Huyo Christopher ni msumbufu tu sio kwamba haelewi.Tatizo lako hujaelewa afu unakaza fuvu
Mwenzako kasema faida ya 2.5M ni almost 10% ya mtaji wake wa 30M,so asingeacha ni nzuri maana kuna watu wanawekeza mtaji mkubwa ila faida kidogo kwa mwezi akamtolea mifano hiyo ya waliojenga nyumba za kupqngisha kwa 300M na 30M (huyu anapata laki na nusu kwa mwezi)
Hii ni noma nimekubali.Boss hiyo hela ni nyingi sana na hatari kuiweka kwenye kikapu kimoja,vipi likitokea la kutokea,ajali moto n.k au ndo mzigo hua unakua na bima?
Anyways kama bado una tafuta biashara karibu kuna biashara nilifanya japo kwa uchache ila ilikua na faida,kikubwa inataka usimamizi na uwe na uwezo wa kufikia watu wengi maana yake uwe na mtaji.
1. Aina ya bidhaa ni chakula(cookies)
2. Muda wa ku-expire bidhaa ni 12 months
3. Mfumo wa biashara ni mzalishaji na ni distributer kwenye madukani,then unagawana faida na mwenye duka.
4. Namna ya kuzalisha,unachanganya viungo na kuoka,then unafanya packaging.
Ukiwa na mashine ya kufanya packaging itakua nzuri sana maana vitu vyenyewe ni vidogo vidogo,so vinahitaji speed kuvipack
5. Thamani ya bidhaa kwa end user ni Tsh.. 100
Kwa kiasi cha 2.5m faida ni wastani wa Tsh 350,000/- kwa mwezi sawa na wastani wa Tsh 11,666.....kwa siku.
Kama mtaji utakuwa mara 2 yake faida itakuwa mara mbili na kuendelea
5. Biashara ina unique code ya kibiashara imejificha katika ladha.... Hivyo ni ngumu kuiga ladha labda uvujishe siri ya mchanganyiko wako.
6.Wateja ni maeneo yenye watu wengi..mfano stendi,maduka ya shule,vyuoni,na maduka ya mtaani(Vioski)
Kama utaifanya iwe serious yani ukafanya packeging vizuri,kuzalisha kwa wingi,kutafuta mawakala wa kusambaza,na ukasambaza hadi maduka ya mikoani faida utapata...
Mimi nilijaribu kusambaza maduka jirani na maeneo ya shule na mitaani...
Kwenye Tsh 100 faida baada ya kugawana na mwenye duk unaweza pata tsh 25 hadi 35,
Ila kwa jumla ya bidhaa kwa mtaji wa 2.5m hukosi 350,000/- kwa mwezi
If interested DM
Kwa miaka ya sasahivi hakuna hiyo bei, mchele mzuri mpanda ni 1200, na madukani mikoani ni 1500, utapataje faida ya 600?Uko sahihi mimi nilifanya nikawa napata faida 500 mpaka 600 nimefanya kwa mwaka mmoja pekee na nilikua na mtu nasupply kwake sema mwisho kashtuka bei ila nimekacha nishapiga faida kama 40m. Inatosha sasa ila unatakiwa uwe mjanja aisee lasivyo unaweza kula hasara.
Katika ile mil 12 imebaki mil 6 au sio.....
Wewe unafanya biashara gani, hakuna cha kulipa sana, ili ikulipe lazima uwe mjanja mwizi kuchanganya.Biashara sio ya kila mtu, hakuna biashara inayolipa kama mazao
Biashara ya kuuza mahindi ni pasua kichwa.Changamoto ilikuwa nini mkuu? Muda unaotumia kukusanya mzigo au muda unaotumia mpaka mzigo uishe (mzunguko)? Au udogo wa faida?
Hii faida nimepiga mwezi wa 2. Mtaji nimenunua mashamba naingia rasmi kwenye kilimo huku nitarudi kutega kuna mtu alibutua mtego wangu.Kwa miaka ya sasahivi hakuna hiyo bei, mchele mzuri mpanda ni 1200, na madukani mikoani ni 1500, utapataje faida ya 600?
