muda wa kupita unatofautiana ila Singida mjini hakuna sehem iliyojaa bar na guest tu lzm ziwepo nyumba mbili tatu so ni wajibu wa serikali watafute au wawape mazingira sahihi ya umalaya wao either ndan ya mabar au ndani ya majengo sio kuzagaa barabarani ni htr kwa vijana wa keshoUtakuwa umesimuliwa labda,ule mtaa hauna nyumba za makazi una ma_guest na ma_bar tuu nimepita jana.
Kwa vile ccmu wakiwa humu wanasahau nyazifa zao basi upo sahihiNaona umeongeza wateja tu hapa hamna msaada wowote umetolewa apa[emoji6][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni bore wakajiuzie kwenye ma bar huko
Kirima ni kata iliyopo Moshi Vijijini. Kuna kitongoji/kijiji kinaitwa Kirima Boro
Kirima ni bar ya mchagga wa kibosho kirima.
Inshort ukiachilia mbali Rwezahura, Rhode.
karibu bar zingine zote hapo singida ni za wachagga wa kibosho mfano....Kirima kina massawe mbacho, Serengeti ya kina mmasy, Nyoka lounge ya kina Mwacha sijui, Star city ya Msele, kuna hii bar imefunguliwa kama unaenda mwenge ndani ndani nasikia ni ya Munishi, Stanley Mushi ana ile stanley motel na kama unaenda gineri kuna garden moja nzuri, MYK bar na Kisoka bar....
pia narina ni ya mchagga
Kilimanjaro bar ni ya mchagga wa rombo
Sky way pazuri sijajua ya kina nani [emoji28][emoji28][emoji28]
Sijaleta ukabila lakini nisieleweke vibaya....
Wamachame sio level zenuLakini alimuuzia mbacho mkuu huyo mushi nasikia yupo dar, sijajua kwa nini wenyeji pale town wamelala mpaka fursa zote tumezichukua.
katika wachagga tuliokuwa inferior ni sisi lakini nowdays tuko juu sana [emoji16][emoji16][emoji16] wamachame hawatuambia kitu tena
HahahahaKila mtu anauza chake, hawa wanauza bandari, hawa wanauza nyuchi.
Hivi kwanini wanawake wa singida
Utulivu huwa sifuri....
Maana utakuta 60% ya malay wanawake ni kutoka sing singda, kondoa nk
Ova
Hata ajali zinauwa[emoji16] UKIMWI upo na UNAUA
NimekusomaUmasikini ndio sababu kuu, kipato cha mtu mmoja mmoja singida ni duni sana
Binti mzuri akikosa matunzo ya familia nadhani utajua kinachofuata
Yapo tena pembeni tu kuna msikiti na njia ya watu kupita kwenda mughanga shule ya msingi na sokoni msufiniUtakuwa umesimuliwa labda,ule mtaa hauna nyumba za makazi una ma_guest na ma_bar tuu nimepita jana.
Sio Singida peke yake ni nchi nzima sidhani kama kuna mkoa hakuna hizo sehemu wanawake wanajiuza.Kwa hili wanawake huwa nawadharau sana,kutwa wako kwenye majukwaa kukemea kudai haki zao,lakini hili la kujiuza sijawahi kuwaona jinsi gani wanapambana kulitokomeza,hii ni moja ya mambo yanayowadhalilisha sana wanawake....Habari wakuu!
Jana nilibahatika kupita mitaa ya hapa Singida Mjini kuna sehemu wanaita Kirima, yaani hapo nilikuta malaya wamejipanga wakiwa wamevaa hovyo wengine chupi, boksa, in short yaani ni uchafu mtupu.
Kilichonisikitisha zaidi ile ni mitaa ya makazi ya watu na niliona watoto wadogo wanacheza mitaa ile, nikawaza miaka 10_20 ijayo hao watoto watakuwa katika hali gani ya maadili 😭.
Ni wapi inafanywa kwa kificho?Mbona una bichwa gumu kuelewa ? Anakwambia hakuna biashara za wazi wazi anapoishi , elewa neno wazi wazi , USIPENDE KUTENGEZA UBISHANI WA KIJINGA
...Miaka 10 na 20 ijayo Mkuu ?? SEMA Mitano ijayo. Inasikitisha...! [emoji45]Habari wakuu!
Jana nilibahatika kupita mitaa ya hapa Singida Mjini kuna sehemu wanaita Kirima, yaani hapo nilikuta malaya wamejipanga wakiwa wamevaa hovyo wengine chupi, boksa, in short yaani ni uchafu mtupu.
Kilichonisikitisha zaidi ile ni mitaa ya makazi ya watu na niliona watoto wadogo wanacheza mitaa ile, nikawaza miaka 10_20 ijayo hao watoto watakuwa katika hali gani ya maadili [emoji24].
Ila kuna mambo unaweza kuyaepuka, kama kugonga malaya ni kutafuta UKIMWI kwa lazimaHata ajali zinauwa
Ili kuu kwepa ukimwi kikamilfu ina takiwa usifanye ngono kabisa. yaani usioe Wala usiwe na demIla kuna mambo unaweza kuyaepuka, kama kugonga malaya ni kutafuta UKIMWI kwa lazima
Hivi pale California Dream kuna nini siku hizi?Hahahaha
Unaikumbuka jolly club sehemu kongwe ya balaa zote
Hii biashara kongwe sana
Ova