imekuwa purposely introduced globally ku-replace madawa ya kulevya, biashara hii ya kamari ina faida mara tatu kuliko madawa ya kulevya, na gharama za uendeshaji pia ni robo tu ya gharama ya kusafirisha na kuuza madawa. (And its just as addictive as madawa, ukianza huachi mpaka kufa!)

Mtandao huo wa 'kingpins' ulifanya uchunguzi hivi karibuni na kugundua kwamba, addiction kupitia madawa japo inawatajirisha madhara yake kwa dunia ni kubwa mno kiujumla!, nguvu kazi inapotea kiasi kwamba hizo fedha nyingi huishia kutibu madhara yaliyosababishwa na madawa (Mfano ukikabwa na teja akakutoa utumbo kwa sababu ya Iphone,ili yeye akapate dawa), hivyo biashara hii imepoteza viability. Amevujisha kwamba ma 'king pin' wa biashara hii wameamua ku-eradicate 'addiction' ya madawa hapa duniana na ku-'re enslave' the masses kwa kutumia addiction mpya iliyoboreshwa ya mpira na michezo kiujumla. (its better in every perspective).
(Kama hujaanza mshukuru Mungu na akulinde usiingie huko, ukiingia huko utajuta, kwani huwezi kuacha!), YOU WILL BE ENSLAVED!

Baada ya miaka mitano,65% ya vijana watakuwa wakijishughulisha na 'kusuka mikeka' badala ya kufanya shughuli za uzalishaji bidhaa na huduma. Consequently uchumi wa mataifa (hasa vichwa vya panzi kama 'wadanganyika', stupid kabisa!) utayumba kutokana na watu kutofanya kazi, lakini uchumi wa mataifa yanayomiliki hizi betting systems (hasa wazungu) utapaa kama mbayuwayu.

YOU'VE BEEN WARNED!

DON FRANCIS
==================================
18/05/2018
Update: News Alert: - Wazee Arosto la kubeti halina tofauti na kuvuta unga (cocaine)


=======================================
04/06/2018
UPDATE: Bunge laongea, hatimaye yanatimia


Si kweli huwezi kufananisha betting na unga haupo serious yaan alosto ya teja wa madawa ukafananishe na waeka mikeka..

Mm nilikuwa na nafanya betting sana hadi nikawa na limashine lile la premier betting home ndani najimaliza mwenyewe ila niliamua kuacha ghafla tu kubetting na nikarudisha hile mashine kwenye office zao.

Na hadi leo wala sijihisi chochote.
 
Si kweli huwezi kufananisha betting na unga haupo serious yaan alosto ya teja wa madawa ukafananishe na waeka mikeka..

Mm nilikuwa na nafanya betting sana hadi nikawa na limashine lile la premier betting home ndani najimaliza mwenyewe ila niliamua kuacha ghafla tu kubetting na nikarudisha hile mashine kwenye office zao.

Na hadi leo wala sijihisi chochote.
Hata mateja wapo wanaopona na kuacha kabisa......kwahiyo hii hoja yako haina uzito.

Ila fahamu kitu kimoja, kubet nayo imekuwa ni tatizo na ni uraibu kama mwingineo mfano, punyeto, drugs, ulevi wa pombe, kutazama ngono, na vinginevyo....
 
Back
Top Bottom