Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

Kama kweli upo unahitaji kufanya hiyo biashara Nitafute nikuuzie vifaa vyangu...mm nimefunga rasmi tarehe 10/7/2018
1.Photocopy machine---ir2016 canon hii ina duplicate kabisa yenyewe
2. Printer zipo tatu
-hp color laserjet CP3525dn
-epson L800
-hp laserjet hii ni black and white
3. Generator moja aina ya Dubao lina 3.5KVA
4. Camera moja aina ya Sony 20megaPxl pamoja na stand yake
5. Lamination machine mbili
6. Binding machine moja
7. Stapler kubwa na ndogo
8. Punch kubwa na ndogo
9. Laptop moja---hp probook 6450(core i3)
10. Meza kubwa moja ina droo 3
11. Kiti cha watu 2---cha kukalia wateja na kimoja cha kuzunguruka kwa ajili ya mtendaji kazi.
12. Desktop computer set moja aina ya Lenovo display yake ni 20 inch
13. Mzigo upo wa 1.2mil (namaanisha materials kama pen, pencils, daftari, counters, makers, Stapler, ink, n.k)
14. Shelf zipo za vioo unaweza hamisha

Nataka mil.8 tu kwa vitu vyote hivyo ila siuzi kimoja kimoja.
Mkuu kwa nin uliamua kufunga tuanzie hapo kwanza
 
Mzigo bad upo au...?
Mzigo upo nimeuweka ndani tu naona wengi wanataka kununua kwa rejareja kitu ambacho miimi sikubali.
Mungu akipenda hadi February mwakani nitatafuta sehemu yenye mzunguuko mzuri ntakomaa mwenyewe tu.
 
Mzigo upo nimeuweka ndani tu naona wengi wanataka kununua kwa rejareja kitu ambacho miimi sikubali.
Mungu akipenda hadi February mwakani nitatafuta sehemu yenye mzunguuko mzuri ntakomaa mwenyewe tu.
Why usiuze kimoja kimoja kwa Bei Fixed kuliko kuvitunza vitaanza kuliwa na panyaa mzee...!!
 
Mzigo upo nimeuweka ndani tu naona wengi wanataka kununua kwa rejareja kitu ambacho miimi sikubali.
Mungu akipenda hadi February mwakani nitatafuta sehemu yenye mzunguuko mzuri ntakomaa mwenyewe tu.
Mkuu u need only Frem ya chuma ya kutengeneza kwahapa nilipo stationary ndio pake.

Ni kwapembeni mwa UDOM hivi ambapo wanafunzi awakauki huko na stationary yako ikiwa Modern upunziki asubui hadi jioni inachotakiwa kuendana na wakati huo kuna kitu gani kikubwa

Mfano
1/kipindi cha portifolio
2/curriculum
3/pedagogical
4/reserch

Hemu nishimwage kila kitu hapa ila unahitaji frem ya kutengeneza na haso za kupata sehemu ya kuipachika
 
Mkuu u need only Frem ya chuma ya kutengeneza kwahapa nilipo stationary ndio pake.

Ni kwapembeni mwa UDOM hivi ambapo wanafunzi awakauki huko na stationary yako ikiwa Modern upunziki asubui hadi jioni inachotakiwa kuendana na wakati huo kuna kitu gani kikubwa

Mfano
1/kipindi cha portifolio
2/curriculum
3/pedagogical
4/reserch

Hemu nishimwage kila kitu hapa ila unahitaji frem ya kutengeneza na haso za kupata sehemu ya kuipachika
Ahsante mkuu, hili wazo nitalifanyia kazi nashukuru sana.
 
Why usiuze kimoja kimoja kwa Bei Fixed kuliko kuvitunza vitaanza kuliwa na panyaa mzee...!!
Hapana mkuu nachofikiria ni kupata pesa ya pamoja niipeleke kwenye biashara mama tofauti na hapo bora nivumilie tu hadi nipate nguvu ya pesa kufungua sehemu yenye wateja wengi.
Kuhusu panya sidhani mana nimeviweka kwenye kabati za vioo hata vumbi halipeny, naimani vitakuwa salama.
 
wakuu anayetaka ofisi nzima ya stationery moro anaweza nichek ili anunue aendelee kupiga kazi nimepewa uhamisho vijijini huko,sehemu ilipo inamzunguka mkubwa tu wa pesa
 
wakuu anayetaka ofisi nzima ya stationery moro anaweza nichek ili anunue aendelee kupiga kazi nimepewa uhamisho vijijini huko,sehemu ilipo inamzunguka mkubwa tu wa pesa
Nitumie contacts zako mkuu tufanye biashara
 
