Biashara ya Night Club Dar imekufa?

Mpaka mtu unaona it’s better ukae nyumbani ufungulie zako ngoma unazozitakaπŸ˜‚kuku anakata roho
 
Naona wabongo wanashindwa kutofautisha Night clubs na pub/bars, Night clubs ni special kwa kudance na kunywa, bar ni kunywa tu na kudance ni kuforce , maana hamna dance floor. Nadhani starehe za bongo zinarudi nyuma hamna kabisa night clubs ila kuna mabars tu. Sisi ma mtoni bado kuna ma night clubs ya nguvu ya kumwaga na yote uwa yanakua downtown tu. huko vitongojini ni pubs tu na mwisho ni saa 6, ila night clubs ni all night long.
 
Kuna Wanaijeria niliwakuta Kidimbwi one day. Nikasema sitakaa nikaenda sehemu za kishua kama zile. Yale ni matumizi mabaya ya pesa.

Wananunua chupa za 1.5M hafu sio moja wala mbili, nyingi tu.
 
Siasa za Awamu ya Tano na RC wa zamani.....nani angeenda Night Club?

Pia kulikuwa na wimbi la wasiojulikana ambao hadi leo hawajajulikana ilihatarisha usalama wa wala bata usiku.
Ndio maana sijawahi kumpenda shujaa wa Afrika. Ni mtu ambaye hakupenda watu wawe na furaha.Alikuwa na roho mbaya sana. Na alinikera sana alivyovyunja Bilicanas
 
Good old Days.
Siku hizi starehe ni kunywa mipombe mingi tu. Tunataka zama za disco life zirudi asee.
 
Kweli kabisa, Samaki samaki au Terminal Pub Morogoro yaani ni mpaka majogoo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…