Biashara ya samaki

mimi nimefuga samaki nikiwa mbeya ni rahisi kuriko iyo ya mashine kununua sijui ukodishe na dogo yupo dar anafuga vizur tuu nimehamia Ar pia ntafuga..
kama hautojali mkuj mwagika changamoto za ufugaji samaki
 
Wadau naombeni kujua mwenye uzoefu wa biashara ya samaki kwa kutembeza mitaani kama ina weza kuwa na changamoto zipi na faida zipi
Nataraji kufanya hiyo biashara kwa kununua wabichi na kuwatembeza
Karibuni[emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Habari zenu nyote,

Wadau mi ni mkazi wa Mwanza na nitafuta waenyeji wa mikoa tofauti tofauti ambapo mahitaji ya samaki ni adimu ili tufanye biashara kwa atakaevutiwa ni idea anicheki kwa namba 0758255256 au 0688644047 for more serious talk.

Sent from my GT-S7275R using JamiiForums mobile app
 
Ulifanikiwa kuanza?
 
Ukihitaji dagaa wa kukaangwa wa Mwanza pamoja na samaki karibu UKARA FISH GROUP 0759292980

Sent from my H7 using JamiiForums mobile app
 
ulitakiwa uweke aina ya samaki unaouza, gharama kwa kilo na gharama za kusafirisha
 
samaki mchena mtera market migori iringa
 
Mimi naishi mwanza,nahitaji kufanya biashara na mtu alie tiyari awe wa kike ama kiume,awe nje ya mkoa sio mbaya. Ninacho weza kusema biashara ya samaki na dagaa mwanza ni biashara nzuri ukiwa na watu makini ambao watashirikiana na kufikia mafanikio.changamoto ni mtaji mimi tukielewana ukiwa popote nanunua kama ni kukaangaa unaletewa bila shida .
Kama unahitaji nitafute.
0764239124

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara ya mabondo ina pesa sana bei ya kilo moja kwa sasa inaweza kufika 50000 huko visiwani ndani ya ziwa Victoria hasa kwa mabondo ya sangara wakubwa ni bei sana,zamani hayakuwa na bei kubwa but Wachina wameingilia hii biashara na kuifanya iwe juu sana miaka 2007 kilo ilikuwa kati ya 5000 hadi 25000 but sasa ipo juu sana ht zaidi hiyo 50000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata baadhi ya condom hutengenezwa na fish maws
 
Me niliuza nikaambia laki moja kilo moja tena lubichi kuna wachina wanafanya bei inaenda juu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…