Kwanini unauza mkuu?
Kama kweli upo unahitaji kufanya hiyo biashara Nitafute nikuuzie vifaa vyangu...mm nimefunga rasmi tarehe 10/7/2018
1.Photocopy machine---ir2016 canon hii ina duplicate kabisa yenyewe
2. Printer zipo tatu
-hp color laserjet CP3525dn
-epson L800
-hp laserjet hii ni black and white
3. Generator moja aina ya Dubao lina 3.5KVA
4. Camera moja aina ya Sony 20megaPxl pamoja na stand yake
5. Lamination machine mbili
6. Binding machine moja
7. Stapler kubwa na ndogo
8. Punch kubwa na ndogo
9. Laptop moja---hp probook 6450(core i3)
10. Meza kubwa moja ina droo 3
11. Kiti cha watu 2---cha kukalia wateja na kimoja cha kuzunguruka kwa ajili ya mtendaji kazi.
12. Desktop computer set moja aina ya Lenovo display yake ni 20 inch
13. Mzigo upo wa 1.2mil (namaanisha materials kama pen, pencils, daftari, counters, makers, Stapler, ink, n.k)
14. Shelf zipo za vioo unaweza hamisha

Nataka mil.8 tu kwa vitu vyote hivyo ila siuzi kimoja kimoja.
 
Mwenye kujua tafadhali juu ya Skills anazotakiwa kuwa nazo mfanyabiashara wa stationery ili kuwashika wateja wake wote. Plz naomba uniorodheshee.

Asante
 
Wakuu nina pesa kiasi nataka nianzishe biashara ya stationery ili nimkeep bize mdogo wangu, hajapata pa kujishikiza.

Naomba wauzaji na wajuvi wa vifaa hivi wanipe bei zake na ushauri ikibidi.

1. Desktop computer (Complete)
2. Photocopier
3. Printer laki
4. Camera ya picha (digital camera).
5. Photo printer (passport size).
6. Laini za m-pesa & Tigo pesa (mchanganuo wa upatikanaji na minimum ya mtaji wake wa kuendesha biashara).

Naomba mchanganuo wa hivyo vitu na kama wewe ni muuzaji basi mimi ni potential customer wako hivyo ukinisaidia itakua ni win to win stuation.



sent from Sokoro nkorambokande
Naomba Bei zake hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKUBHI-MSHAUZA
Asanteni kwa kunielewa sawa ngoja nifatilie nipateu hakika wa taarifa nitakayo wapa,ila MKUBHI ila zingatia eneo la kufanya biashara kwa wakati huu ni vema kuwa na uhakika kwani sio wakati wa kujaribu biashara ni wakati wa kufanya biashara,

MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRICA

PATRICE LUMUMBA
Kaka Patrice nami naomba ushauri nimeoa unaweza to a ushauri unaofaa.Mtu mwenye mtaji wa mil 2 ikiwa hana kazi yeyote anaweza kufanya biashara gan itakayomsaidia kuafford all basic needs?
 
MKUBHI,

Biasharahii ni nzuri kama uko eneo lililozungukwa hasa na taasisi za elimu hasa vyuo vya elimu ya juu au ualimu/
Biashara hii watuwengi wamekimbilia huko lakini usikate tamaa,Uwe na mtaji usiopungua milioni 3.5.

MCHANGANUO.

1.PHOTOCOPY=Tafuta photocopy aina ya canon ir2020 ni vema ukapata used iliyokwenye condition nzuri na iwe imetoka nje mojakwamoja isiwe imetumika hapa.pia angalia imetoa copy ngapi kwani photocopy kumbukumbu ya idadi ya copy iliyotoa toka ilipoanza kutoa copy ya kwanza.
Na pia aina hii itakufaa kwakuwa inaweza kuitumia kama printer pia ukiunganisha kwenye computer.
Gharama yake kuanzia 1.8m.

2.PRINTER=Hapa uutaitaji ya colour ambayo unaweza kujaza wino inamitungi yake modogo ya kujaza wino iko nje ,
Tafuta epson l1300 gharama yake kuanzia laki 5.5

3.MAMBO MENGINE=Haya ni ya kawaida ni kununua books na vifaa vingiine vya stationary anza taratibu usijaze mzigo mkubwa nunua items kwa kiwango kidogo kwanza.


MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRICA


PATRICE LUMUMBA
Umeeleza vizuri, mimi pia ningependa kujua kwa undani je ni vifaa gani vingine muhimu vya kuweka? mfano rula, penseli, kifutio.................
 
Back
Top Bottom