Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Ika Kama una mtaji Bora ununue Hilo mashine..crusher uende umekamilika ukiwa na mtaji every 3months unapata faida Nene ..dhahabu inapanda na kushuka Sana. Kam unamtaji wa mawazo hutaona raha, mfano leo unamake faida 200k kesho inadrop unatoka na faida ya 22000!Amin, natamani kukufata Pm ila naona kunabonge la SOLEX.
Lakini all the best.