Mbona hawaji...Subiri kidogo wanakuja wataalamu wenyewe watakujuza.
Habari zenu wadau!
Naomba kufahamu bei za mashine kurudufisha yaani photocopy machine, printer, Desktop,scanner na vifaa vngine muhimu vya stationary.. natanguliza natanguliza shukrani za dhati
0769600067 ntafuteHabari zenu wadau!
Naomba kufahamu bei za mashine kurudufisha yaani photocopy machine, printer, Desktop,scanner na vifaa vngine muhimu vya stationary.. natanguliza natanguliza shukrani za dhati