Ni kweli miss chagga inaweza kufika mimi nimesemea kwa bei ya zamani make hawa Chinese ndo wamefanya soko liwe juu.Siku ukija Mwanza nenda soko kuu kuna soko la samaki la jioni unaweza nunua sangara 40000 but bondo si mali yako unaliacha kwa muuzajiMe niliuza nikaambia laki moja kilo moja tena lubichi kuna wachina wanafanya bei inaenda juu sana
Kabisa mpaka Mali asili WameingilIa kati hawatoi vibali vya kuexport ..Ni kweli miss chagga inaweza kufika mimi nimesemea kwa bei ya zamani make hawa Chinese ndo wamefanya soko liwe juu.Siku ukija Mwanza nenda soko kuu kuna soko la samaki la jioni unaweza nunua sangara 40000 but bondo si mali yako unaliacha kwa muuzaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni habari njema sana wavuvi coz wavuvi walikuwa wanapata pesa kidogo sana halafu jamaa wamepiga pesa ndefu kupitia migogo yao.Yaani ziwa lina fursa nyingi za pesa ajabu. Imagine Wanyarwanda wanaenda mpk visiwani kipindi cha msimu wa dagaa wananunua dagaa karibu zote wanapeleka Rwanda wakifika Rwanda wanazipeleka kiwandani wanaziosha wanazitengeza vizuri na kuzifanyia lepackage safi wanaweka lebal na kuziuza ndani ya Rwanda na nje Rwanda kwa pesa ndefu wakati huku wamechukua kwa bei ya chini sana,Jaman serikali ingeweka jisho huko tungelikuwa na wavuvi matajiriKabisa mpaka Mali asili WameingilIa kati hawatoi vibali vya kuexport ..
Tamaa na uelewa mdogo wa biashara kwa wavuvi .kidogo wameanza kuelewaHii ni habari njema sana wavuvi coz wavuvi walikuwa wanapata pesa kidogo sana halafu jamaa wamepiga pesa ndefu kupitia migogo yao.Yaani ziwa lina fursa nyingi za pesa ajabu. Imagine Wanyarwanda wanaenda mpk visiwani kipindi cha msimu wa dagaa wananunua dagaa karibu zote wanapeleka Rwanda wakifika Rwanda wanazipeleka kiwandani wanaziosha wanazitengeza vizuri na kuzifanyia lepackage safi wanaweka lebal na kuziuza ndani ya Rwanda na nje Rwanda kwa pesa ndefu wakati huku wamechukua kwa bei ya chini sana,Jaman serikali ingeweka jisho huko tungelikuwa na wavuvi matajiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mpendwa,tatizo ni watendaji ambao wanashindwa kusaidia ktk hili,imagine km tungelikuwa na factories zetu za kuweza kununua dagaa na kufanya lepackage wenyewe km wanavofanya korosho,kahawa nk mbona ingelikuwa poa.Zamani tulizoea kuona mtu akila dagaa unaonekana maskini!Dhubutu!!!Mwanza si hivo tena dagaa ipo juu kinoma kisa soko la RwandaTamaa na uelewa mdogo wa biashara kwa wavuvi .kidogo wameanza kuelewa
Sawa mkuuHapana mpendwa,tatizo ni watendaji ambao wanashindwa kusaidia ktk hili,imagine km tungelikuwa na factories zetu za kuweza kununua dagaa na kufanya lepackage wenyewe km wanavofanya korosho,kahawa nk mbona ingelikuwa poa.Zamani tulizoea kuona mtu akila dagaa unaonekana maskini!Dhubutu!!!Mwanza si hivo tena dagaa ipo juu kinoma kisa soko la Rwanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama una mtaji wa kutosha fungua mashamba ya Samaki.Wakuu JF,
Habari zenu, hongereni na mihangaiko. Nataka kujua biashara ya samaki imekaaje, kuanzia kivukoni, bagamoyo, kanda ya ziwa kwa ujumla wake, kigoma.
Aina za samaki kama dagaa, vibua n.k
Kwa anaejua lolote kuhusu biashara hii, kwa maana ya upatikanaji wake/uvuaji wake kulingana na majira, ununuaji, uuzaji, usafirishaji, leseni/kibali, uhifadhi wake na changamoto zake. Naomba kwa anaejua atoe mchango wake hapa.
Karibuni!
Yeah ni kweli. Ina maana mwenye mtaji mdogo hana nafac ya kuchangamkia fursa kwenye hii biashara ya samaki? Kwa mfano ukitaka uwe unanunua na kuuza, vp uzoefu wako khs eneo hilo?Kama una mtaji wa kutosha fungua mashamba ya Samaki.
Make hii ya kuvua nayo ina mashariti kibao ya Serikali.
Ukiwekeza kwenye mabwawa makubwa ya Samaki hakika utatoka.
Hiyo unafanya ila kumbuka unafanyanl uchuuzi. Unaziwa Samaki sh elfu 5 unamuuza sh elfu 7.Yeah ni kweli. Ina maana mwenye mtaji mdogo hana nafac ya kuchangamkia fursa kwenye hii biashara ya samaki? Kwa mfano ukitaka uwe unanunua na kuuza, vp uzoefu wako khs eneo hilo?
Uchuuzi kwa uchumi huu, inakusogeza mkuu. Maana duh, hal mbayaHiyo unafanya ila kumbuka unafanyanl uchuuzi. Unaziwa Samaki sh elfu 5 unamuuza sh elfu 7.
Unaweza fanya tu.
Tena ufanye upesi nkuandikie business plan yako...utayopatia mtaji...uzoefu ninaoKama una mtaji wa kutosha fungua mashamba ya Samaki.
Make hii ya kuvua nayo ina mashariti kibao ya Serikali.
Ukiwekeza kwenye mabwawa makubwa ya Samaki hakika utatoka.
Mi huwa nakereka na hawa wafanyabiasha ambao wanasema nauza kitu bei nafuu au bei nzuri halafu hawaweki bei,huu ni ubabaishaji,hatujifunzi kwa wenzetu?!mfano,angalia makampuni yanayofanya biashara mitandaoni wanaweka bei ya bidhaa zao,halafu wewe ukiiona utajipanga kulingana na mfuko wako,bei nzuri kwako kwa mwingini ni mbaya,bei nafuu kwako kwa mwingine ni ghali.Tupia bei mtu aamue mwnyw!bei nzuri ni ipi?