Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

Hii Ni link tu, baada ya connection Ni kujadili kwa kina. Sasa unataka watu watiririke kila Kitu hapa hata Kama hali kuhusu. After connection Ni Pembeni.
 
Duuuh fungukeni bhn. Mtaji sina naweza fanya kukutafutia miti Au mbao kabisa.
 
Ninauza Miti Ya mipaina Ya Mbao Yakufuga Na Ya kupasua, pia Viwanja, Mashamba,
Nipo mkoani Njombe, mawasiliano 0625844563
 
Habari Bw Malila nimependezwa na uzi huu nami ningrpenda kuwa mwanachama wa kikundi hiki. kama naruhusiwa email address yangu ni "ndandidzi@gmail.com" asante sana

Karibu sana,
Hakuna kiingilio kabisa,cha umuhimu ni uaminifu wako tu, nipe mail yako kupitia pm ili tuanze mawasiliano ya moja kwa moja.[/QUOTE
 
9
Pia kuna ekari 13 kati ya hizo eka 8 zimepandwa paini na ekari 5 zimepandwa mlingoti. Hilo eneo lina uzwa million 32 na miti ina umri wä miaka 6 iko uchindile~mgololo~mufundi, (hyo bei ni miti +shamba)

Hili shamna bado lipo?
 
Wakuu wenye kutaka kuingia kwenye uwekezaji huu wa miti ya mbao, inabidi muwe makini sana na ununuaji wa mashamba, pia hata kama utaona shamba linauzwa na miti kwa bei ya kutupa, kumbuka hadithi ya mtoto wa Panya na mama yake kuhusu kinofu.

Changamoto kubwa ya biashara hii ni moto na utapeli kama nilivyowaambia. Nawakaribisha tufanye uwekezaji.
 
Kwa wadau wanaotaka kuingia, kuna mashamba mazuri Uchindile, bei ni Tsh 90,000/ kwa eka. Kuna mashamba pia Mufindi kijiji cha Ukami - 120km toka Iringa mjini, bei ni Tsh 100,000/

Kuna mashamba tunauziana wana - group, hayo hayatajwi hapa.
 
Hii mitiki (teak) inachukua muda mrefu sana kuwa na bei nzuri ni ya miaka 15 na kuendelea, ila ukiwa unafanya thining ya shamba unaanza kuuza kuanzia miaka saba, na ina hela mti unaweza fika hadi milioni moja(wanatumia kwa nguzo za umeme ,kujenga meli na fenicha za gharama), kuhusu mbegu sifahamu ila European union wanafadhili mradi huko Kilombero nasikia tayari wana hekta 3000
Ufadhiri huo umekaaje mkuu?
 
Kwa wadau wanaotaka kuingia, kuna mashamba mazuri Uchindile, bei ni Tsh 90,000/ kwa eka. Kuna mashamba pia Mufindi kijiji cha Ukami - 120km toka Iringa mjini, bei ni Tsh 100,000/

Kuna mashamba tunauziana wana - group, hayo hayatajwi hapa.

Nimekuuliza swali langu la msingi kule. Uchindile, nahisi ni maeneo ya Mafinga/Mufindi nako ni umbali gani kutoka barabara ya rami?
 
Kwa wadau wanaotaka kuingia, kuna mashamba mazuri Uchindile, bei ni Tsh 90,000/ kwa eka. Kuna mashamba pia Mufindi kijiji cha Ukami - 120km toka Iringa mjini, bei ni Tsh 100,000/

Kuna mashamba tunauziana wana - group, hayo hayatajwi hapa.

Naweza kupata heka 25 za pamoja na kuzipanda msimu huu.
 
Mwenye uelewa atajuze..!/

•@uparo tafadhali njoo hapa utujuze!,

Nimepata fununu ipo miti ya miaka 3, 5 na miaka 10.

Pia nimepata fununu,maana lengo langu ni kuipanda mkoani Kilimanjaro shambani kwangu,ispokuwa habari mbaya niliyoipata, ni kuwa mara nipandapo nikaivumilia ndani ya miaka mitatu, wakati wa kuja kuivuna lazima serekali itanipiga BAN / NAMAANISHA MBAO SIO ZAKO NA HURUHUSIWI KUKATA MTI ISIPOKUWA KWA KIBALI MAALUM.

•NAOMBA KUJUZWA ZAIDI KUHUSU HAYA.
 
Mimi nina mashamba ya miti Njombe, huko Hakuna Ban wala restriction yoyote ya uvunaji miti. Miti ni yako ni kibali cha kijiji tu then wakata, yule anaepakia kupeleka mbao dar Au mkoa mwingine ndiye atakaetembea na kibali cha usafirishaji na hakina complication hata kidogo

Labda kwakua Njombe miti ndiyo zao lao la biashara, jaribu kuongea na serikali ya kijiji upate utaratibu ulivho huko moshi
 
Hiyo ya miaka 5 inakuwaje hiyo? Je, mbao zake zinakuwa zimekomaa?
 
Mimi nina mashamba ya miti Njombe, huko Hakuna Ban wala restriction yoyote ya uvunaji miti. Miti ni yako ni kibali cha kijiji tu then wakata, yule anaepakia kupeleka mbao dar Au mkoa mwingine ndiye atakaetembea na kibali cha usafirishaji na hakina complication hata kidogo

Labda kwakua Njombe miti ndiyo zao lao la biashara, jaribu kuongea na serikali ya kijiji upate utaratibu ulivho huko moshi

Kuna sera/sheria imeanzishwa hivi karibuni kutaka wenye mashamba ya miti wawe wanaomba vibali kabla ya kuvuna miti yao. Jaribu kuitafuta uisome.
 
Ni mfanya biashara na ni mkulima. Nauza mpunga kutoka mlimba anaehitaji mpunga hata gunia zaid ya 100 atapata na pia anahitaji viazi mviringo vya njombe asiwe na wasi wasi vipo hat gunia 100 kwa mawasiliano zaidi: 0676 885 042
 
Back
Top Bottom