Mkuu kuna kuchanganya pia sasa mteja wa jumla anakwambia umletee mchele wa 1,400 na wewe unanunua kwa 1,200 ongeza gharama 100 upate faida ya 100 na kukukipa hakulipi yote. Cha kufanya tafuta mchele wa 1,000 punguza chenga unampelekea walau upate faida la sivyo anakufilisiUnapozungumzia ujanja ndio unamaanisha kuchanganya mali nzuri na mbaya? Ndio uhuni unaofanyika, unanunua mchele super, wanachanganya na bei rahisi, au maharage mazuri wanachanganya na maharage mabovu.
Kila siku nawaambia watoto kama ninyi kuwa sio kila mtu ni mfanyabiasharaKaka mtaji more than 30 million faida Tzs 2.5 million per month.. kaka faida n ndogo compared to capital invested n hustling aiseee..
Hesabu Gani hizi?..kashakwambia Kila mwezi faida 2.5 m....inamaana kama uwekezaji ni 300m faida ni 25m per month au sijakuelewa?It is almost 10%
Fikiria mtu aliyewekeza 300milion kwenye nyumba za kupangisha atapata only 1.0m per month.
Aliyewekeza 30m kwenye nyumba ya kupangisha ataingiza only 150k per month.
Katika ile mil 12 imebaki mil 6 au sio.....Bora niuze hata accecories za simu, maana huku naona wanajipangia faida.
Wewe ndio hujanielewa umerukia katikati ya maongezi.Hesabu Gani hizi?..kashakwambia Kila mwezi faida 2.5 m....inamaana kama uwekezaji ni 300m faida ni 25m per month au sijakuelewa?
Sasa 10% ya 30m ni 150k ...duh!Wewe ndio hujanielewa umerukia katikati ya maongezi.
Hapo nimempa mifano ya biashara zingine ambazo zina faida kiduchu ukilinganisha na biashara yake bado ina faida kubwa sana
Hakika kila biashara ina teknolojia yake😄😄😄😄😄Mkuu kuna kuchanganya pia sasa mteja wa jumla anakwambia umletee mchele wa 1,400 na wewe unanunua kwa 1,200 ongeza gharama 100 upate faida ya 100 na kukukipa hakulipi yote. Cha kufanya tafuta mchele wa 1,000 punguza chenga unampelekea walau upate faida la sivyo anakufilisi
Nakwambia hiyo conversation haijaanzia hapo huwezi ukaelewa umedandia gari kwa mbeleSasa 10% ya 30m ni 150k ...duh!
Biashara sio ya kila mtu, hakuna biashara inayolipa kama mazaoHii biashara ni nzuri na inatoka lakini bila kua mjanja mjanja basi kutoboa ni ngumu sana, zaidi ya kupata hela ya kula tu kwasababu faida yake kwa kila kilo ni tsh 50-100...haiwezi kuzidi hapo.
Nilikua na million 6 nikasema nikaangalie swala la mahindi, unaweza kujaza gari la tani 10, gunia 100, baada ya kufikisha sokoni ukapata faida ya laki 3, imagine fuso zima unapata faida ya laki 2-3 ni ndogo ukilinganisha na hustling huko vijijini porini mashambani inaweza kuchukua hata week 2, na ukifika sokoni kama huna sehemu ya kuuzia umpe mfanyabiashara kwa mkopo akiuza ndio akupe hela.
Kwenye maharage ni hivyo hivyo, unanunua gunia kwa 2500/= shambani/mnadani unakuja kuuza kwa 2600/=....imagine unanunua kilo 2000, ambayo ni kama 5,000,000/= alafu unaenda kuuza kwa 2600/= ambayo ni sawa na 5,200,000/=....
Investment ya million 5 upate laki mbili, million 10 upate laki 4, sasa hii biashara si pasua kichwa? Ingekua kwa mwezi unaenda safari 3/4 ingekuwa poa sana, lakini unajikuta kwa mwezi mpaka mzigo uishe unaenda mara moja tu,..
Lakini ukiwa na mzunguko mzuri na ukawa na eneo lako la kuuzia basi hii biashara utaipenda.
Tatizo kuna watu hawaelewi kabisa hii biasharaHakuna biashara inalipa Kama Nafaka ukiwa MTU unazingatia ubora quality inalipa Sana.
Nimefanya hii biashara kikubwa usifocus kuuza cheap product
Ulitaka apate Faida Tsh ngapi?Kaka mtaji more than 30 million faida Tzs 2.5 million per month.. kaka faida n ndogo compared to capital invested n hustling aiseee..
Me kaka yako mbali sana mkuu... Jiheshim mkuuKila siku nawaambia watoto kama ninyi kuwa sio kila mtu ni mfanyabiashara
Friday ndo nn..?Ulitaka apate Friday Tsh ngapi?
Kiumri wewe ni mwananguMe kaka yako mbali sana mkuu... Jiheshim mkuu
FaidaFriday ndo nn..?
Mimi kaka yako wa mbali sana mkuu..Kiumri wewe ni mwanangu
Akipiga trip 10 huyo kisia atakuwa na mtaji wa kiasi gani tatizo wabongo tunapenda mafanikio ya chap chap bila jasho na pia tunataka biashara yenye profit margin kubwa kwa mara mojaKaka 2.5 million faida mtaji n zaid ya million 30 kwa mwezi.. faida hii n ndogo sana kaka.. advantage tu ni TRA hawakugusi.. ni ushuru tu unalipia..
Hukuona mbali tu,kwenye biashara inatakiwa uwe na jicho la mbali baada ya mwaka 1,2,3,.n,k amini nakwambia kwa faida hiyo kwa mwaka uko mbaliKaka mtaji more than 30 million faida Tzs 2.5 million per month.. kaka faida n ndogo compared to capital invested n hustling aiseee..
Tatizo lako hujaelewa afu unakaza fuvuSasa 10% ya 30m ni 150k ...duh!