Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,537
- 3,873
Usinunue tv mkuu jitahidi ununue zile za mwanga tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio. Karibu.
1. A 2 z Soccer Hall .Tupo Kibaha mkabara na kanisa la TAG
2. Vijana Stadium . Tupo Tandale kwa tumbo.
Huduma zetu ni nzuri sana. Kumbi za kisasa zenye kila kitu cha kisasa. Usalama wa uhakika muda wote. Sreen Tv ziko zaidi ta tatu na zimefungwa mahara sahihi kila mtu kuona. Huduma zote zipo: Vocha na vinywaji baridi. Hatutaki ushabiki wa kishamba, wa ulimbukeni na hatutaki vurugu!.
Karibuni wote. Njoo na marafiki zako; njoo na familia yako; njoo na mpenzi wako kumbi zote zetu ni mahara salama pa kupumzikia; kupunguzia stress na kuburudika ki soccer!
Mkuu nimeipenda hii idea na nilikua naumiza kichwa namna ya kuanza. Umesaidia sana.Ndio. Karibu
1. A 2 z Soccer Hall .Tupo Kibaha mkabara na kanisa la TAG
2. Vijana Stadium . Tupo Tandale kwa tumbo.
Huduma zetu ni nzuri sana. Kumbi za kisasa zenye kila kitu cha kisasa. Usalama wa uhakika muda wote. Sreen Tv ziko zaidi ta tatu na zimefungwa mahara sahihi kila mtu kuona. Huduma zote zipo: Vocha na vinywaji baridi. Hatutaki ushabiki wa kishamba, wa ulimbukeni na hatutaki vurugu!.
Karibuni wote. Njoo na marafiki zako; njoo na familia yako; njoo na mpenzi wako kumbi zote zetu ni mahara salama pa kupumzikia; kupunguzia stress na kuburudika ki soccer!
Duuh zile za mwanga tu ndo zikoje mkuuUsinunue tv mkuu jitahidi ununue zile za mwanga tu
Nafikiri huyu anamaanisha zile projector za kumulika ukutani tu.Duuh zile za mwanga tu ndo zikoje mkuu
Duuh zile za mwanga tu ndo zikoje mkuu
Hivi projector ni nzuri kuliko TV?Nafikiri huyu anamaanisha zile projector za kumulika ukutani tu
Hivi projector ni nzuri kuliko TV?
Hazitosh km unataka game inoge nunua ata inch 70ManDizzo,
Hivi hizi TV za inchi 32 zinatosha mkuu? Isije ikawa wachezaji hawaonekani fresh!
Ubaya wake mchana hazionesh vzrHivi projector ni nzuri kuliko TV?
Hapo sawaSina uzoefu nayo ila nafikiri uzuri wake ni ile kupunguza makorokoro ya kufunga ukutani.
Kwa sababu yenyewe ni portable unaweza kutembea nayo kwenye begi tu ukaenda kulala nayo chumbani kwako
Ooh hapo tena shida kumbeUbaya wake mchana hazionesh vzr
Inabid utafute chumba chenye giza uzibe kila eneoOoh hapo tena shida kumbe
Mmh hizi siyo kumbeInabid utafute chumba chenye giza uzibe kila eneo
Zipo zinazoweza kupambana na sun light ata mchana zinaonesha vzr ila ni expensive mno ni km million 5 adi 10Mmh hizi siyo kumbe