Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,269
Acha ungese ongea vitu vya msingi. Rejea mada[emoji115]Bro jana ulirudi usiku kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ungese ongea vitu vya msingi. Rejea mada[emoji115]Bro jana ulirudi usiku kweli?
Ameuliza labda majibu yake kwenye mada yanadepend na mda uliorudi jana, je jana ni kweli ulirudi usiku?Acha ungese ongea vitu vya msingi. Rejea mada[emoji115]
Idiot, hovyo kabisaAmeuliza labda majibu yake kwenye mada yanadepend na mda uliorudi jana, je jana ni kweli ulirudi usiku?
Ila issue ni kuwa ukienda Buguruni tena kwenye room yake, huduma ni ile ile. Sasa huoni watu wanapoteza hela? Kwa nini wasiende moja kwa moja huko kwenye vyumba vyao iwe uwanja wa fisi au buguruni?Nadhani hiyo ndo inayoitwa "kujiongezea thamani".
Umeuelewa uzi kweli mkuu?Maisha magumu,wenye sura nzuri wengi hawana shughuli za kufanya
Of course yes.!Naruhusiwa kusoma comments?
Mada yako pana sana mkuu, inabidi tujue kwanza ulirudi mda gani jana, kuna ubaya wowote?Idiot, hovyo kabisa
AhsanteOf course yes.!
Kwa nini? Sidhani.!@ Extrovert na KENZY umewaonea
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Mada yako pana sana mkuu, inabidi tujue kwanza ulirudi mda gani jana, kuna ubaya wowote?
Hakuna ladha kivipi?Pale mwananyamala karibu na hospital pale palinibeba sana ila hakuna radha, siku niliyostaafu nikaenda kupima na ngoma mtaa wa nyuma hapo hapo
Nawaona wapole sanaKwa nini? Sidhani.!
Mabaharia haoNawaona wapole sana
Nafikiri lugha ya kuwasilisha nimekosea kidogo, samahani kwa hilo.Huwa mnanunua mtu au mnalipia huduma?