Biashara ya mifugo (ng'ombe, mbuzi, kondoo n.k)

Biashara ya mifugo (ng'ombe, mbuzi, kondoo n.k)

Habari ndugu, marafiki na jamaa!!, naomben ushauri juu ya biashara hii ya ng'ombe, mbuzi au kondoo kuhusu soko na gharama za usafiri kutoka Ruvu(pwani) hadi sokoni!!, lakin si mbaya kama kuna mfanyabiashara hiyo akashirkiana nami!!!. huwa mm nanunua kwa wafugaji na kuuza kwenye masoko ya huku porini ambayo hayana bei!!.

Tuwasiliane na mimi just PM. Nafanya hiyo biashara sana tu, nachinja na "kugalagaja" pale pugu mnadani. Tuwasiliane twaweza fanya kitu kizuri zaidi.
 
sijawahi fika pugu m2wang ila ni kwamba wastan wa ng'ombe wa kawaida ni lak3.5 had 5!, na kuhusu usafir na makato mengine hadi huko inatakiwa ng'ombe wakiwa wachache wasipungue wangapi?, ili faida iwepo ukishatoa gharama za njiani hadi kufkisha sokoni!.nlisema soko hukuhuku coz mm binafs nimedeep zaid kwenye minada ya kifugaji na wafugaji wenyew coz mm mwenywe ni mfugaj!!.

Usimdanganye mwezio wewe soko linabadilika kutokana na uwingi wa mifugo hapa mnadani. Unaweza kuta bei uliyonunulia kijijini ni mkubwa kuliko ya Pugu. Mimi nafanya hiyo bznesss na najua huyu mifugo anatoa Vigwaza. Nitafute tufanye biashara ya Ngombe.
 
Napajua pugu vizuri mimi nimetoa ng'ombe dom mara kadhaa nimeleta pugu...ukweli ni kwamba hakuna bei ya uhakika...ukikuta šiku ngombe wachache unauza bei nzuri na šiku pakiwa na mafuriko kuuza hata kwa bei uliyonunulia ni bahati sana.
 
Kwan soko lao lipoje huko comoro?, wanaenda kufuga au kuchinja?, kwani kule comoro kuna uhaba wa hizo mifugo?.

Ndugu usijichanganye na hiyo biashara ya Commoro utafilisika. Watu wamezulumiwa saana. Wale jamaa wanachukua ng'ombe za kuanzia kl 150. Pia wamewatapeli sana watu. Njoo Pugu ufanye market research if u Dont trust mi.
 
Napajua pugu vizuri mimi nimetoa ng'ombe dom mara kadhaa nimeleta pugu...ukweli ni kwamba hakuna bei ya uhakika...ukikuta šiku ngombe wachache unauza bei nzuri na šiku pakiwa na mafuriko kuuza hata kwa bei uliyonunulia ni bahati sana.

Kuna mwanajanvi mmoja anasema unanunua ng'ombe 500,000 unauza pugu laki 7.,hahahah kila mtu angefanya hii biashara.
 
sijawahi fika pugu m2wang ila ni kwamba wastan wa ng'ombe wa kawaida ni lak3.5 had 5!, na kuhusu usafir na makato mengine hadi huko inatakiwa ng'ombe wakiwa wachache wasipungue wangapi?, ili faida iwepo ukishatoa gharama za njiani hadi kufkisha sokoni!.nlisema soko hukuhuku coz mm binafs nimedeep zaid kwenye minada ya kifugaji na wafugaji wenyew coz mm mwenywe ni mfugaj!!.

Fuso inapakia ngombe 20-15 inategemeana na ukubwa. Semi inapakia 40.,Chukua bei ya kukodi gari, jumlishia hela ya mswagaji/ mnyanyuaji wa ngombe kisha gawa kwa idadi ya ngombr unazopakia. Utapata gharama ya kusagirishia kila ngombe.
 
Usimdanganye mwezio wewe soko linabadilika kutokana na uwingi wa mifugo hapa mnadani. Unaweza kuta bei uliyonunulia kijijini ni mkubwa kuliko ya Pugu. Mimi nafanya hiyo bznesss na najua huyu mifugo anatoa Vigwaza. Nitafute tufanye biashara ya Ngombe.
popote pale supply inapozidi demand,ujue bei inashuka,unatakia ucheze na information.kama ukiona mzigo mwingi sokoni unaholdup kwanza,kwabiashara zote hiyo ndo rule of the game.
 
Kuna mwanajanvi mmoja anasema unanunua ng'ombe 500,000 unauza pugu laki 7.,hahahah kila mtu angefanya hii biashara.
we unadhani kwanini wafugaji wana nguvu sana?huoni wakulima wanavyonyanyaswa na wafugaji?.jamaa wana pesa mbaya na wanatoa rushwa kama hawana akili nzuri...tena huombi rushwa wao ndo wanakulazimisha uchukue.

