Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

Ni bora kununua hizo PS3 ni rahisi sana kuliko kununua Desktop za Games mana Computer za gemes ni garama kubwa sana ndio maana Chief-Mkwawa amebakia na mshangao hiyo desktop moja ya games inaweza kufika bei ya hizo PS 3 zote tatu
mtaani naona bado games ni zile zile za mortal kombat 4, virtual cop, need for speed 2 na demorash, kwa haraka haraka i think pc zinzorun hizo games ni way too cheap, Ila kama ni kuchezesha fifa 18 hapo budget ya cpu nzuri na gpu za maana haikwepeki

makadirio ya chini
-gpu ya amd rx 550 kwa 250,000 ($80 online)
-desktop ya i5 3rd gen kwa 300,000
-monitor angalau 24" 1080p used ukihangaika 100,000

labda kwa hio 650,000 utapata desktop ya maana ya games.
 
makadirio ya chini
-gpu ya amd rx 550 kwa 250,000 ($80 online)
-desktop ya i5 3rd gen kwa 300,000
-monitor angalau 24" 1080p used ukihangaika 100,000

labda kwa hio 650,000 utapata desktop ya maana ya games.
it's almost 700,000,ni bora kuwekeza kwenye ps3 tu
 
na xbox ni nzuri kuliko ps3 hasa kwenye pad zake haziharibiki ovyooo... ps3 kila mwez utakuwa unanua new gamepad
 
Hio biashara uwe karibu na sehemu yenye wanafunzi, mfano jirani na shule utapiga hela
 
na xbox ni nzuri kuliko ps3 hasa kwenye pad zake haziharibiki ovyooo... ps3 kila mwez utakuwa unanua new gamepad
pads o.g za xbox na ps3 zote ngumu kwa matumizi ya nyumbani zikitumiwa na mtu anaeujua uchungu wa pesa ya xbox ama ps yake, ila sasa ukizichezesgea mtaani kwa watu waliokosa ustaarabu jiwekee kichwani kwamba pad moja kila baada ya miezi miwili inabidi ibadilishwe
 
Mkuu hapo mechi moja bei gani na ni dakika ngapi?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante kaka. I was thinking about these too much..but now nimepata mwanga. ila kwenye hapo ni vle za chogo ama, maana ps3 za sasa si zina hdmi tu.
 

Inakuaje kuhusu kufungua asubuhi hawajakataza kama pool table ianze kuchezwa kuanzia mda fulani hapo ikoje kwa anaefanya hii biashara tafadhari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…