Biashara ya Kuuza Mkaa: Uzoefu, Vibali vya kuchoma, Changamoto na Ushauri

Ndio tunavogawana shilingi yetu.Tutakomaa kama nyie wakulima hamtauza bei za tamaa kubwa,ukishapanga bei za gunia utuguze
 
ni pm ndugu nitakuelekeza vzr2, maana naona watu wanakukatisha moyo mm ndio biashara yangu
 
ndugu tafuta sh@40,000 kwa gunia la kg100 nikuletee mpk nyumbani kwako(jumla)
 
.
Aksante. kwa hiyo hicho kibali cha kuuza mkaa wilayani mwako tunachukulia kwenye ofisi za manispaa mfano temeke pale uwanja wa mpira wa taifa au ofisi za maliasili wilaya?(mimi natarajia kufungua wilaya ya temeke)
Asante kwa mshindonyuma! Fanya kazi usitishiwe, hakuna kazi isiyokuwa na kadhia!
 

ni pm 2zungumze kiundani
 
Mkuu hebu ni pm picha ya hilo gunia likiwalimesimama nilione tunaweza fanya biashara hapa.

kaka bahati mbaya nimemaliza ila nipo katika maandalizi ya kuleta mzingo ukifika nitakujulisha wala ucjali
 
ndugu tafuta sh@40,000 kwa gunia la kg100 nikuletee mpk nyumbani kwako(jumla)

Nitawezaje kuona hilo gunia?mi nipo dar na ninanunua mengi,niagizie ilipo ofisi nije kuziona hizo gunia?Au ni Pm namba yako ilitupeane maelekezo.
 
du Mimi nipo Nachingwea.... kumbe ninaweza kuwa nawatumia ukawa unauza ......check me mkuu
 

masharti ni mengi kuliko baishara ya mbao...!!
 
Juzi nilisikia mkuu wa mkoa wa Pwani akifuta vibali vyote vya kutengeneza mkaa kwa mkoa mzima wa Pwani sasa kama unataka kuuchukulia Pwani lazima uliangalie na hili.
 
1.usajili(meneja misitu wilaya au ofisi ya tfs iliyokaribu nawe 256000+na maombi 5000=261000)
2.ushuru(serikali kuu168/kg(km gunia lina lebo ya kg 90 zidisha )na halmashauri(1000-2000(dfo(au wakala wa halmashauri aliyeteuliwa\idhinishwa) na dfm(kituo kilicho idhinishwa))
3.kibali cha kusafirishia(gari lisilozid tani saba 6500 na linalozid 13500)
4.leseni ya uvunaji(kutokana na eneo la uvunaji mf forest on general land,forest reserve etc)
5.leseni ya biashara(afisa biashara w au manispaa\jiji)
6.TIN(TRA)
 
Ndio tunavogawana shilingi yetu.Tutakomaa kama nyie wakulima hamtauza bei za tamaa kubwa,ukishapanga bei za gunia utuguze

Unaweza kuleta feedback

stable woman umefikia Wapi na hii project?

Share with us
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…