Kaka!! Oldest proffession haifikii ya uuwaji,wizi na ujambazi.
Baada ya binadamu kuumbwa, shughuli ya kwanza kufanyika ni hiyo!. Sijui ni wangapi wanaijua dhambi ya asili ni nini?. Sijui ni wangapi wanajua Adam na Eva/Hawa waliookatazwa kula lile tunda la mti wa katikati sijui ni wangapi mnajua ni tunda tuu au ni tendo?.
Kwa kukusaidia tuu, dhambi ya asili, the original sin ni tendo!, ili binadamu azaliwe lazima kwanza lile tendo lifanyike!. Mtu wa kwanza kulitenda ni Eva, na hakulitenda na Adam, alilitenda na shetani ambae alijigeuza a handsome young man. Shetani alipenye kuingia bustanini kwa kujigeuza nyoka baada ya kuingia akajigeuza binadamu, a handsome young man akamtokea Eva, akamuingiza kingi, Eva akaingia line, tunda likaegwa, ndipo Eva akamfuata Adam na kumlazimisha kumega, the game was heavy!, wakafika pamoja na kuishia zao uzingizini. Ili binadamu azaliwe ni lazima dhambi hiyo ya asili itendeke!. Dhambi hiyo hiondolewa kwa kubatizwa, na sisi Wakatoliki makasisi wetu na watawa wetu wanakula kiapo cha kutoitenda!. Ni binadamu mmoja tuu duniani alikingiwa dhambi ya asili, huyo ni Bikira Maria, akapata Mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, hivyo Yesu hakuzaliwa na dhambi ya asili kwasababu tendo halikutendeka!.
Kwa dhambi ile wanawake wote wakaadhibiwa kuzaa kwa uchungu!. Hawa wanawake wa kisasa wanaojifungua kwa cesarean by choice kuepuka uchungu wanatenda dhambi!.
Prostitution is both immoral and illegal,
Naunga mkono hoja, prostitution ni lile tendo, likifanywa kwa heshima sio prostitution.
huwezi kufananisha marriage na prostitution
Sijafananisha prostitution na ndoa, nimesema sababu ya ndoa ni lile tendo!, watoto na kujenga familia ni matokeo tuu, mtu kufunga ndoa ili kuhalalisha tendo kihalali. Wanaoolewa ni wenye bahati bidhaa yao imenunuliwa na mteja mmoja kwa bei ya jumla!, kinacholipiwa ile mahari sio kumnunua mtu ni kununua ile huduma!.
Ambao hawajaolewa ni the unfortunate ones hivyo wanauza rejareja kwa wateja tofauti tofauti. NB. Wako wanawake ambao hawajaolewa na hawafanyi hiyo biashara, wamejituliza na wanajiheshimu!, na kuna wanawake wana ndoa zao na bado wanafanya hiyo biashara part time na ndoa zao zipo. Shughuli hiyo ndio ajira ya kwanza ya Mama yetu Eva na ndio ajira kuu duniani iliyoajiri watu wengi kuliko ajira nyingine yoyote!.
. siyo wote walioingia ktk ndoa wamefuata kulipwa hela na wanaume,
It's true kuna wanawake wengi wanaingia kwenye ndoa wakiwa na kazi zao na wengine wana vipato kuliko waume zao, hivyo wanaolewa kwa mapenzi tuu, lakini lengo la ndoa zote ni lile tendo na mwanaume ana wajibu kukuhudumia ili kulipia huduma hiyo, that is the business part of it!.
Natofautiana na wewe, ndoa nyingi zinadumu kwasababu kuna alternatives, kuna wanawake wengi wako kwenye ndoa zao kwasababu tuu wana alternative lakini mapenzi yalikwisha siku nyingi ni michepuko ndio inazishikilia. Mimi mwenyewe nimeisha wahi kusaidia sana kudumisha ndoa za watu, nami pia nikadumishiwa ya kwangu.
Unalinda familia, hiyo biashara inasaidia sana jamii.
unaongeza watoto mitaani, unadumaza akili za wanawake, unasambaza magonjwa nk nk
Hizo ni changamoto tuu tena kwa taarifa yako waathirika wakuu wa ukimwi ni wanandoa na mahusiano ya kuaminiana, wale wenye kazi zao, ni lazima uvae kinga bila kinga no game!.
P