luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
mwanzo unakuwaga mgumuboss
hongera ....vp unanishaurije mtu anayeanza kuhusu namna bora ya management vifaa na wateja
namshauri anaeanza atafute sehemu yenye vijana vijana kwa maAna ya location
pia ili kuvuta wateja kirahisi,unatafuta ile mashine ya kubetisha vijana watajaa maana watabet na kutazama mpira hapo hapo
pia unaatakiwa uonyeshe kwa jero tu ndio utapata hela ulifanya buku huyopata wateja