Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea na Bidhaa unazoanza navyo katika biashara lakini mtaji huwa unatosha siku zote
Anza kazi usisubili adi upate mtaji wa kutosha anza kidogo kidogo
mkuu ulifanikiwa kuanzisha iyo biashara??
mkuu kwanini unasema hivyoaiseee sikushauri uanzishe hiyo biashara aiseee
Kuna jamaa yangu kaanzisha hii biashara kwa tsh million 6, dar segerea kijiwe kinalimpaMkuu hiyo ni fursa kubwa. Ukiwa na Milion 8 hadi 10 utapiga pesa sana
Siyakudumisa Nkosi Yezulu
Nitajitaidi nipate mpya kabisa.Kikubwa tuu hakikisha unapata Mashine nzima. Hii biashara wengi wanalizwa na stress za mashine
Amekwambia ana 1m, sasa wewe unampa hesabu milioni 3 na wadogo zakeKitu yenye kuingiza hela kwenye stationery ni printer na photocopy machine. Photocopy tu used ni 1.5 mil, printer yenye faida ni epson ya mitungi 6 ila unaeza anzia ya mitungi 4 ile ya nje. Inacost kati ya 1.2 hadi 1.5mil desktop nunua 1 tu inatosha zile za laki2 used, nunua rim zako5 yaan box moja na kadi kadhaa halafu anza
Unatosha kuanzia. Usimkatishe tamaaa. Anaweza kuanza kwa kununua madaftari/makaunterbooks, kalamu, mabunda ya karatasi, chaki na vifaa vingine vidogo vidogo wakati anajipanga kununua machine mbalimbali hata used. Kinachofanya biashara sio mtaji bali ni determination na guts to start a first step.Jikusanye kwanza, hiyo haitoshi kwa iyo biashara.
Kuliko apoteze huo mtaji kwa hiyo biashara ya steshenari ..bora asubiri kwanza apate mtaji wa kutosha asiwe na harakaUnatosha kuanzia. Usimkatishe tamaaa. Anaweza kuanza kwa kununua madaftari/makaunterbooks, kalamu, mabunda ya karatasi, chaki na vifaa vingine vidogo vidogo wakati anajipanga kununua machine mbalimbali hata used. Kinachofanya biashara sio mtaji bali ni determination na guts to start a first step.
Trust me Hamna siku mtaji unatotosha.Kuliko apoteze huo mtaji kwa hiyo biashara ya steshenari ..bora asubiri kwanza apate mtaji wa kutosha asiwe na haraka
Hongera kwa hilo wazo. Inshort hiyo fedha sio kubwa na wala sio ndogo. Lakini kumbuka pia mtaji haijawahi kujaa na kukidhi kila kilichopo zaidi ya kuanza na ulichonacho.Wakuu salaam,
Nataka kufungua stationery nina Milion Moja Tu Ya mtaji,kodi nishalipia tayari imebak kununua vifaa vya kazi.
Sina kitu chochote ndo nataka nikanunue.
Hebu nishaurini ninunue nini na nini kwa kuanzia na wapi nikannunue?
Wataalam wa hizi kaz naombeni ushauri wenu.
Asante