Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Naunga mkono hoja, ni kweli kabisa, huduma hiyo ndio the oldest professional na the oldest business ambayo imeajiri watu wengi kuliko ajira nyingine zote!.

The fortunate ones wao bidhaa zao zimenunuliwa kwa bei ya jumla na mteja mmoja, hivyo kuitwa jina la heshima "wife", the unfortunate ones inawabidi kuuza rejareja kwa wateja tofauti tofauti.

Ndio maana tulishauri Opinion: Its High Time, Tanzania Tuhalalishe "The Oldest Profession?!", na Ikiwezekana, to Legalize Marijuana!

P.
Kaka!! Oldest proffession haifikii ya uuwaji,wizi na ujambazi. Prostitution is both immoral and illegal, huwezi kufananisha marriage na prostitution. siyo wote walioingia ktk ndoa wamefuata kulipwa hela na wanaume, ukahaba upigwe vita, unavunja familia/ndoa , unaongeza watoto mitaani, unadumaza akili za wanawake, unasambaza magonjwa nk nk
 
Kaka!! Oldest proffession haifikii ya uuwaji,wizi na ujambazi.
Baada ya binadamu kuumbwa, shughuli ya kwanza kufanyika ni hiyo!. Sijui ni wangapi wanaijua dhambi ya asili ni nini?. Sijui ni wangapi wanajua Adam na Eva/Hawa waliookatazwa kula lile tunda la mti wa katikati sijui ni wangapi mnajua ni tunda tuu au ni tendo?.
Kwa kukusaidia tuu, dhambi ya asili, the original sin ni tendo!, ili binadamu azaliwe lazima kwanza lile tendo lifanyike!. Mtu wa kwanza kulitenda ni Eva, na hakulitenda na Adam, alilitenda na shetani ambae alijigeuza a handsome young man. Shetani alipenye kuingia bustanini kwa kujigeuza nyoka baada ya kuingia akajigeuza binadamu, a handsome young man akamtokea Eva, akamuingiza kingi, Eva akaingia line, tunda likaegwa, ndipo Eva akamfuata Adam na kumlazimisha kumega, the game was heavy!, wakafika pamoja na kuishia zao uzingizini. Ili binadamu azaliwe ni lazima dhambi hiyo ya asili itendeke!. Dhambi hiyo hiondolewa kwa kubatizwa, na sisi Wakatoliki makasisi wetu na watawa wetu wanakula kiapo cha kutoitenda!. Ni binadamu mmoja tuu duniani alikingiwa dhambi ya asili, huyo ni Bikira Maria, akapata Mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, hivyo Yesu hakuzaliwa na dhambi ya asili kwasababu tendo halikutendeka!.

Kwa dhambi ile wanawake wote wakaadhibiwa kuzaa kwa uchungu!. Hawa wanawake wa kisasa wanaojifungua kwa cesarean by choice kuepuka uchungu wanatenda dhambi!.
Prostitution is both immoral and illegal,
Naunga mkono hoja, prostitution ni lile tendo, likifanywa kwa heshima sio prostitution.
huwezi kufananisha marriage na prostitution
Sijafananisha prostitution na ndoa, nimesema sababu ya ndoa ni lile tendo!, watoto na kujenga familia ni matokeo tuu, mtu kufunga ndoa ili kuhalalisha tendo kihalali. Wanaoolewa ni wenye bahati bidhaa yao imenunuliwa na mteja mmoja kwa bei ya jumla!, kinacholipiwa ile mahari sio kumnunua mtu ni kununua ile huduma!.
Ambao hawajaolewa ni the unfortunate ones hivyo wanauza rejareja kwa wateja tofauti tofauti. NB. Wako wanawake ambao hawajaolewa na hawafanyi hiyo biashara, wamejituliza na wanajiheshimu!, na kuna wanawake wana ndoa zao na bado wanafanya hiyo biashara part time na ndoa zao zipo. Shughuli hiyo ndio ajira ya kwanza ya Mama yetu Eva na ndio ajira kuu duniani iliyoajiri watu wengi kuliko ajira nyingine yoyote!.
. siyo wote walioingia ktk ndoa wamefuata kulipwa hela na wanaume,
It's true kuna wanawake wengi wanaingia kwenye ndoa wakiwa na kazi zao na wengine wana vipato kuliko waume zao, hivyo wanaolewa kwa mapenzi tuu, lakini lengo la ndoa zote ni lile tendo na mwanaume ana wajibu kukuhudumia ili kulipia huduma hiyo, that is the business part of it!.
ukahaba upigwe vita,
Natofautiana na wewe, ndoa nyingi zinadumu kwasababu kuna alternatives, kuna wanawake wengi wako kwenye ndoa zao kwasababu tuu wana alternative lakini mapenzi yalikwisha siku nyingi ni michepuko ndio inazishikilia. Mimi mwenyewe nimeisha wahi kusaidia sana kudumisha ndoa za watu, nami pia nikadumishiwa ya kwangu.
unavunja familia/ndoa ,
Unalinda familia, hiyo biashara inasaidia sana jamii.
unaongeza watoto mitaani, unadumaza akili za wanawake, unasambaza magonjwa nk nk
Hizo ni changamoto tuu tena kwa taarifa yako waathirika wakuu wa ukimwi ni wanandoa na mahusiano ya kuaminiana, wale wenye kazi zao, ni lazima uvae kinga bila kinga no game!.
P
 