Asubuhi tu, ndo sababu biashara nyingi za waajiliwa zinakufa kila sikuNi kweli nakuelewa kwa upande wa circulation, ila kwa sisi ambao ni waajiriwa, kupotezwa dimbani ni rahisi
Sembe unachukulia wapi?Sijui wenzangu mnafanyaje biashara lakini biashara ya nafaka ina faida tena kubwa sana kwa upande mm natoa mchele Tabora napeleka dar na zenj sikosi faida ya kuanzia 300 per kilo tena mm nanunua mchele wala sio mpunga, nanunua sembe 850 per kilo na nauza 1200 per kilo na biashara inakwenda sasa sijui wenzangu mnakwama wapi.
Wengi kwenye Biashara wanahisi kuwa na mtaji mkubwa ndio kutoboa but uzoefu+ujanja+ubunifu lazima utoboe.
Mchele mzuri bei ni
1100 -1200 per KG
Usafiri Taboara to Dar ni Tsh 100 per KG
Mabega Tsh 7 per KG
Mambo mengine cost Tsh 100
Duuh hatariMkuu kuna kuchanganya pia sasa mteja wa jumla anakwambia umletee mchele wa 1,400 na wewe unanunua kwa 1,200 ongeza gharama 100 upate faida ya 100 na kukukipa hakulipi yote. Cha kufanya tafuta mchele wa 1,000 punguza chenga unampelekea walau upate faida la sivyo anakufilisi
HeeeeKatika ile mil 12 imebaki mil 6 au sio.....
Mkuu mbona hiyo bisnaa ilikuwa poa kabisa 2.5 siyo ndogo. Otherwise ubase kwenye Uwekezaji wetu uleeee muhindi. com but you already know the risk!Nilikuwa nawapelekea wafanyabiashara.. afu Mali kauli.. unamshushia huyu tani 3 yule tani 5 yule 3 mpk zinakwisha. Then unachukua pesa after one week..
Biashara ya kuuza mahindi ni pasua kichwa.
Hii kazi kwa sasa ishakua ngumu, saivi watu wengi mitaji yao imekuwa mikubwa ila kwenye jambo la biashara hawana mbinu ya kufanya biashara mpya, wamebaki kuiga tu.
Unakuta mtu ana pesa ndani ila biashara ya kufanya hajui, anakaa anaangalia mafanikio ya mtu kwanza kisha kazi gani anafanya.
Basi yeye mzima mzima anaingia kwenye hyo kazi ambayo ameiga kutoka kwa mtu fulani, bila kujua mwenzie amefanya lipi na lipi mpaka akasimama.
Biashara ya kwa sasa sio biashara, KWANINI?
Hii kazi kwa sasa ni ngumu, una kwenda shamba kununua, kule unakuta kuna dalali wa mahindi shambani.
Huyo dalali ana kwambia (niache pesa nikukusanyie mzigo)
Ili ukusanye mzigo haraka inabidi uitawanye pesa yako kwa madalali wengi na sehemu tofauti tofauti.
Kila dalali unaweza kukusanya roba 10-15 kwa wiki, inategemea pesa yako na hali ya hewa kama inaruhusu.
Sasa kuna mawili, dalali wa shamba akimbie na pesa au akupe mzigo wako.
Sasa tatizo lingine ni unakuta mabosi mpo wengi mnao mwachia pesa dalali, labda ww ni wa4 kat ya hao mabosi mpaka kufikia zamu yako.
Hivo hali hyo itafanya ushindwe kwenda na muda, utakuta unakaa cku nyingi bila kutoa mzgo shamba na kipengele kingine ni usafiri.
Pesa nyingi sana inaishia kwenye usafiri wa kutoka shamba hadi kufika barbrn, baada ya hapo ndo upakie mzigo kwenye ya 1kwa1 mpaka mjini.
Kipnd cha nyuma tulikuwa tunapata faida ya ef 7 kwa roba moja lenye uzito wa wastani kilo 128, ila kwa sasa bei ya shamba na mjini utakuta inapishana elfu 10, sasa ukipiga hesabu ya kibiashara inakuwa hailipi!
