Kwa wale ambao mmeshawahi kusikia namna 'punda' wa 'sembe ya mwakyembe' wanavyo 'packiwa' mizigo ya kusafirisha mtakubaliana na mimi kwamba biashara hii 'takatifu' ina faida kubwa iliyotukuka(Muulizeni first boy). Ni ukweli unaosikitisha kwamba 'pipi' za 'sembe' hushindiliwa kupitia njia ya nyuma mpaka tumbo lijae kisawa sawa, udhalilishaji!
Sasa turudi kwenye mada, habari za uhakika kutoka kwa mmoja wa wazungu wanaomiliki makampuni ya kamari hapa nchini, zimevujisha kwamba, Kamari ya mpira ni 'addiction' mpya ambayo imekuwa purposely introduced globally ku-replace madawa ya kulevya, biashara hii ya kamari ina faida mara tatu kuliko madawa ya kulevya, na gharama za uendeshaji pia ni robo tu ya gharama ya kusafirisha na kuuza madawa. (And its just as addictive as madawa, ukianza huachi mpaka kufa!)
Mzungu huyo ameweka wazi kwamba, biashara ya madawa kote duniani (hata Tanzania) hufanyika with the full knowledge and support ya vigogo wa serikali, kuanzia Rais mpaka mawaziri husika, ilimradi tu unapeleka due deligence kwa hao vigogo wanaokulinda, na kwamba wale wanaokamatwa hufanya biashara hii bila kupeleka ada (due deligence) kwa wahusika wenye dhamana ndani ya nchi husika, amesema kwa hili, hata Obama hawezi kukwepa (Gharama za uchaguzi ni kubwa mno!).
Mtandao huO wa 'kingpins' ulifanya uchunguzi hivi karibuni na kugundua kwamba, addiction kupitia madawa japo inawatajirisha madhara yake kwa dunia ni kubwa mno kiujumla!, nguvu kazi inapotea kiasi kwamba hizo fedha nyingi huishia kutibu madhara yaliyosababishwa na madawa (Mfano ukikabwa na teja akakutoa utumbo kwa sababu ya Iphone,ili yeye akapate dawa), hivyo biashara hii imepoteza viability. Amevujisha kwamba ma 'king pin' wa biashara hii wameamua ku-eradicate 'addiction' ya madawa hapa duniana na ku-'re enslave' the masses kwa kutumia addiction mpya iliyoboreshwa ya mpira na michezo kiujumla. (its better in every perspective).
Katika kutekeleza hili, matrillioni ya pesa yametengwa ili kuongeza idadi ya vituo vya kugawa 'methadone' kwa gharama nafuu kabisa, ili nguvu kazi hii iache kutumia madawa na badala yake waende kwenye 'addiction' ya kamari. (Kama hujaanza mshukuru unaemwabudu, na akulinde usiingie huko, naapa kwa jina la unaemwamini, utajuta, kwani huwezi kuacha!), YOU WILL BE ENSLAVED!
Kwa sasa tunaweza tukajifariji, kwani amenihakikishia, baada ya miaka mitano, hakuna mtu atakaweza kupata access ya madawa popote pale duniani, kwani hakuna kitu kinafanyika bila wa kujua, na badala yake, 65% ya vijana watakuwa wakijishughulisha na 'kusuka mikeka' badala ya kufanya shughuli za uzalishaji bidhaa na huduma. Consequently uchumi wa mataifa (hasa vichwa vya panzi kama 'wadanganyika', stupid kabisa!) utayumba kutokana na watu kutofanya kazi, lakini uchumi wa mataifa yanayomiliki hizi betting systems (hasa wazungu) utapaa kama mbayuwayu. YOU'VE BEEN WARNED!
DON FRANCIS