Milion 20 nyingi sana mkuu! M 7 mpaka 10 zinatosha sanaIla inabidi mtaji mkubwa wa kuanzia, arround 20,000,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Milion 20 nyingi sana mkuu! M 7 mpaka 10 zinatosha sanaIla inabidi mtaji mkubwa wa kuanzia, arround 20,000,000
na serikali ikishajua tra wanakuja mpaka mlangoni kuangalia ni wangapi wameingia, mechi inaisha wanapiga makadirio yao na unawapa chaoChangamoto hii biashara kila kona kuna hayo mabanda hivyo kupata watu 150 ni sehemu chache wanaotengeneza pesa ya uhakika pia inabidi ujue kuna siku nne za jumapili kwa mwezi za kupata gem zakukuingizia pesa za uhakika kuna kodi ya mwenye ardhi ulipo jenga banda lako pia kuna serikali piga hesabu ya faida yako
Milion 7 mpaka 10Yote 9 10 mtaji was kuanzia Kama wangapi??
Nifanyie mpango na mm piaWasiliana na watu waluoko kigoma au ngara km vipi nikuunganishe
Dstv wanaonyesha Serie A channel ya RAIMimi pia ni mfanya biashara wa viewing centre huku Mombasa, Kenya. Niliamua kuchukua beIN kwa sababu DSTV imepata competition kutoka kwa Kwese. Kwese ndiyo inayo onyesha EFL. Na ingawa unaweza kuangalia Kwese kwa Muda wa siku 3 for just $4, niliona ni usumbufu! Besides, natumia decoder ya beIN PVR ambayo hurekodi movies halafu natumia kuonyesha watu. Watu huja kutazama ligue 1, serie A na Bundesliga pia - kitu ambacho DSTV hawana
Fact,ilinitokea Mimi.Plan kubwa ni kuweka longterms goals koz kuna saa nahisi kama ukikodisha mahal mwenye eneo au nyumba akiona mpunga unaoingiza... baada ya mkataba kuisha anaeza kukuamisha ata vunga baada ya mda ataliendeleza... sasa apo bora kukomaa kununua kila kitu na kumiliki... kuanzia apo ni kuvuna tu.. na tafta eneo kubwa..
pole man.. duu mi nmehisi ii kitu kabla sjaanza so vipi ulifanikiwa kufungua pengine.. ? bizi inaendajeFact,ilinitokea Mimi.
MakubwaaaaKweli ni TAPELI nilimpa pesa akanifanyia uhuni siwashauri kabisa.....
Npo katika mchakato wa kumalizia Malipo ya Eneo jingine, nianze tenaapole man.. duu mi nmehisi ii kitu kabla sjaanza so vipi ulifanikiwa kufungua pengine.. ? bizi inaendaje
M4 ndio kitu ganii ???Boss bila M4 hutoboi hii kitu Just ione hivyo tu ni shida [emoji23][emoji23][emoji23]
beIN inauzwa being gaaanii kwa sasa ???Mimi pia ni mfanya biashara wa viewing centre huku Mombasa, Kenya. Niliamua kuchukua beIN kwa sababu DSTV imepata competition kutoka kwa Kwese. Kwese ndiyo inayo onyesha EFL. Na ingawa unaweza kuangalia Kwese kwa Muda wa siku 3 for just $4, niliona ni usumbufu! Besides, natumia decoder ya beIN PVR ambayo hurekodi movies halafu natumia kuonyesha watu. Watu huja kutazama ligue 1, serie A na Bundesliga pia - kitu ambacho DSTV hawana