Kutoka nlipo hadi ufike huko mashambani unatumia saa 1-2 (spidi 50-70) kwa pkpk na inategemea na kasi yako.
Kutoka nyumbani nilipo mpaka mjini (km 110) na ukisema ununulie hapa hapa unachelewa kueneza mzigo kwa muda unaotakiwa na bei inakuwa kubwa tofauti na shamba, maana bei za mahindi huwa znapanda na kushuka.
Muda mwingine baadhi ya madalali wa mjini pia huwa ni vipengele. Unampa mzigo afu yeye hakupi pesa taslimu, au anatengeneza mazingira akupige pesa kwa njia ya uchafu au vumbi la mahindi.
Kabla ya kupima roba lazima dalali alikague kwa kulipiga bambo kisha anaangalia mahindi kama mapya, zamani, meupe, njano, machafu(vumbi) au fangasi.
Sasa dalali anapga bambo roba la kwanza la pili la tatu kisha anakwambia mahindi yako machafu, yana vumbi hivyo nakata kilo moja kila roba na wengine anakukata hadi kilo 2, kwa7b unakua huna jinsi inabidi ukubaliane naye kupima ivo ivo.
Sasa ukipiga hesabu unakuta dalali ashakupga zaidi ya shilingi 300-600 mara idadi ya roba zako.
Unaweza kuona hyo pesa anayokukata dalali ni ndogo ila ukija kuzidisha mara mzigo wako wote, anakuwa amekuvuta shat pakubwa sana yaan anaweza akachukua roba 1 kwenye roba 60.
Hizo ni baadhi ya changamoto ambazo unaweza kukutana nazo kazini.
Daa Asante aisee yaani umeelezea deep sana, kwa kweli nashukuru sana, barikiwa 🙏Biashara ya kuuza mahindi ni pasua kichwa.
Hii kazi kwa sasa ishakua ngumu, saivi watu wengi mitaji yao imekuwa mikubwa ila kwenye jambo la biashara hawana mbinu ya kufanya biashara mpya, wamebaki kuiga tu.
Unakuta mtu ana pesa ndani ila biashara ya kufanya hajui, anakaa anaangalia mafanikio ya mtu kwanza kisha kazi gani anafanya.
Basi yeye mzima mzima anaingia kwenye hyo kazi ambayo ameiga kutoka kwa mtu fulani, bila kujua mwenzie amefanya lipi na lipi mpaka akasimama.
Biashara ya kwa sasa sio biashara, KWANINI?
Hii kazi kwa sasa ni ngumu, una kwenda shamba kununua, kule unakuta kuna dalali wa mahindi shambani.
Huyo dalali ana kwambia (niache pesa nikukusanyie mzigo)
Ili ukusanye mzigo haraka inabidi uitawanye pesa yako kwa madalali wengi na sehemu tofauti tofauti.
Kila dalali unaweza kukusanya roba 10-15 kwa wiki, inategemea pesa yako na hali ya hewa kama inaruhusu.
Sasa kuna mawili, dalali wa shamba akimbie na pesa au akupe mzigo wako.
Sasa tatizo lingine ni unakuta mabosi mpo wengi mnao mwachia pesa dalali, labda ww ni wa4 kat ya hao mabosi mpaka kufikia zamu yako.
Hivo hali hyo itafanya ushindwe kwenda na muda, utakuta unakaa cku nyingi bila kutoa mzgo shamba na kipengele kingine ni usafiri.
Pesa nyingi sana inaishia kwenye usafiri wa kutoka shamba hadi kufika barbrn, baada ya hapo ndo upakie mzigo kwenye ya 1kwa1 mpaka mjini.
Kipnd cha nyuma tulikuwa tunapata faida ya ef 7 kwa roba moja lenye uzito wa wastani kilo 128, ila kwa sasa bei ya shamba na mjini utakuta inapishana elfu 10, sasa ukipiga hesabu ya kibiashara inakuwa hailipi!
Kutoka nlipo hadi ufike huko mashambani unatumia saa 1-2 (spidi 50-70) kwa pkpk na inategemea na kasi yako.
