Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,979
- 3,105
Hello Apologise lady,
You can call me on 0719155195 i can help you get through it and Bank of Tanzania acredation.
Regards
Elly Mdagadzule
Wapendwa habari?
Naomba msaada jinsi ya kusajiri microfinance ili itambulike kisheria, naomba mnielekeze taratibu za kufanya ili nikamilishe hii ishu, ni kwamba tayari ni vitu vya awali kama TIN no, lessen bado sijarenew, jina la kampuni ila sijakamilisha taratibu brella n.k.
Ninachotaka ni maelekezo ya ni hatua zipi nifuate ili nikamilishe kupata usajiri.
Ni hayo tu, karibuni
Ukishakamilisha usajili wa kampuni yako Brela hatua inayofata ni kwenda wizara ya viwanda na biashara kufanya application ya microfinance.
Unapoenda hakikisha una vitu vifuatavyo:
1. Umejaza form ya application ambayo inapatikana katika website ya wizara ya viwanda na biashara
2. CV za directors wa kampuni
3. Passport size za directors wa kampuni
4. MEMARTS ya kampuni
5. Lending policy (naweza kukusaidia kuiandaa hii)
6. Certificate of incorporation
7. TIN number
8. Bank statement ya mwezi uliyopita
Baada ya kupeleka hapo wataipitia kwa muda wanaojua wao then application yako ikipita watakupigia simu utaenda kulipia laki sita na nusu kisha unapewa leseni. Hapo kwenye kusubiria bila kuwa na mtu wa kupush itakuchukuwa muda kupita maelezo, i know someone there can help you.
All the best Apologise lady
Ukishakamilisha usajili wa kampuni yako Brela hatua inayofata ni kwenda wizara ya viwanda na biashara kufanya application ya microfinance.
Unapoenda hakikisha una vitu vifuatavyo:
1. Umejaza form ya application ambayo inapatikana katika website ya wizara ya viwanda na biashara
2. CV za directors wa kampuni
3. Passport size za directors wa kampuni
4. MEMARTS ya kampuni
5. Lending policy (naweza kukusaidia kuiandaa hii)
6. Certificate of incorporation
7. TIN number
8. Bank statement ya mwezi uliyopita
Baada ya kupeleka hapo wataipitia kwa muda wanaojua wao then application yako ikipita watakupigia simu utaenda kulipia laki sita na nusu kisha unapewa leseni. Hapo kwenye kusubiria bila kuwa na mtu wa kupush itakuchukuwa muda kupita maelezo, i know someone there can help you.
All the best Apologise lady
Bank statement iwe na kiasi gani angalau manak. Sidhani kama watakupa leseni kama una laki 2 za kujopesha watu , na hii benki statement iwe ya kampuni au ya mmoja wa hao directors
Wapendwa habari?
Naomba msaada jinsi ya kusajiri microfinance ili itambulike kisheria, naomba mnielekeze taratibu za kufanya ili nikamilishe hii ishu, ni kwamba tayari ni vitu vya awali kama TIN no, lessen bado sijarenew, jina la kampuni ila sijakamilisha taratibu brella n.k.
Ninachotaka ni maelekezo ya ni hatua zipi nifuate ili nikamilishe kupata usajiri.
Ni hayo tu, Karibuni.
So 50m inatosha kuanzisha microfinance
Habari wana Jf,
Heshima kwenu wote na hongereni kwa michango na mawazo mazur ambayo mmekua mkitoa juu ya mada mbali mbali,
Mm nikijana nimemaliza degree ya biashara katiaka fedha (BCOM-FINANCE)
Nimekua na ndoto ya kuwa na micro finance institution toka nipo mwaka wa kwanza chuo, hvyo nikajipanga nimetafuta mtaji nimepata (japo sio mkubwa). Kinacho nisumbua kwa sasa ni uzoefu juu ya uendeshaji wa biashara hii, kwan elimu niliyo nayo ni ya natharia (theoretical).
Nimetafuta sehem ya kufanya kazi japo kujitolea kwenye microfinance institution ili nipate uzoefu ila sijafanikisha.
Naomben msaada wenu, kwa mtu mwenye uzoefu juu ya hii biashara anisaidie kujibu maswar yafuatayo:
1. Usajiri
2. Riba na ulipaji wake (kwa mwezi, mwaka au wiki)
3. Maswala ya kisheria (defaulters)
4. Makundi ya wateja wasumbufu na wasio wasumbufu wakat wa ulipaji
5. Software ambayo inatumika kuhfadhi hizi transaction.
6. Kipengere chochote cha muhim nilichokisahau!
Maana nataka nianze bila uzoefu wowote, nimechoka kutembea na bahasha kutafuta sehemnya kujitolea.
Asanten, naomba kuwasilisha.