Halafu wanajisifia wanawake siku hizi ni wapiganaji!!! Kumbe ni wafanyabiashara haramu iliyokatazwa na sheria za dini na serikali na hawalipi kodi yeyote.
Wanajiita "Wapambanaji..." huwezi jua wanapambana na nini haswa.......
 
Hizo ni changamoto tuu tena kwa taarifa yako waathirika wakuu wa ukimwi ni wanandoa na mahusiano ya kuaminiana, wale wenye kazi zao, ni lazima uvae kinga bila kinga no game!.
P
Umenikumbusha kitu, hao WAFANYABIASHARA ambao wapo serious na Kazi zao, huwa wapo very careful yaani kavu kavu huwezi kwenda nae na wengi wanatembea nazo zile PROTECTIVE GEARS.

Ila hawa wengine sasa wanaofanya kwa KUIBIA IBIA ndio wabaya, maana anaenda mikono mitupu kwa TAMAA zake za kifedha au kimaterio (Simu etc).

Hawa pia hawana GUTS za kumuamrisha MTEJA wake atumie ZANA au Wapime AFYA, anahofia ataharibu MAHUSIANO ya Kibiashara baina yao. Mwisho wa siku ndio VICTIM wakubwa wa Magonjwa mbalimbali.

Kwa upande wangu MALAYA wa barabarani yupo safe kuliko BINTI wa Chuoni.
 
Hela ya kujiuza ni kama Opium au Cocaine ukionja huachi. Hata Hawa watoto WA chuo wanajiuza now wakiipata kazi still wataendelea kufanya.. Inakuwa kama Uraibu ndo maana hata walio maofisini wanaendeleza hela yako tu. Na anapokea mshahara mzuri tu WA kumtunza but lazima akauze. Now tuna date na machangudoa ila ndio tutafanyaje Sasa
 
Nilienda TANGA kikazi.

Baada ya kupiga MASANGA, nikamtonya Boda aniletee Mfanyabiashara mmoja nifanye nae Biznenga.

Basi bhana.. wakati wa harakat za kununua bidhaa na kujipakulia mzigo wenye shehena tele.. NDOM ilipasuka, na nilijua ila pombe tena mwanaharam nikakanyagia hivyo hovyo (Nilitembelea RIM).

yule Mfanyabiashara alishtuka baada ya kuhisi UJI mzito ktk sehem yake anapotunzia Bidhaa. Akainuka kwa ghazabu na kuniuliza nimefanya nini??! Hapo nimekuwa mpole sana... yule dada hakuwa na AMANI kabisa..

1_ Mimba
2_Hanijui wala Mimi simjui.. so akawa anahofia Ukimwi hapo etc..

Malaya wa watu mpaka machozi yanamlenga.. uzuri natembeaga na vipimo ktk bag ila siku ile nilikuwa na haraka sana si unajua KVANT ikishakaa ktk kichwa cha juu basi itamwagikia ktk kichwa cha chini.

Tulipimana pale.. wote tupo safe. Ikabak mzozo wa Mimba. Nikampa hela ya ziada atajua mwenyewe akafanye nini.. nikampa na namba ya simu.

Sasa hiyo process yote tunaita KUBORESHA MAHUSIANO YA KIBIASHARA.
 
