Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Ukilinganisha na hali ya kimaisha ilivyo, wao wanaona kabisa hawawezi kuishi maisha magumu wakati vitega uchumi wanavyo.
 
Hivi ushawahi kula Malaya alafu Malaya akakupenda from nowhere wakati yeye anafanya biashara? Nilikua sijui km Malaya eti nao wanapenda
Ishanitokea iyo alafu baada ya kumgonga akizidisha mazoea akataka kuleta yale mambo ya kugandana. Mara katuma text uko wapi, nisipopokea simu yake nikija kuonana nae anamaindi ikabidi nimwambie tu ukweli nipo na mahusiano yangu kilichotokea kati yetu ilikua one night stand tu kwaiyo asichukulie siriaz kuanzia hapo akanuna nikienda pub anapofanyia kazi anichangamkii kama zamani mara moja moja sana anajikaza na kuja kunisalimia ila akiniona nimekaa sehemu atajipitisha pitisha sana hapo halafu na mimi nauchuna kama sijamuona vile
 
Kwa uzoefu wangu humu ndani nimegundua wanawake wa jf wote independent women. Big up sana kwenu.
 
Anyway, anaeuza na anaenunua wote wapo kundi moja, unapokuja kuwaanika wenzio hapa unajiaibisha
Anaeuza ndio chanzo cha matatizo. Ukimbana mnunuzi biashara itaendelea kuwepo ila ukimbana muuzaji automaticaly biashara itakufa. Ndio maana hata madawa ya kulevya wanasakwa wauzaji uwezi kuona wanasakwa mateja wapelekwe kwenye vyombo vya sheria
 
Kina Fulani wana range kwa biashara ya nguo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…