Mi pesa zao hadi nilizikinai.
Biashara iko na pesa hiyo usikatishe watu tamaa.
 
we unadhani kwanini wafugaji wana nguvu sana?huoni wakulima wanavyonyanyaswa na wafugaji?.jamaa wana pesa mbaya na wanatoa rushwa kama hawana akili nzuri...tena huombi rushwa wao ndo wanakulazimisha uchukue.

Mi pesa zao hadi nilizikinai.
Biashara iko na pesa hiyo usikatishe watu tamaa.

Simkatishi tamaa ndugu. Mimi nafuga na najua faida ya kufuga. Nilichokataa hapo ni bei ya kununulia na bei ya kuuzia ngombe hapa Pugu. Sipendi sana kubishana kwenye issue ambayo siijui lakini pia sipendi kuona mtu anapotosha watu hadharani. Biashara ya ngombe msimu wa kilimo/masika ni tofauti na msimu wa kiangazi. Kiangazi wakulima wanakuwa na hela wananunua mifugo na kuiihifadhi hivyo bei huwa juu na upatikanaji unakuwa mgumu. Kipindi cha masika watu vijijini hawana chakula, kunagharama za mashambani hivyo vyanzo vya mapato Kwao ni kuuza mifugo. Hivyo upatikanaji unakuwa ni mwingi na bei huwa chini tunaita kipindi cha mafriko. Hii biashara ni kama biashara nyingine na inahitaji umakini mkubwa ni bora umwambie mtu ukweli ili achague mwenyewe. Well come to the field tufanye kazi.
 
Isiwe tatizo wanajamvi mana sijatoa uzi kwa ajili ya kubishana ila ni kuelekezana ndugu zangu!!. kiukweli biashara hii haitabiliki na haina bei constant!!. hata kama kuna changamoto za hapa na pale wahusika wakiitumia vizuri na kwa wakati inalipa sana!!!. inaweza kuwa siku moja na mnada mmoja mtu anauza laki7 ng'ombe alonunulia lak5, then pale mtu mwingine anauza lak5.5 ng'ombe alonunulia lak5, na mwingine anakosa faida kabisa kwenye mnada huohuo wa siku hiyohiyo!!. ndomana wengine hujikuta wakikimbilia waganga wa jadi wakiamini kua wanamikosi, kwamba kwanini mimi leo sijapata faida kubwa kama ya fulani?, wakati wote tumenunua pamoja na kuuza pamoja?. kununua lak4 na kuuza lak7 inawezekana ila kuna vipindi vyake na inategemea umenunua wapi na kuuza wapi!.
 
Mimi ninayo bucha iko kitumbini dsm inafanya kazi tangu 1978 natafuta mtu anaye weza kuniletea nyama ya n'gombe isiyo kua na mafuta sana nyama nzuri na bei iwe kwa kilo 4200 maanake anaye niletea kafariki na mtoto wake kapandesha bei sana
mimi nauza kuku aina zote ya samaki mbuzi soseji kwahiyo atakaye taka kufanya kazi daima na mie just pm me

mkuu tuwasiliane naweza kukuuzia,mm nachinja ng'ombe aina tofauti June ng'ombembaza, ng'ombe masai na nk sasa nitakuuzia nyama kutokana na pesa yako....namba zangu 0659402895
 
Mimi ninayo bucha iko kitumbini dsm inafanya kazi tangu 1978 natafuta mtu anaye weza kuniletea nyama ya n'gombe isiyo kua na mafuta sana nyama nzuri na bei iwe kwa kilo 4200 maanake anaye niletea kafariki na mtoto wake kapandesha bei sana
mimi nauza kuku aina zote ya samaki mbuzi soseji kwahiyo atakaye taka kufanya kazi daima na mie just pm me

mkuu unanunua kuku wa kienyeji?
 
Habari zenu wakuu, naomba mwenye uzoefu wa biashara hii, anipe ushauri, maana nina kamtaji kangu kama 4m, maana naona ajira zimekuwa adim sana, tafadhali ushauri wenu utanisaidia sana.
 
jaribu kupita jukwaa la ujasiriamali mkuu"
mambo yote yapo wazi pale
 
Habari wana JF
Naomba kujuzwa kwa mwenye uelewa/uzoefu wa biashara ya ku-export Wanyama hai kama Mbuzi, Ng'ombe, Kondoo nje ya nchi kwa ajiri ya nyama. Ni process gani zinatakiwa kupitia/kufuatwa ili kufanya biashara hii. Nchi yetu ina idadi kubwa ya Wanyama tajwa na zipo nchi ambazo wana mahitaji ya nyama zitokanazo na Wanyama tajwa na wanahitaji kupata bidhaa hii iliyo fresh ila wanaishia kupata nyama za kwenye ma-fridge.
Natanguliza shukurani.
 
Back
Top Bottom