Kama kweli upo unahitaji kufanya hiyo biashara Nitafute nikuuzie vifaa vyangu...mm nimefunga rasmi tarehe 10/7/2018
1.Photocopy machine---ir2016 canon hii ina duplicate kabisa yenyewe
2. Printer zipo tatu
-hp color laserjet CP3525dn
-epson L800
-hp laserjet hii ni black and white
3. Generator moja aina ya Dubao lina 3.5KVA
4. Camera moja aina ya Sony 20megaPxl pamoja na stand yake
5. Lamination machine mbili
6. Binding machine moja
7. Stapler kubwa na ndogo
8. Punch kubwa na ndogo
9. Laptop moja---hp probook 6450(core i3)
10. Meza kubwa moja ina droo 3
11. Kiti cha watu 2---cha kukalia wateja na kimoja cha kuzunguruka kwa ajili ya mtendaji kazi.
12. Desktop computer set moja aina ya Lenovo display yake ni 20 inch
13. Mzigo upo wa 1.2mil (namaanisha materials kama pen, pencils, daftari, counters, makers, Stapler, ink, n.k)
14. Shelf zipo za vioo unaweza hamisha
Nataka mil.8 tu kwa vitu vyote hivyo ila siuzi kimoja kimoja.