Biashara ya Night Club Dar imekufa?

Balaa aisee mimi napenda sana mziki mzuri nimemiss club kunazimwa taa inabaki moja niliwahi cheza mziki mpaka walinipigia makofi wadau
Hahaaaaa kumbe ndio wewe ulikiwa unayakata mauno na kutikosa makalio siku ile? Unayajua sana mauno mkuu, ulikuwa unakata kama feni huku unatiksa mkia na umeweka bia juu ya tako. 😀😃😄😁😆😅🤣
 
Wewe ni mzee?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…