Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baadh ya mechi uwe unatoa ofa pia baadae jitahid ununue tv kubwa inch 55 au 65 projector hazina Hd Ndugu na karne hii ni mwendo wa HD .
Sema mwanzo mzur sana pia hakikisha jenereta lipo Tena kubwa la uhakika .
Kama una mdogo wako hana kaz maambie aanze kukaanga karanga zinauzwa ndani ya ukumbi mixer soda na maji mtapiga sana pesa.
Na ukianzisha karanga na vinywaj usiruhusu mtu aingie ndani ya ukumbi na hiyo biashara maana atakuharibien mchongo .
Banda liko sehemu gani nije nicheki Arsenal akipokea kipondo wikiendi hii
Sure mkuu,Projector ina resolution za namna mbili, native resolution na ile resolution ya kuproject.
Kama umewahi kwenda ukumbi wa cinema ule ni mfano wa projector nzuri, quality yake ni kubwa sana mpaka unasahau wazo la kua ile ni projector.
Wewe unaona mbaya hizo projector sababu native resolution ni ndogo nyingi ni 240p mpaka 480p, ila ukipata projector yenye native resolution ya Hd ama Full HD Quality inakuwa kubwa sana.
SEma na bei pia inakuwa ndefu 1m+
Ilo nalo neno [emoji23][emoji23] kuna watu sijui wapoje yaniiHakuna kuvuta sigara wala kuskiliza mpira kwenye simu
Hakuna kuvuta sigara wala kuskiliza mpira kwenye simu
Wale wanakela sana aiseeHuwataki wazee wa kwenye radio goli!
[B[Sasa Mkuu ARSENAL inajngiaje kwenye za watu?Banda liko sehemu gani nije nicheki Arsenal akipokea kipondo wikiendi hii
Wassenge sana wale RADIO...Wale wanakela sana aisee
mkuu hizo ni projector au TVs, naona kuna multiple displaysBoss ukinnua projekta OG ALAFU UKATUMIA WAYA WA HD inakua poa sanaView attachment 1640960
Izo ni projekta mkuuumkuu hizo ni projector au TVs, naona kuna multiple displays
zipo ngapi maana naona screen zaidi ya mojaIzo ni projekta mkuuu
Ziko tatu hapo mkuuzipo ngapi maana naona screen zaidi ya moja
Shukran mkuu, nimependa hiyo! inaweza kugharimu kiasi gani mkuu. projector mojaZiko tatu hapo mkuu
Kila moja ilikost 9.3kShukran mkuu, nimependa hiyo! inaweza kugharimu kiasi gani mkuu. projector moja
Laki9 na 30000Shukran mkuu, nimependa hiyo! inaweza kugharimu kiasi gani mkuu. projector moja