fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Fanya kutembelea maduka. Na acha dezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UnamaganFanya kutembelea maduka. Na acha dezo
Huenda yupo sahihi. Ungeanza kwa kumuuliza, aliilenga ipi haswa?.NENO SAHIHI NI STATIONERY SIO stationary.
Stationery au stationeries ni vitu mbalimbali tunavyovitumia katika shughuli za maofisini kama vile pen vitabu madaftari rula plain papers flip charts punching machines pencils manila papers chalk and the likes.Huenda yupo sahihi. Ungeanza kwa kumuuliza, aliilenga ipi haswa?.
Pia ungetumia "Utaalamu" wako kumtofautishia hizo terminologies mbili. Hapo umuhimu wa msaada, ungechukua mkondo wake.
Nirudi kwenye mada. Mkuu, Jilatu jilatu . Nakushauri utembelee sehemu husika ili kupata bei elekezi ya vifaa unazozihitaji. Ushauri wa Fasiliteta unaweza kufana sana.
Kila la kheri.
Laptop kwa stationary uta henya mkuu myb office yako isiwe busy sanaNingependa wakuu mnisaidie bei za vifaa kama
Machine ya kuprint picha
Machine ya kupigia lamination
Pia laptop
Vyote hata kama kunamtu anavyo used poa tunawasiliana vzr.
anamaana ya utalizwa hutasahau usipende rahisirahisi hasa p.copy machineUnamagan
StationeryLaptop kwa stationary uta henya mkuu myb office yako isiwe busy sana
Eee bhana Ila umenielewaStationery
sio
stationary
SjakuelewaEee bhana Ila umenielewa
Ningependa wakuu mnisaidie bei za vifaa kama
Machine ya kuprint picha
Machine ya kupigia lamination
Pia laptop
Vyote hata kama kunamtu anavyo used poa tunawasiliana vzr.
Poa mkuu nashukruHuenda yupo sahihi. Ungeanza kwa kumuuliza, aliilenga ipi haswa?.
Pia ungetumia "Utaalamu" wako kumtofautishia hizo terminologies mbili. Hapo umuhimu wa msaada, ungechukua mkondo wake.
Nirudi kwenye mada. Mkuu, Jilatu jilatu . Nakushauri utembelee sehemu husika ili kupata bei elekezi ya vifaa unazozihitaji. Ushauri wa Fasiliteta unaweza kufana sana.
Kila la kheri.
Ntafanyaje?Laptop kwa stationary uta henya mkuu myb office yako isiwe busy sana
Mmmmmh mkuu kama hna cha kuongea pta kimya bhana CIO lazma ulopoke fyuuuu!!!Kafanye window shopping acha ubwege...
Haha[emoji15]Sjakuelewa
Fanya marekebisho.
Jitie jeuri ukose wateja wa uhakika.
Ningependa wakuu mnisaidie bei za vifaa kama
Machine ya kuprint picha
Machine ya kupigia lamination
Pia laptop
Vyote hata kama kunamtu anavyo used poa tunawasiliana vzr.
haiwez kuendana na pilika za office tumia desktop computerNtafanyaje?