Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

sikia wewe mimi wake zangu nimewapa majukumu wako bize kama maafisa wa ikulu nawapa vibonus vya kazi hapa na pale, wanaweza fanya ushenzi lakini wakiwa wamechoka sana.
Wanaokuuzia BIDHAA wapo busy? Hiv unajua nature ya Mfanyabiashara? Anataka apate FAIDA zaidi. Sasa BEWARE Bro.
 
Mikopo KAUSHA DAMU.
Vikoba pia na SHEREHE za kijingajinga zinawafanya wawe wabunifu sana ktk BIASHARA zao.
 
Wale wa Tanzania wapo pia humo mkuu?????
Sijajua mkuu ila naona naona wengi wa kenya na wanaigeria but wabongo wapo sio kivile...hawapo kwa vile bongo malipo yake ni kupitia paypal na visacard ambapo wabongo wengi tunashindwa kupokea na kuweka pesa..si unajua paypal tz haipokei zaid ya kufanya malipo online tofauti na kenya ambapo inapokea tena paypal yao wamelink no no zao simu inakuwa rahisi.
 
Nimekusoma..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…