baraka jonathan
New Member
- Sep 4, 2018
- 4
- 3
hili wazo nimelipenda sana hebu jamani wana jf tulitafakariHongera sana, Kuna mtu ameshauri hapo kuhusu kuwa na mtu wa Marketing. Napenda pia kushauri kuwa na watu wa marketing kwa kila mkoa kwa kuanzia angalau DSM, PWANI, sijajua kwa huko mikoani.. Ambao kila kwanza utawapa jukumu la kutengeneza Market Plan iliyoshiba kwa kuelezea na vitendo kuanza haraka juu ya vyanzo vya masoko...
Mdunya niuzie mashine tafadhalimwenye kuhitaji partnership mi nina mashine ila sina sehemu
Naomba kujua updates za biashara yakoHabari za jioni wakuu
Ninaombeni mawazo yenu. Niko kwenye mchakato wa kuanzisha kiwanda rasmi cha kusaga na kufungangasha unga wa nafaka mbalimbali. Nina mashine ya kusaga mahindi mkoani Dodoma na nilikua nafunga na kuuza unga kienyeji vijijini. Sasa nimeamua kuifanya iwe rasmi kabisa na Mungu akisaidia January 2016 bidhaa zangu zitakua sokoni. Niliyofanya mpaka sasa?
1. Mashine ya kukoboa na kusaga
Tayari ninayo na inatoa huduma
2. Mashine ya kupima, kufungasha na kufunga niliagiza kutoka China na iko kwenye hatua za mwisho za kuwa installed
3.Nimeshaanza mchakato wa kupata vifungashio kwenye kiwanda kimoja Bagamoyo. Mifuko ya kilo 5, 10 na 25 yenye nembo.
4.Stock ya mahindi ninayo karibia tani 10
5.Niko kwenye hatua za mwisho za kupata kibali cha tbs.
Kwa wazoefu wa biashara hii naomba kama kuna mwenye mchango wa ziada tushauriane mpaka hapo nilipofikia. Na kama kuna kitu kingine chochote kinahitajika.Tunaweza wasiliana hapa kwa michango au anymore business ideas/patnership na masoko zaidi.Au hata kwa PM
Shukran.
Mjasiriamali
Hi.. naamini mpaka sasa biashara umeshaianza, naomba mwongozo upatikanaji wa hizo mashine na gharama zake tafadhali,..Hi mwana ifm naomba nije kwako unipe mwongozo mi nimemaliza banda na machine zipo ila sijui pa kununua mahindi lakin pi a na Fundi wa umeme.. 0784800989
Habari wana JF
Nahitaji KUANZISHA KIWANDA KIDOGO cha SEMBE NA DONA JE NINAHITAJIKA VIBALI GANI AU NIWEKE KWANZA MAJENGO NA MASHINE. JE MTAJI KIASI GANI? LOCATION NI KIBAHA MSAADA ZAIDI SIFAHAMU CHOCHOTE NABJE RAW MATERIALS NITAPATA WAPI??
Habari wewe unapatikana wapi Niko tegeta wazo utaniuzia kiasi gani gunia za kg 100 na uwezo wako ni kusupply kiasi gani??Kikubwa utahitaji malighafi ambayo ni MAHINDI masafi.
Nenda SIDOHabari wana JF
Nahitaji KUANZISHA KIWANDA KIDOGO cha SEMBE NA DONA JE NINAHITAJIKA VIBALI GANI AU NIWEKE KWANZA MAJENGO NA MASHINE. JE MTAJI KIASI GANI? LOCATION NI KIBAHA MSAADA ZAIDI SIFAHAMU CHOCHOTE NABJE RAW MATERIALS NITAPATA WAPI??
Bei ni kubwa mnooo sio mradi wa kitoto unaweza kuishia njiani kama hujajipangaNa Mimi nahitaji kujua bei ya mashine ya kusaga na kukoboa wandugu nataka kufunga kwenye umeme wa REA.
Vipi kuhusu SIDO ya DSM?Wote ambao mna wazo kama hili niwashauri tu Muende SIDO ya Moshi Mjini wale ndo mabingwa wa mashine hizi za kusaga na kukoboa complete na pia mota zao sio hizi za Kichina za kufa kila mara Pale ukichukua utapiga kazi hadi utasahau kabisa. Bei zao sina hakika kwa wakati huu zimefika ngapi ila inarange kati ya 3.5 to 5M nashauri mtafute mawasiliano na yeyote pale kufanikisha hilo. zingatia ushauri huu then thanks me letter.
Vipi kuhusu SIDO ya DSM?