Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

TAKWIMU: Biashara ya NGONO ndio Biashara inayofanywa na WANAWAKE wengi zaidi.

Ndio ukweli,

Nimekuwa mtu wa kwenda katika maeneo ya starehe hasa katika mji wa DSM.

Katika Bar/Night Club hizo WANAWAKE ndio wengi
1> Wahudumu
2>Wanywaji

Hao wote wengi wao ni wafanyabiashara.

Sasa piga mahesabu kuna Bar na Clubs ngapi za starehe hapa DSM na zote zinafurika hawa Wadada.

Sijapigia hesabu CASINO's.

Sijapigia hesabu PUB's hizo ndio balaaa wale wamiliki wa PUB nyingi ni Wanawake unajua kwanini? Haya simalizii.



Wale WAKE za watu au Wanafunzi wa vyuo ndio wanaitumia sana hii, wengi wanatoa huduma remotely yaan bila kukutana na MTEJA.

Watauza Videos zao za Utupu,
Wataweka bei elekezi umpigie VIDEO CALL uone Utupu Live yaani Full HD.

Hiyo yote ni Biashara.

Sijaitaja ile style yao ya BIASHARA ya Waziwazi. Maana ktk kila mitaa iliyochangamka hao watu wapo na wanajulikana. Na BIASHARA zinapofanyika watu wanajua.

>> KUNA BIASHARA nyingine inafanyika huko ktk SALOONS.

Piga hesabu kuna Saloon ngapi za kiume Mjini zile zenye wadada..

>> BIASHARA nyingine katika MASSAGE centers.

Piga hesabu kuna vilinge vingapi vya Masaji.. naaaaam unaona BIASHARA inavyobeba hazina ya Dada zetu ee..

>> BIASHARA nyingine inafanyika INDIRECTLY

Hii sasa ni ya kiintelijensia zaidi, yaan Mwanamke anawaunga ktk Mahusiano wanaume zaidi ya watano na kuwatenga ktk makundi yafuatayo:

1> Kodi ya Nyumba na Chakula
2> OUTINGS na starehe
3> SIMU na Bundles
4> ADA (kama ni mwanachuo)
5> Mtaji wa Biashara (Mara nyingi wanajifichia ktk Nguo na Viatu ndio biashara zao pendwa, wengine vipodozi na perfumes)

Sasa nihitimishe.

Ukiangalia kwa jicho la KITAALAM utaona ktk asilimia 100% ya wanawake wote, basi asilimia 89% wapo ktk huu mfumo wa BIASHARA. Ni hatari.

Binafsi, napata Changamoto sana ktk upande wa kuchagua MWANAMKE hata wa kuwa nae ktk MAHUSIANO kutokana na mtindo huo wa BIASHARA.

NDIO maana nawasisitiza vijana hasa wa KIUME wawe makini. Na wasije wakatepeliwa na kitu kinachoitwa ______ simalizii.
Ukilinganisha na hali ya kimaisha ilivyo, wao wanaona kabisa hawawezi kuishi maisha magumu wakati vitega uchumi wanavyo.
 
Hivi ushawahi kula Malaya alafu Malaya akakupenda from nowhere wakati yeye anafanya biashara? Nilikua sijui km Malaya eti nao wanapenda
Ishanitokea iyo alafu baada ya kumgonga akizidisha mazoea akataka kuleta yale mambo ya kugandana. Mara katuma text uko wapi, nisipopokea simu yake nikija kuonana nae anamaindi ikabidi nimwambie tu ukweli nipo na mahusiano yangu kilichotokea kati yetu ilikua one night stand tu kwaiyo asichukulie siriaz kuanzia hapo akanuna nikienda pub anapofanyia kazi anichangamkii kama zamani mara moja moja sana anajikaza na kuja kunisalimia ila akiniona nimekaa sehemu atajipitisha pitisha sana hapo halafu na mimi nauchuna kama sijamuona vile
 
Unaposema 89% ni zaidi ya robo tatu ya wanawake Tanzania, ni sawa na kusema wanawake wote Tanzania wanajiuza isipokua watoto wadogo maana hiyo percent ndogo iliyobaki 11% ni watoto wa kike, hapa unatukosea heshima sana, sikatai kuna wanawake wanajiuza lakini haijumuishi wanawake wote Tanzania
Kwa uzoefu wangu humu ndani nimegundua wanawake wa jf wote independent women. Big up sana kwenu.
 
Anyway, anaeuza na anaenunua wote wapo kundi moja, unapokuja kuwaanika wenzio hapa unajiaibisha
Anaeuza ndio chanzo cha matatizo. Ukimbana mnunuzi biashara itaendelea kuwepo ila ukimbana muuzaji automaticaly biashara itakufa. Ndio maana hata madawa ya kulevya wanasakwa wauzaji uwezi kuona wanasakwa mateja wapelekwe kwenye vyombo vya sheria
 
Ubaya hata akipata AJIRA RASMI
Atarud ktk hii BIASHARA.
NA WENGI wenye mitaji mikubwa ya hii BIASHARA na wenye BIDHAA Nzuri zenye ushindani SOKONI wengi wao ni wanajiita CLASSY.. yaan matawi ya juu kununua BIDHAA yake uweke DAU kubwa.

Dau linategemea.

1> CHEO
2> FEDHA
3>MALI (Nyumba na Magari..)
Kina Fulani wana range kwa biashara ya nguo,
 
Back
Top Bottom