Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

Mkuu, kwa maoni yangu kitu kikubwa kwenye uanzishaji wa stationary ni location to na bei ya bidhaa yako.

2. Mtaji wa stationary ni

a) rim paper 1 au 2

b) uwe na canon it 2520 japo sio lazima sana unaweza ukapata series nyingine ya cannon machine kulingana na mfuko wako.(canon machines zinafanya Nazi 3 in 1machine i.e photocopying, printing)

c) uwe na computer

d) mambo mengine utayajua kulingana na mahitaji wa wateja wako, unanunua vitu vinavyo ulizwa Mara kwa Mara na wateja.

so ukijumlisha hapo mtaji ni kama mil Mbili (ukitumia mashine used) na tatu kama ukinunua mashine mpya.

huu ushauri nimeutoa kulingana na uhalisia halisi wa sisi watanzania hasa tunaotaka kuanza biashara, huwa tunapewa mambo mengi sana kiasi unakuta unashindwa kuanza biashara kutokana na utitiri wa vitu tunavyo rundikiwa na wenzetu tunao waomba ushauri.
 
Ni heavy duty inatosha kwa shughuli za stationery...inapiga copy, inascan, inaprint kutoka kwenye pc au flash, insafisha picha, kadi za harusi, business card. Stationery nyingi ambazo wanatumia 850 wanatumia hiyo pekee bila printer nyingine.
Inaonyesha wewe una uzoefu sana hii biashara, halafu siyo mchoyo wa kuongoza wengine. Hongera!
 
Habari wadau, Mimi nimefanikiwa kuanxisha na stationary lakini Kutokana na mazingira na kukosa uzoefu nafikiria Ni vitu gani muhimu n vyenye faida ninavyoweza kuuza hapa
ukiachana n huduma za kawaida Kama copy na printing na lamination au vifaa vya mashuleni Kama daftari na peni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kwa wazo zuri kwanza tuanze maandalz tahadhari kipindi hiki shule, mavyuo na taasisi zingine za elimu zimefunga na ndio wateja wazuri wa hii biashara.

1: Tafuta eneo zuri ambalo lipo karibu na chuo na hostel za wanachuo.

Mgawanyiko wa pesa: Chukua mashine used ya photocopy haitazidi laki 4 na elfu 50 (ushauri usinunue bila kwenda nacho mtu wako mwenye ujuzi kidogo na mashine za photocopy maana zinashida nyingi sana)

Kuna umuhimu wa kununua Desktop kwa 350000 haitazidi laki 4.

pia printer mashine nzuri kuna member hapo juu amesema ir 2025 kwa haitazidi laki 3 mara ya mwisho ilikuwa 260000

Katika issue ya pango I reccommend ungechonga banda lako la chuma la kueleweka au kununua used (nimeona wengi Dodoma wanatumia hili) hii itaepusha cost kubwa ya kulipia pango....all the best mkuu pia uwe na bei ya kirafiki na uwezo wa kuderiver kazi hata baada ya masaa 3 utakubalika zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asantee sana bro, nimekuelewa vizuri sana
Hongera kwa wazo zuri kwanza tuanze maandalz tahadhari kipindi hiki shule, mavyuo na taasisi zingine za elimu zimefunga na ndio wateja wazuri wa hii biashara....

1: Tafuta eneo zuri ambalo lipo karibu na chuo na hostel za wanachuo.....

Mgawanyiko wa pesa: Chukua mashine used ya photocopy haitazidi laki 4 na elfu 50 (ushauri usinunue bila kwenda nacho mtu wako mwenye ujuzi kidogo na mashine za photocopy maana zinashida nyingi sana)

Kuna umuhimu wa kununua Desktop kwa 350000 haitazidi laki 4.....

pia printer mashine nzuri kuna member hapo juu amesema ir 2025 kwa haitazidi laki 3 mara ya mwisho ilikuwa 260000

Katika issue ya pango i reccommend ungechonga banda lako la chuma la kueleweka au kununua used (nimeona wengi Dodoma wanatumia hili) hii itaepusha cost kubwa ya kulipia pango....all the best mkuu pia uwe na bei ya kirafiki na uwezo wa kuderiver kazi hata baada ya masaa 3 utakubalika zaidi.....

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom