DOKEZO Biashara ya kuuza mwili imekithiri maeneo ya Singida MC (Mitaa ya Kirima), serikali ifanye kitu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ilikuwa mishale ya saa ngapi?
 
Wanawake waliumbwa na vazi la kuwasitiri linaitwa AIBU/SONI/HAYA!!!. Wanawake wanaofanikiwa kulivua vazi hilo usiombe kukutana nao!! Kinga ya pili waliyoumbwa nayo wanawake ni kukosa nguvu ya misuli!!! Vinginevyo wangekuwa na misuli ya kutosha, wangewabaka sana wanaume!!
 
Et tunge bakwa.
 
Uongozi wa eneo husika unaona, serikal ya mtaa, diwan, jeshi la polisi n.k wanaona/ kusikia, shortly wametoa baraka kama hawachukui hatua
Mkuu unataka askari wetu wakiwa lindo usiku wakapone wapi? Kazi na dawa
 
Legend, asante kwa kutuwakilisha mkuu pande hizo
 
Mkuu bei zao zimekaeje
Inasemekana hadi buku mbili.Kama unawataka,nakusihi pitia pharmacy ununue na Azuma kabisa,ukimaliza kumfanya mmoja wao,kunywa kabisa dawa. Huna haja ya kwenda maabara kujipima kama ma UTI umeyapata.
 
Hawa makahaba wanauze QUMER na serikali inauza BANDARI; ngoma droo......kila mtu auze alicho nacho, isiwe shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…