Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

Inaonekana huyo wa kwako ni wa kupepea vidume viona chupi tayari
Ni kuchovya tu? Sasa bila mpapasano hiyo erection inatokea wapi inabidi utoke nyumbani ukiwa umesimamisha mkuyenge tayari? Je vipi condom ikapasuka?
Mnapanga foleni ya kuchovya ama? [emoji23]
 
Ni hatari sana na wanaume wanaonunua wana roho ngumu na hawana kinyaa yaani unajua kabisa unaweza ukawa ni 13 hivi kwa siku hiyo na bado unaenda na wewe sehemu walipotoka wenzio[emoji848]
Ikioshwa inakuwa mpya [emoji8]
Halafu viporo navyo vina raha yake
[emoji23][emoji23]
 
Biashara ya ngono ndio kongwe kuliko zote duniani
 
Wanajamii forum nimetafakari kwa kina nimeona jinsi siku zinavyo enda thamani ya wadada wanao jiuza a.k.a machangudoa either wanaopanga mistari kujiuza au wanaojiuza kupitia badoo,tinder nk itaendelea kukua kwa kasi ya ajabu sababu kuu ya kukua kwa biashara hiyo ni kwamba wako direct,wanakupa bei mnakubaliana kiasi na walio wengi bei zao ni affordable kwa wanaume wengi hivyo unalipa unapata huduma hamna kusumbuana tena wala kuleteana mawivu,hakuna sijui hela ya kusuka,sijui mimi sijala,sijui hela ya pango,sijui hela ya vikoba na mausumbufu mengiiii kumfanya mwanaume ATM.

Kijana anaangalia kipato chake anaona heri kudeal na changu wa badoo,tinder au wa mtaani anako tumia gharama ndogo na anapata anacho kitaka na mwisho wa siku vijana wengi hawataona umuhimu wa kuoa ,matokeo yake itakuwa kuongezeka kwa single mothers mitaani kunako sababishwa na wanawake wengi kuwa too much demanding kama chuma ulete,wakati hao wanaume wenye vipato vya kuwakidhi mahitaji yao siyo wengi kwa mazingira ya kitanzania
 

1 Tim 6:10 SUV​

Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha; ambayo wengine hali wakiitamani hiyo wamefarakana na Imani, na kujichoma kwa maumivu mengi.
 

1 Tim 6:10 SUV​

Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha; ambayo wengine hali wakiitamani hiyo wamefarakana na Imani, na kujichoma kwa maumivu mengi.
Kaka tunako elekea thamani ya mwanamke inazidi kushuka kwa kasi ya ajabu siku hizi mtu akiwa na pesa anawutumia kwa kadri atakavyo hata kuwaingilia kinyume na maumbile wao hawaoni shida kufanya hivyo kwasababu ukiwaonesha pesa wako tayari kufanywa lolote
 
Kaka tunako elekea thamani ya mwanamke inazidi kushuka kwa kasi ya ajabu siku hizi mtu akiwa na pesa anawutumia kwa kadri atakavyo hata kuwaingilia kinyume na maumbile wao hawaoni shida kufanya hivyo kwasababu ukiwaonesha pesa wako tayari kufanywa lolote
Hata mimi nilisha wambia hili jambo thamani ya mwanamke inashuka kwa kasi tusishangae ikafika mahala mahali ikawa inalipwa kwa mwanaume hili binti aolewe.
 
Kaka tunako elekea thamani ya mwanamke inazidi kushuka kwa kasi ya ajabu siku hizi mtu akiwa na pesa anawutumia kwa kadri atakavyo hata kuwaingilia kinyume na maumbile wao hawaoni shida kufanya hivyo kwasababu ukiwaonesha pesa wako tayari kufanywa lolote
Kabisa mkuu
 
Kaka tunako elekea thamani ya mwanamke inazidi kushuka kwa kasi ya ajabu siku hizi mtu akiwa na pesa anawutumia kwa kadri atakavyo hata kuwaingilia kinyume na maumbile wao hawaoni shida kufanya hivyo kwasababu ukiwaonesha pesa wako tayari kufanywa lolote

Bila pesa mapenzi ya saiv utakuwa unateseka tu. Wanawake wanauza utu wao ndomaana heshima kwao inashuka..
 
Back
Top Bottom