Hela ya kujiuza ni kama Opium au Cocaine ukionja huachi. Hata Hawa watoto WA chuo wanajiuza now wakiipata kazi still wataendelea kufanya.. Inakuwa kama Uraibu ndo maana hata walio maofisini wanaendeleza hela yako tu. Na anapokea mshahara mzuri tu WA kumtunza but lazima akauze. Now tuna date na machangudoa ila ndio tutafanyaje Sasa
Watakuja kubisha na kulialia Wametukanwa au KUDHALILISHWA.
 
Kwa upande wangu MALAYA wa barabarani yupo safe kuliko BINTI wa Chuoni.
You are very right, na pia wanakolea zaidi kuliko wanawake waliotulia. Mimi baada ya kuoa tuihamia UK then US, wife akabaki kule mimi nikarudi Bongo.

Ilikuwa ni hatari, danger!. Viwanja vyote vya mjini nimevitembelea, wateja wakubwa ni wababa wenye ndoa zao, anazimua kwanza kisha anaenda home kumalizia tuu. Wenzetu Kenya waliwafanyia research wale wa Pumwani. Ukipita uwanja wa Fisi, unaweza kulia!. Vile vitoto underage vya ombaomba vinakwenda pale, vinauza hata kwa buku tuu hata jero!.

Sinza pale Ambience barabani kwenye container ni elfu 5. Sinza imeliovateki soko la Kinondoni. Ile barabara ya Kitambaa cheupe Ijumaa na Jumamosi ni balaa!.
P
 
Sinza pale Ambience barabani kwenye container ni elfu 5. Sinza imeliovateki soko la Kinondoni. Ile barabara ya Kitambaa cheupe Ijumaa na Jumamosi ni balaa!.
P
Kuna siku nilipanda Daladala, Mdada alikuwa na MJamaa hivi, Mdada ni mzuri alafu mdogo mdogo tunatokea Tabata gari inaenda MWENGE.

Kufika katikati hapo Yule Jamaa alishuka akabak yule Mdada. Nafsi ikaniambia nichukue namba (Nikasita sikufanya hivyo) yule Dada alikuwa amevaa JEANS na kinguo kingine kwa juu kama shati hivi..

Yeye alishukia Mliman City mimi nilishuka survey nikazama ndichi nikanywa wine kidogo nikawa naitafuta KITAMBAA ile ya Sinza.

Wakati nipo katika harakat za kuingia nikapishana na yule MDADA kashabadirika, yaani ile jeans haipo bali kale kanguo alichovaa juu ndio kaishusha imekuwa kama ki-GAUNI.. alafu kashapata Mteja amemshika mkono anamuongoza NJIA..
Tulikutana macho, akageuza shingo fastaa.

Tangia hapo nikasema SITAKUJA KUMUAMINI MWANAMKE never.
 
Nimepita sehem nikaitwa Kaka twende tukatombane jamani utalipa guest 2000 mimi utanipa 3000.
Mimi: Sina hela dada asante!
Yeye: Kwani wewe una sh ngapi ongea usiogope.
Hapa ndipo tulipofikia wakuu.
Mtaani kwetu kuna danguro game ni 3k, demu ana gharamika room na ndomu. Wankera sana hawa wadada mwanamme ukipita njia ile lazima utongozwe. Cha ajabu serikali imewawekea na ATM ya ndomu, ukidumbukiza jero linatema pakti 3
 
Mtaani kwetu kuna danguro game ni 3k, demu ana gharamika room na ndomu. Wankera sana hawa wadada mwanamme ukipita njia ile lazima utongozwe. Cha ajabu serikali imewawekea na ATM ya ndomu, ukidumbukiza jero linatema pakti 3
Location..
 
I don't gerrit! Unaposema wanajiuza unaweza kuwa spesific kidogo

On the same note, wanaume wa kizazi hiki ni irreaponsible seeds, haiwezekani unafunga safari kutoka nyumbani kwako unaenda baa kununua mbususu, halafu ukirudi kwako unajiita kichwa cha familia
Kwenye ndoa nyingi sahiv wanawake walioolewa hawatoi papuchi hata kwa miaka 6, hapo ni ndani ya ndoa, unategemea mwanaume hapo ufanyeje Skylar
 
Back
Top Bottom