Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

Mkuu ahsante sana kwa maelezo matamu, nimechelewa kujibu nilikuwa pori mtandao nii shida. Tafadhali niunganishe hap watu.
 
Tupe japo maelezo kias tuelewe we upo wap, na unataka utaratibu gan kabla ya kusema tunafanya au hapana.
 

Nijuavyo mie viatu vya mitumba huuzwa hadi 150,000/= kwa pair. Si vema sana kufanya generalization
 
Kama kunamtu mwenye thread yakuhusu biashara ya mtumba Uganda please naomba anisaidie.
 
Aiseee kama ana info ya bei za jumla atuwekee inaweza kuwa nafasi kwa wengine kujifunza.
 
Tupo wengi jamani hasa hii biashara ya mtumba nguo za watoto. Mwenye uelewa atujuze. Asanteni
 
Naomba wadau waje hapa pia ntaka kujua mabaro first quality ya mashuka ya mtumba ntapata wapi.
 
Habari wanajukwaa!! Awali ya yote naomba nikiri wazi kuwa sijawahi wala sina uzoefu wowote na hili. Nahitaji kufanya biashara ya kuingiza mitumba (ya nguo) kutoka Ujerumani kupitia bandari ya DSM.

Naomba mwenye ufahamu mzuri anifahamishe ni taratibu gani zitakazonihusu, kampuni gani ya clearing & forwarding niitume, na kwa kila furushi moja la mzigo ( la 100kg kwa mfano) nachajiwa ushuru kiasi gani hapo bandarini?

Heshima kwenu ma expert!!
 
Pamoja na hayo.Kumbuka vile vile Mjini fitina nyingi kila mtu anajua anavyoingiza mzigo wake na kuutoa.Maswala ya uzoefu ni mbwembwe tu .Ushauri wangu kama uko serious mtafute mtu aliye karibu yako anayeingiza mizigo upitishie mizigo yako kwenye mizigo yake.
 
Sawa mkuu ila nilitaka japo nipate ABC kidogo zinifute tongotongo.
 
Nipo mkoan naitaji kufanya biashara hii, msaada. Nahitaji mzigo mzuri. Hasa kwa mabelo. Pia nahitaji mtu mwaminifu wa kuniongoja na kunipa ushauri mzuri. Wengi wamekuwa wakidanganya, nina mtoto mdogo sijaanza kusafiri.
 
Habari Mamytrifo, nafikiri biashara hii ya mitumba inahitaji kufanya utafiti wa kujua mzigo (mabelo) unapatikana wapi, nauli ya kuusafirisha mpaka sehemu unapofanyia biashara na changamoto zingine, tafuta wafanya biashara wa mitumba walio karibu yako na upate ushauri wa kujua jinsi ya kuanza na kuendesha biashara hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…