granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
Usemalo ni kweli ila utafiti wa madini ni gharama kubwa sana mkuu, ndo maana wachimbaji wadogo wanachimba kimungu mungu tu boss.Wachimbaji wadogo wengi wanafanya kwa kubahatisha, hawafanyi utafiti.
Madini siyo maharage ambayo unapanda sehemu na kuyaona yanavyokua. Kwenye madini, unatafuta kitu ambacho hukuweka wewe wala rafiki yako. Hivyo hatua ya kwanza ni kufanya utafiti, siyo kuchimba. Unachimba baada ya kufanya utafiti, na kujua yako wapi,, kwa kiwango gani.
Vibaya mnoKwahiyo Geita Gold na Barrick nao utumia ulozi??
Kwa hiyo asilie Jamaa,hizo ni kampuni mkuu,na huyu ni mtu wa kawaida tuu!Wazungu wanawekeza mabilioni kwenye exploration msifikiri ni kitu kidogo,
Imagine kampuni kama Barrick imeajiri kampuni 3 zote za drilling kwaajili ya exploration na development, uchimbaji madini sio uchimbaji wa choo
Ya madini nimeivulia kofia aisee kuanzia leo
Kuna Mpambanaji Huku,Alikuwa Na Duka kubwa La Madawa,nyumba,na Gari akauza vyote akaenda Mgodini Bahati Mbaya Mtaji wote ukakata Mgodini Saivi yupo tu Anajipanga upyaAisee naandika huu Uzi nikiwa nimekuja kumtembelea kaka yangu hospital hapa Mbeya, aisee hii biashara sio ya kuingilia kichwa kichwa.
Huwezi amini nipo hospitali maana broo kama akili zishaanza kuwehuka, vitu anavyoongea havieleweki aisee, haamini kama kafukia milioni 120.
Nawashauri ndugu zangu wana jamiiforums hii sio biashara ya kufanya, ni kama inauchawi fulani hivi!
Pole,mioyo hutofautiana, wataalamu wa Tabia wanajua hayo kwa ufupi kuna sanguine, melancholy,nk ukizujua Tabia hizi hutosumbuka, Wewe utakuwa sanguine Hawa kwa ufupi hawajali matokeo!Bro wako sio mvumilivu kwenye haya maisha. Nilishawahi poteza 270m, ni kweli iliniuma sana. Nilitulia kiume nikaendelea na maisha.
Nilishasahau na kutengeneza zaidi ya hiyo
Mkuu una elfu hamsini ya karibu hapo? unisaidieBro wako sio mvumilivu kwenye haya maisha. Nilishawahi poteza 270m, ni kweli iliniuma sana. Nilitulia kiume nikaendelea na maisha.
Nilishasahau na kutengeneza zaidi ya hiyo
Kipindi Fulani niko Mbuji Mayi huko DRC Kuna jamaa akaja na Almas anauza ,tukawa tunaulizana tuna uhakika Gani kama ni kweli Hy ni almas halisi na sio feki?Ya madini nimeivulia kofia aisee kuanzia leo
Kapotezajehatare sana ndo mambo ya kuchukua risk hayo, kuna kupata na kukosa, ukiwaza kupata tu kisha ukakosa lazima dishi licheze kidogo.
Kuna raia alipoteza mil30 kwenye dhahabu akajifungia ndani miezi sita, huyu wa mil120 simpatii picha
Bro Biashara ya Madini Matambiko ni lazima Alafu usichokijua Wazungu na Wahindi Ni watu noma Sana Kwenye Hizo mambo".Kwahiyo Geita Gold na Barrick nao utumia ulozi??
HahahahMkuu una elfu hamsini ya karibu hapo? unisaidie
ππππKuna siku Niko na Tajiri mmoja wa Mpira hapa Tanzania, akaniambia Mandala tufanye biashara zote ila usije siku ukaniambia una deal la Madini, tutakosana .. Binafsi nilimuelewa
Ni bora kubet m 120 angekuwa naweka m1 mechi za Simba au yanga asingekuwa chiziAisee naandika huu Uzi nikiwa nimekuja kumtembelea kaka yangu hospital hapa Mbeya, aisee hii biashara sio ya kuingilia kichwa kichwa.
Huwezi amini nipo hospitali maana broo kama akili zishaanza kuwehuka, vitu anavyoongea havieleweki aisee, haamini kama kafukia milioni 120.
Nawashauri ndugu zangu wana jamiiforums hii sio biashara ya kufanya, ni kama inauchawi fulani hivi!
Lazima uwe mtaalamKipindi Fulani niko Mbuji Mayi huko DRC Kuna jamaa akaja na Almas anauza ,tukawa tunaulizana tuna uhakika Gani kama ni kweli Hy ni almas halisi na sio feki?