Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

wenzao wajanja saivi wanafanyia online delivery .Whatsap , Telegram badoo na mitandao mingine . kiufupi kwa hali ilivyo sasa asilimia kubwa sana ya wanawake tunaokutana nao mitaani wanajiuza kwa namna moja au nyingine
Nipatie link ya kujiunga na hiyo dating ya telegram,wadownload vipi,nilijaribu play store ikaja telegram tofauti
 
Kwa Dar wahaya wanajulikana sehemu nyingi sana.
Buguruni kwa wahaya
Sokota kwa wahaya
Temeke kwa wahaya
Kumbe hadi Mwananyamala???
The Great Haya unaweza kulitolea maelezo hili?

Hawa ni wajasiliamali kwa asili yao!! Hii biashara ni rasmi hata wakikamatwa wakifika mahakamani wanaachiwa!! Toka ameingia Samia madarakani sijasikia wakisumbuliwa!!!
 
Hizo siku za weekendi 100,000 hadi 150k duh hizo papuchi zao zinakua na hali gani aisee, njaa mbaya sana[emoji25]
Wateja wengi hawafanyi kifanisi maana wanakuta tayari 'Ph' imeondolewa na mteja wa kwanza na kubakizwa likambakamba tu.

Wateja wengine mnaofuata inakuwa mnakula jojo iliyotafunwa na kutemwa huku mkijua, sifa pale ni kuonekana na nyie mme chew gum kulaleki!

Kutafuna 'jojo' iliyokwisha kutumika haimuumizi 'mmiliki' hata mgekuja elfu.

Tena akiwa keshapata hela ya kula, ndiyo kabisaa, mteja habembelezwi, atafanya huku anasimangwa ama kutukaniwa mkewe ili aelewe mali anayoitumia si yake na inasubiriwa na wengine huko nje.

Sasa hapo kwa mambo kama hayo, morali ya kutenda mpaka aumize mtu ataiotoa wapi!

Na akijifanya fundi wa kung'ang'ania vifua vya watu, atashushwa kwa nguvu na kutupiwa hela zake na kufurushwa kama mbwa!

Ubinadamu haupo linapokuja suala la ngono, huwa ni unyama uliopitiliza!
 
Hizo siku za weekendi 100,000 hadi 150k duh hizo papuchi zao zinakua na hali gani aisee, njaa mbaya sana😪
Hujapatwa na njaa shukuru Mungu una mahali unaamkia na mwisho wa Mwezi unalipwa mshahara. Una mzazi utamlilia kipindi unapitia magumu atakufariji.

Kuna watu wana hali ngumu yeye ndo baba na mama at the same time ana wadogo zake na hana hata cheti cha degree miaka yote ana hustle tu to make ends meet!
 
Back
Top Bottom