Vibes umewahi kuingia weekend? Watoto wa sekondari wanafanya birthday parties.Yaani hilo limjengo likuubwa mavyumba ya kutosha very classic mziki mzuri ila ukiingia unajikuta uko peke yako π same to vibez lounge nayo hivyo hivyo
Mpaka mtu unaona itβs better ukae nyumbani ufungulie zako ngoma unazozitakaπkuku anakata rohoTime really flies aisee. Miaka Ile Bills, Mambo Club hatari na nusu. Sio kwamba hizi open bar hazikuwepo. Weekend imefika jioni unajongea Jolly pale au Qbar unaanza mdogo mdogo moja moja hadi saa 6 unazama bills hadi alfajiri. Dah maisha yake hawawezi kujirudia. Watu wastaarabu wanajua muziki mzuri. Enzi hizo ukitaka oldies unazama Blue Palms unakula oldies balaa hadi kiu inakata unasuuzika moyo kabisa.
Sio sasa hivi ujinga mtupu, open bar lounge ni amapiano tu. Yan unaweza kukaa masaa 5 hujasikia oldies hata moja ni maujinga ya amapiano tu watu wako kama kuku anakata roho ndo styles za kucheza eti.
Unaweka reserve ya meza milioni tano.
Uganda Jinja baada ya umbali wa 1km kutoka Jinja Port kuna night Club ilikuwa inaitwa Velvet Club.Inaitwa Velvet, jamaa wameinvest sana shida ni haina strong marketing team. Pia triple 7 bado iko.
Nikaona kinywaji cha Tequila nikasema duh so mishahara yangu 5 ndiyo nanunua hii chupa 1.Full List ya Menu ya Vinywaji 1245 Lounge Masaki.
Kuna Wanaijeria niliwakuta Kidimbwi one day. Nikasema sitakaa nikaenda sehemu za kishua kama zile. Yale ni matumizi mabaya ya pesa.Nikaona kinywaji cha Tequila nikasema duh so mishahara yangu 5 ndiyo nanunua hii chupa 1.
Nashuka nakuta kuna mzigo wa 4M.
Roho imeniuma. Kwasababu naamini kuna watu wanamudu huu mzigo, swali kuu ni 'How did they do it?' acha hawa generational wealth
Ndio maana sijawahi kumpenda shujaa wa Afrika. Ni mtu ambaye hakupenda watu wawe na furaha.Alikuwa na roho mbaya sana. Na alinikera sana alivyovyunja BilicanasSiasa za Awamu ya Tano na RC wa zamani.....nani angeenda Night Club?
Pia kulikuwa na wimbi la wasiojulikana ambao hadi leo hawajajulikana ilihatarisha usalama wa wala bata usiku.
Amapiano muziki usio na ladhaNaunga mkono hoja.
Good old Days.Binafsi kizazi cha sasa naona kama haki-enjoy kabisa. Watu wanakaa tu pub wanatandaza beers na pombe kali nyiiiingi, no dancing ni kutikisa vichwa tu na kushikashika warembo.
What a lazy life!?
Kipindi hicho unakula bia mtaani ikifika saa sita mnahamia club huko hata ukitaka kuongea labda upaza sauti maana ni sound la kufa mtu, mwendo wa ku-dance.
The only time muziki unasimama labda kuwe na show baaas. Zaidi ya hapo ni kucheza.
Sifa kuu za night club
1. Ni indoor
2. Privacy ya kutosha, kulikuwa hadi na VIP rooms
3. Well sound proofed
4. Dance floor ya maana
5. Nyimbo mchanganyiko....inafikia mahali mnajua kabisa kuwa muda flani ni muda wa bongo fleva na dj fulani ndio anapiga, muda fulani ni oldies na mnajua mkali wa oldies ni nani ukicheck kwa dj chamber unakuta kweli ni yeye.
No talks ni muziki kwa kwenda mbele.
Siku hizi sioni kama kuna starehe. Watu wamejikita kwenye mashindano ya kunywa na kupost kwenye oage zao.
Summary ya Menu ya vinywaji hii hapa: Aione na RRONDO View attachment 2934372
Dance club ipo wapi?Kitambaa, Small Planet, Dance Club, panatosha
Cha kufia ni nini?Unaweka reserve ya meza milioni tano.
Unavoenda Mwenge, kutokea round about ya Mlimani City kama kituo cha kwanza au cha pili. Kinaitwaje sijui.Dance club ipo wapi?
Kweli kabisa, Samaki samaki au Terminal Pub Morogoro yaani ni mpaka majogoo...Uholela wa biashara bila vibali. Bar na pubs zinatakiwa kufungwa saa sita usiku. Then club zinakesha. Watu wakitoka bar wanaingia club mpaka asubuhi.
Sasa bar,pub,liquor stores zote zinakesha nani ataenda club?
Hata ndio matokeo ya kutosimamia sheria ndio maana hata mitaani watu hawalali kisa bar inapiga muziki hadi asubuhi.
Asante kiongozi nitafika hapo kesho na wasaidizi wanguUnavoenda Mwenge, kutokea round about ya Mlimani City kama kituo cha kwanza au cha pili. Kinaitwaje sijui.
View attachment 2934623
Currently ndio Club yenye rates kubwa na nyingi Google Maps.
Kesho madogo wa chuo wameanza kurudi. Patajaa hatari. Ila usivae kifaza sana maana wanajaa vijana tu.Asante kiongozi nitafika hapo kesho na wasaidizi wangu