Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

Mkuu naomba kujua Kuchipiwa ni nini
Ni kama unavyoona radio tu! Zamani ukinunua zile radio original zenyewe, zilikuwa zinachangua DVD! Kama DVD ni fake, haita-play! Na hizi PS ndivyo zilivyo!!

Sasa chipped console ni zile ambazo wanaziingiza chip (like modifying) ili hatimae ziweze ku-play hata hizi games unazoweza ku-download online or hata ku-duplicate
 
Asante sana mkuu nitakucheki oneday. Natamani kufanya hii biashara
 
Nisha nunua kila kitu hapa nawawazia wasumbufuu tu, wakuja kunipigia kelele, kuhusu watoto wao,!!
 
Hii Moshe nai~mind kinoma Ila nishaisahau hata cjui nianzie wap...
 
Mkuu hiki kibali nakipatia sehemu gani!?
 
Hivi kuna ukweli wowote kwamba ps4 fat inaweza kuhimili mishindo(ikiwemo kufanya kazi kwa muda mrefu) kuliko ps4 slim?
 
Eneo gani hilo ambalo watu watakuletea hela kucheza ps2 leo 2022? Embu tufanye research ndogo. Aheei uanze na ps4 mbili itakupa mileage kuliko kuweka ps2.
Hio ps2 yako itakua ni asset ambayo haina maslahi
Hio PS2 nazan anaweza weka game kama blur, au need for speed watoto wengi wanacheza, wakubwa sio sana
 
Wakuu nahitajo ps 4 pro. kama naweza elekezwa pa kuipata kwa bei nzuri ni vizuri
 
Siyo deal mbaya.

Changamoto ni pad kuharibika mara kwa mara.

Zinahitajika Fifa na Pes kila mwaka au miezi sita.

Umeme.

Wizi.
Habari mkuu
Nilikuwa natafuta Ps3 used, ila nimekutana na hii jamaa ananiambia inavipengele hivi
Ushauri wako tafadhali
 
Habari mkuu
Nilikuwa natafuta Ps3 used, ila nimekutana na hii jamaa ananiambia inavipengele hivi
Ushauri wako tafadhali
View attachment 2167776
Kuna ishu fulani hivi ikiwa inatokea mtu unaweza hisi tatizo ni switch ila actually motherboard ndo inakua na shida.

Yaani ukiwa unacheza utashangaa ghafla inazima, inablink kidogo rangi nyekundu na njano kisha inabaki kijani. Ukizima ile switch ya nyuma ukiwasha inawaka na unaweza kucheza hata siku nzima isifanye hivyo.

Hapo ni mwanzoni. Tatizo likikomaa utakuta inajizima frequently na style ya kujizima ni hiyo taa kublink. Tatizo hili linazikumba sana PS 3 Fat na Fat sehemu ya switch ni ya ku-touch so it is unlikely switch kua mbovu.

Kama tatizo linafanania na nilichoandika hapa achana na hiyo PS kwakua kwanza utengenezaji wake utaliziba tatizo kwa labda miezi sita au zaidi kisha litaanza upya. Na ikifikia siku ikajizima na taa ikaganda kwenye rangi ya njano hiyo game ndiyo haiponi tena hata ufanyeje hiyo rangi inaitwa YLOD (Yellow Light Of Death)

So kujizima kunaweza kukutrick ukahisi labda ni switch ila actually ishu inakua siyo switch. Storage siyo tatizo as ukinunua hard drives (external) inakaa vizuri tu, utakua na gharama ya kuweka system na kuweka games.

Kwa Dar game za 3 ni 5000 ( Game moja) sijajua ulipo so yaweza kua chini zaidi au juu kidogo.

Ushauri wangu kama ni lazima ununue hiyo game, uliza kama ni fat au slim, akisema tu ni Fat temana nayo huna haja ya kujua huku mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…