Kutoka nyumbani nilipo mpaka mjini (km 110) na ukisema ununulie hapa hapa unachelewa kueneza mzigo kwa muda unaotakiwa na bei inakuwa kubwa tofauti na shamba, maana bei za mahindi huwa znapanda na kushuka.
Muda mwingine baadhi ya madalali wa mjini pia huwa ni vipengele. Unampa mzigo afu yeye hakupi pesa taslimu, au anatengeneza mazingira akupige pesa kwa njia ya uchafu au vumbi la mahindi.
Kabla ya kupima roba lazima dalali alikague kwa kulipiga bambo kisha anaangalia mahindi kama mapya, zamani, meupe, njano, machafu(vumbi) au fangasi.
Sasa dalali anapga bambo roba la kwanza la pili la tatu kisha anakwambia mahindi yako machafu, yana vumbi hivyo nakata kilo moja kila roba na wengine anakukata hadi kilo 2, kwa7b unakua huna jinsi inabidi ukubaliane naye kupima ivo ivo.
Sasa ukipiga hesabu unakuta dalali ashakupga zaidi ya shilingi 300-600 mara idadi ya roba zako.
Unaweza kuona hyo pesa anayokukata dalali ni ndogo ila ukija kuzidisha mara mzigo wako wote, anakuwa amekuvuta shat pakubwa sana yaan anaweza akachukua roba 1 kwenye roba 60.
Hizo ni baadhi ya changamoto ambazo unaweza kukutana nazo kazini.
Hiyo Biashara ya Mchele inanitesa mno. Malikauli takribani Wiki 2 Mpaka mwezi. Faida yenyewe ni inaishia kwenye Matumizi ya home na watoto shuleni.Ni kweli faida n ndogo sana kwa kwel.. nshawah fanya business ya mchele hii nilikuwa nasafirisha tani 30 .. mtaji zaid ya million 30 afu faida 2.5 million.. ni upuuzi kbsaa... hapo ume hustle kupata hizo tani 30 si mchezo afu faida 2.5 million kwa mwezi.. nimechana nayo saiv nataka niamie kwenye kuuza madini.. broker..
Me naenda kwenye Dhahabu.."Broker"..?Hiyo Biashara ya Mchele inanitesa mno. Malikauli takribani Wiki 2 Mpaka mwezi. Faida yenyewe ni inaishia kwenye Matumizi ya home na watoto shuleni.
Natamani kuiacha Lakini Sioni pakukimbilia.
Afadhari Kilimo Cha umwagiliaji kuliko Biashara ya Mchele.
Nenda tandale ndo utapata wateja ila biashara hiyo lazima utumie madalaliHebu nipeni chimbo la mahindi dar ni wapi nitauza kwa bei mzuri
Naelewa kuhusu madalali wewe unamba ya dalali yeyoteNenda tandale ndo utapata wateja ila biashara hiyo lazima utumie madalali
Naelewa kuhusu madalali wewe unamba ya dalali yeyoNenda tandale ndo utapata wateja ila biashara hiyo lazima utumie madalali
Nakubaliana na wewe. Biashara ya mazao ina faida kuliko kilimo chenyewe. Inahitaji timing ya muda wa soko zuri. Kuna high season na low season kama zilivyo biashara zingine. Pia itategemea unajumua wapi na kuuzia naniSijui wenzangu mnafanyaje biashara lakini biashara ya nafaka ina faida tena kubwa sana kwa upande mm natoa mchele Tabora napeleka dar na zenj sikosi faida ya kuanzia 300 per kilo tena mm nanunua mchele wala sio mpunga, nanunua sembe 850 per kilo na nauza 1200 per kilo na biashara inakwenda sasa sijui wenzangu mnakwama wapi.
Wengi kwenye Biashara wanahisi kuwa na mtaji mkubwa ndio kutoboa but uzoefu+ujanja+ubunifu lazima utoboe.
Mchele mzuri bei ni
1100 -1200 per KG
Usafiri Taboara to Dar ni Tsh 100 per KG
Mabega Tsh 7 per KG
Mambo mengine cost Tsh 100