HUJANIELEWA, MIMI SIJASEMA HII BIASHARA NI YA KISANII, NIMESEMA LAZIMA UWE MSANII KUFANYA BIASHARA AMBAZO UNANUNUA KITU NA KUJA KUKIUZA KAMA KILIVYO.
- MFANO:
Biashara ya mchele mara nyingi ni usanii mtupu, mtu anachukua mchele wa mbeya anachanganya na wa morogoro ndo anaingiza sokoni, na anafanya hivyo kwa sababu akiuza kama ulivyo itakuwa ni hasara kwake hatapata faida.
- Ndo maana nikasema ni bora tukaja na biashara za kuongeza thamani ambazo zinalipa sana, Ng'ombe unavyo mnunua na kuja kumuuza kama alivyo unakuwa hujamuongezea kitu na mara nyingi lazima huko unako nunua ulie sana ili wakupunguzie kwa sababu na wewe unakuja kumuuza kama alivyo.
- NDO MAANA NIKASEMA BIASHARA NYINGI SANA HATA ZA KUKU WA KIENYEJI MARA NYINGINE HUWA WANA MIX NA ZA KISASA HUMOHUMO, NA HII NI KWA SABABU HAKUNA UTARATIBU WA KUZIONGEZEA THAMANI NDO AZIUZE,
- BIASHARA YA NGOME
1. Yule mchinjaji wa mwisho ndo anae faidi na wala si wewe unae uza ngo'ombe kama ng'ome.
KAMA UNGEKUWA UNANUNUA NA KUZICHINJA NA KUPAKI AU KUUZA NYAMA UNGEPATA
1. NGOZI- HII NI PESA
2. KWATO HIZI NAZO NI DILI SANA
3. PEMBE ZINASOKO LAKE
4. MIFUPA, HII INASOKO LAKE PIA
5. NYAMA NI PESA
6. MENO YA NG'OMBE NI PESA
7. MKIA WAKE, ZILE NYWELE ZA MKIA WAKE NAZO NI PESA
HAPA UNGEWEZA PATA VITU ZAIDI YA 7
SIJAJUA WAUZAJI WA PUGU KAMA WA CHUKULIA MAANANI NA HIZI PRODUCT ZINGINE