agadinho
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 582
- 324
kama hautojali mkuj mwagika changamoto za ufugaji samakimimi nimefuga samaki nikiwa mbeya ni rahisi kuriko iyo ya mashine kununua sijui ukodishe na dogo yupo dar anafuga vizur tuu nimehamia Ar pia ntafuga..