Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

mkuu sijui umeshawaza yapi katika biashara unayotaka kufungua. ila ningependa kukushauri jambo moja kabla hujakimbilia kununua lamination machine na laptop nk..
kwa mwelekeo ulio anza nao naona itakua a very begginer approach yani uwe na stationery afu na mashine mbili tatu, uuze 10,000 paka 20,000 kwa siku afu basi.

kama ndo lengo lako kutest na kujifunza hio biashara sawa ila..
kama una malengo makubwa na kama umejiandaa na unataka upambane kweli na kujikwamua ktk uchumi huu.. jaribu kutafuta kwanza “a stronghold approach” ambayo unahisi inaweza kuonesha u seriousness kdg..

kwa mfano uniambie nimefanya tafiti nimeona professionals aina flani labda wanasheria wanahitaji huduma abcd za stationeries au mashule wanachapisha mitihani mamia kila muhula, au maeneo ya vyuo wanafunzi wanahitaji vitu flani vya stationeries, au nimetembelea kumbi za starehe kila siku sherehe kadi wanatoa wapi.. au maofisi mengi kwanini nisiwapunguzie usimbufu wa ku print na copy nk.

ukiwaza hivyo itakusaidia kujua angle gani uingie kwenye hio biashara, utajua unahitaji vifaa gani, mtaji gani, uwaone watu gani.. na naamini utafanikiwa zaidi kwa namna hiyo!

tumia audience ambayo tayari wengine wamekutengenezea.. mfano we muuza jezi unajua wapenda mpira ndo wanunuzi wako, unajua mechi ya simba na yanga jmosi kwann usitumie audience ambayo tff imekutengenezea kupata hao wateja!
tafakari.. !
Sawa mkuu Mimi hapa ni cameraman mzr tu na nimekuwa natapata usumbuf wa kwenda kusafsha picha mjn na ndomaana nkamua kutafta uwezekano wa kununua machine ya kusafshia picha na CIO kwamba mm pekee ang nimekuwa nkiagizwa na macameraman wenzang nnapo kwenda mjin ndo nkaamua ili nisaidie watu pia na mm nfaidike ninunue hio machine kwaniaba ya kuteka zile picha ambazo naaigizagwa kwenda kusafsha mjini !!!Pia kuna shule za msng ambazo nazo walim wanahangaika kwenda kuchapa mitihan mjn pia kunawatu wenye vyombo vya moto kuna mda wanahitaji kupga lamination license zao na nk
 
HABARI WA KUU
Poleni kwa majukumu na swaumu kwa wale waliojaaliwa kufunga mimi naomba mwenye kujua vyema biashara ya stationary anipe muongozo wa vitu muhimu vinavyohitajika katika biashara hiyo

Nataka iwena huduma nyingi muhimu mfano copy za rangi na kawaida scanning nk.
Ikiwezekana hata makadirio ya gharama za manunuzi ya hivyo vifaa asanteni
 
HABARI WA KUU
poleni kwa majukumu na swaumu kwa wale walio jaaliwa kufunga mimi naomba mwenye kujua vyema biashara ya stationary anipe muongozo wa vitu muhimu vinavyo hitajika katika biashara hiyo nataka iwena huduma nyingi muhimu mfano copy za rangi na kawaida scanning nk.
ikiwezekana hata makadirio ya gharama za manunuzi ya hivyo vifaa asanteni
Utaniita kwenye kamati ya ufundi
 
Kama kweli upo unahitaji kufanya hiyo biashara Nitafute nikuuzie vifaa vyangu...mm nimefunga rasmi tarehe 10/7/2018
1.Photocopy machine---ir2016 canon hii ina duplicate kabisa yenyewe
2. Printer zipo tatu
-hp color laserjet CP3525dn
-epson L800
-hp laserjet hii ni black and white
3. Generator moja aina ya Dubao lina 3.5KVA
4. Camera moja aina ya Sony 20megaPxl pamoja na stand yake
5. Lamination machine mbili
6. Binding machine moja
7. Stapler kubwa na ndogo
8. Punch kubwa na ndogo
9. Laptop moja---hp probook 6450(core i3)
10. Meza kubwa moja ina droo 3
11. Kiti cha watu 2---cha kukalia wateja na kimoja cha kuzunguruka kwa ajili ya mtendaji kazi.
12. Desktop computer set moja aina ya Lenovo display yake ni 20 inch
13. Mzigo upo wa 1.2mil (namaanisha materials kama pen, pencils, daftari, counters, makers, Stapler, ink, n.k)
14. Shelf zipo za vioo unaweza hamisha

Nataka mil.8 tu kwa vitu vyote hivyo ila siuzi kimoja kimoja.
 
Back
Top Bottom