luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
mwanzo unakuwaga mgumuboss
hongera ....vp unanishaurije mtu anayeanza kuhusu namna bora ya management vifaa na wateja
Na kwa kuongezea hapo hapo mkuu kwa siku 30 za mwanzo wa kutafuta za wateja atafute wadada kama watano.....Boresheni mabanda yenu na wanawake waingie,wanawake wakiingia tu mtapata nyomi zaidi
hahahhahhh asante ase hii lazma niapply mkuu........ buku tanoatno mbona ntawpataNa kwa kuongezea hapo hapo mkuu kwa siku 30 za mwanzo wa kutafuta za wateja atafute wadada kama watano.....
Kama ana uwezo. Hao itakua ndo watamvutia wateja na iwe wanafahamiana makubaliano ya malipo baada ya kupatikana wateja.
Gharama ya dstv ikoje?Azam wataonesha Kombe la dunia kupitia channel yao moja tu ZBC2....
Ukiweza nunua dikoda zote mbili Azam na Dstv..
Kila la kheri aisee mangiWakuu salama?
Nipo kijj flan HV...Geita.
Hapa hakuna sehemu ya kuangalia mpira tofauti na kwa mwal mmoja ambaye ameweka nyumbani lakn ana azam na TV ndogo lakn jamaa wanaenda kuangalia.
Nimeona nijaribu kutumia hii fursa ili nidake na kombe la Dunia litakapo anza.
Kwa uzoefu wenu azam ina mechi zote hasa za nje? Au niangalie dstv?
Dstv bei gan installation na malipo kwa mwezi?
Umeme nitatumia sola au jenereta.
Makadirio ya Wateja ni 50/mechi na kama patakuwa pazuri inawwza kuzidi.
Naomba michango ya mawazo wakuu.
Inatumia dish la kawaida Mkuu?Tafuta receiver ya canal inauzwa kati ya 170-230K kutegemea na sehemu..then kila mwezi unalipia elfu 40 tu,unapata kuona mechi zote za ligi zote na kuna channel 100+.
View attachment 696170
Hizi ligi za ulaya ni kila siku?50 x 500=25000
maana yake kwa mwez mzima utaingiza zaidi ya 750000
Ni pesa nzuri,komaa mwana
HahahahahaNitajie kijiji gani hapo tayar nipo njian Nakuja nina dstv na azam pamoja tv nch52 tatu
50 x 500=25000
maana yake kwa mwez mzima utaingiza zaidi ya 750000
Ni pesa nzuri,komaa mwana