Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

Naomba kupata ushauri juu ya kufungua stationery na vitu muhimu vya kuweka pamoja na gharama za kuanzisha
 
Zaidi ya Vifaaa, stationary inahitaji Personnel wanaojua kuvi operate vizuri.

Ok: Bei kidogo itakuwa shida

1. Kuna Printer: Epson nzuri zaidi. L800's Zinafaa.
2. Copier: Hizi HP watu huzipendelea Zaidi, japo sina utaalamu nazo. Kuna Copier flani hivi zinaagizwa kwa Order kutoka Japan. Zina gharama kidogo [emoji3] ila zina mafundi wake
3. Vifaa vingine vya shule unafahamu.

Licha ya hayo yote, vitu hivi vyaweza kukusaidia zaidi.

1. Kachukue kwanza ujuzi hata wa wiki mbili wa namna ya kurekebisha printer & Copier, wamiliki wa stationary huwaga wanaumia sana unakuta Cartridge kidogo tuu imeharibika anatengeneza fundi ndani ya dk 3 kapewa 50,000/=

2. Mahala u apoweka stationary: itasaidia sana kama ni karibu ma taasisi ya Elimu. Kuna chuo cha Elimu ya Siasa kilifunguliwa Kibaha, kuna mtu aliniambia bado kuna fremu za biashara, na hiyo hapo itafaa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zaidi ya Vifaaa, stationary inahitaji Personnel wanaojua kuvi operate vizuri.

Ok: Bei kidogo itakuwa shida

1. Kuna Printer: Epson nzuri zaidi. L800's Zinafaa.
2. Copier: Hizi HP watu huzipendelea Zaidi, japo sina utaalamu nazo. Kuna Copier flani hivi zinaagizwa kwa Order kutoka Japan. Zina gharama kidogo [emoji3] ila zina mafundi wake
3. Vifaa vingine vya shule unafahamu.


Licha ya hayo yote, vitu hivi vyaweza kukusaidia zaidi.

1. Kachukue kwanza ujuzi hata wa wiki mbili wa namna ya kurekebisha printer & Copier, wamiliki wa stationary huwaga wanaumia sana unakuta Cartridge kidogo tuu imeharibika anatengeneza fundi ndani ya dk 3 kapewa 50,000/=

2. Mahala u apoweka stationary: itasaidia sana kama ni karibu ma taasisi ya Elimu. Kuna chuo cha Elimu ya Siasa kilifunguliwa Kibaha, kuna mtu aliniambia bado kuna fremu za biashara, na hiyo hapo itafaa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asantee sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea mimi kuna jamaa namjua yupo dar Ana vijiwe vya stationary kwa siku anauza hadi 150, 000 mpaka 200,000(sehemu )moja

Na kuna mwingine yeye anapata hadi laki 4 mapaka tano kwa mwezi sema mwezi wa 12 na wa6 mambo ya nakuwa sio mazuri kwa huyu maana anategemea shule na chuo
Hivi hii biashara huwa ina faida?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ukipata eneo lenye taasisi kama chuo hivi lipo vizuri sana, otherwise kama una mtaji mkubwa uza vitu jumla kwenye mashule na maofisi binafsi (usisahau EFD Machine kama utauza jumla)
 
Habari zenu ndugu zangu najua jf ni jukwaa ambalo hakuna linalo shindikana...

Kuna ofisi kama hizi
-Hospitali
-Mahakama
-Kituo Cha polisi
-Shule za msingi na secondary
-Ofisi za wenyeviti wa vitongoji
-ofisi za vyama vya siasa n.k

Hivyo naomba nijue

1.changamoto zake
2.faida
3.vifaa Bora na muhimu zaidi pamoja na gharama zake..
4.vifaa vya muhimu zaidi sababu mtaji wangu ni mdogo mnoo hapa nina PC tuu

USHAURI WENU MUHIMU SANAA KWA UJUMLA ANGALAU NIFANYE MAPEMA NIWE MTU WA KWANZA NA NIZOELEKE NA VIJIJI VYA JIRANI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafta printer ndogo 120, ukiwa pale ni rahisi kukopesheka.
 
Weka na tigo pesa voda mpesa
Weka na kadi kadi zile,
In short kila aina ya "upuuzi" related na stationary weka. Yaani one stop centre mtu akija hachomoki.
 
Mkuu hiyo ni fursa kubwa. Ukiwa na Milion 8 hadi 10 utapiga pesa sana

Siyakudumisa Nkosi Yezulu
 
Back
Top Bottom