Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

Photo machine canon ir 1700000tsh
printer 401dn 500000
Laptop or desktop 600000
Binder machine
Scanner ndogo
Ongeza hivyo vingine like pen.pensil.files.stapler pins n machine.counter books.flash.
 
Wadau bado mmelala??

Tupo!

Niliwahi kupata ushauri wa hii biashara mwaka jana, nikashawishika kuifungua. Inahitaji usimamizi wa karibu kwani mauzo yake ni kudunduliza eg photocopying.

Niliifungua Nganza (nadhani upo Mwanza) jirani na Kanisa Katoliki. Niliifanya kwa miezi mitatu nikiwa na imonitor kwa karibu.

Hatimaye nilihama kikazi kwenda mkoa mwingine na kumwacha mdada wa kazi akiendeleza hadi muda huu.

Kwa kuwa unataka vifaa kwa reasonable price, basi nimeorodhesha hapa chini kama utakuwa interested, tuwasiliane kwa pm.
  • Photocopy machine kubwa- ina print na kutoa copy
  • HP printer/scanner- black/colour
  • Laminating machine
  • Spiral binding machine
  • Steppler machine kubwa
  • Desktop Pc
  • Paper cutter
  • office table
  • office chair
 
Nimepata idea kiasi hapa. Nawashukuru wadau, nitalifanyia kazi!
 
cousin cha muhimu uanze kupanga flemu mahali ambapo kuna shule, vyuo, sehemu ambazo watu wanapita pita sana ili wakiona waingie na kuhudumiwa

b) ni vyema uwe na vifaa vifuatavyo:

1. Photocopy mashine aina ya canon au yoyote ya kuanzia

photocopy.jpg

2 uwe na computer na printer ool.jpg

ppo.jpg

c?) uwe na scanner, lamination machine ndogo ya kuanzia na paper cutting machine

ikiwezekana uwe na list ya vifaa vya shuleni na maofisini kwa kuuza na vitabu mbalimbali vya shule

kwa upande wa scanner siku hizi kuna printer ambazo zinakuwa 4in1 ni nzuri yaani zinakuwa na
copy, fax, printer na scanner hapo hapo

kuhusu upatikanaji wa vifaa hivyo ni vyema kabla ya kuanza kulipia flem ni vyema ukaenda madukani kkufanya window shopping kwani kuna maduka yanauza bei chee na meingine yanauza bei ghali inategemea na kule huo mzigo alikoutoa kingiine ni muhimu uangalie kwenye website ya ebay ili uone bei za huko nje zikoje ukipenda unaweza kuagiza ni hayo bestito

Habari za asubuhi wadau wa jukwaa hili,

Natumai miongoni mwetu kuna watu ambao wanafanya biashara tajwa hapo juu, waliowahi kuifanya na wenye idea na biashara hiyo.

Je ni vifaa gani vinavyohitajika na vya muhimu ili kuendesha biashara hiyo? Ni mahali gani ninaweza kupata vifaa hivyo kwa bei nzuri na genuine? Ni jinsi gani unaweza kumonitor biashara hiyo? Na kama kuna angalizo ama chochote ambacho unakifahamu kuhusu biashara tajwa tafadhali usisite kutoa mchango / mawazo yako.

Natangulisha shukrani.

Wasalaam
CL
 
cousin cha muhimu uanze kupanga flemu mahali ambapo kuna shule, vyuo, sehemu ambazo watu wanapita pita sana ili wakiona waingie na kuhudumiwa

b) ni vyema uwe na vifaa vifuatavyo:

1. Photocopy mashine aina ya canon au yoyote ya kuanzia

View attachment 175771

2 uwe na computer na printer View attachment 175773

View attachment 175774

c?) uwe na scanner, lamination machine ndogo ya kuanzia na paper cutting machine

ikiwezekana uwe na list ya vifaa vya shuleni na maofisini kwa kuuza na vitabu mbalimbali vya shule

kwa upande wa scanner siku hizi kuna printer ambazo zinakuwa 4in1 ni nzuri yaani zinakuwa na
copy, fax, printer na scanner hapo hapo

kuhusu upatikanaji wa vifaa hivyo ni vyema kabla ya kuanza kulipia flem ni vyema ukaenda madukani kkufanya window shopping kwani kuna maduka yanauza bei chee na meingine yanauza bei ghali inategemea na kule huo mzigo alikoutoa kingiine ni muhimu uangalie kwenye website ya ebay ili uone bei za huko nje zikoje ukipenda unaweza kuagiza ni hayo bestito

Shukrani sana Cousin... Nimefatilia bei ya vifaa hivyo. Bado nafanya mchakato wa stationeries kujua nitaagiza wapi!
 
bigup umefanya jambo la maana sana cousin kwani ni muhimu uwe na shughuli yako mwenyewe hata kama uko kazini kwani ile biashara yako itakuongezea maradufu mkuu ngoja nami nikuulizie huku bei ya hvyo vitu pindi ujapo uweze fanya window shopingi mwenyewe na kujionea kwani kuna maduka ambayo yanauza bei rahisi na ni bora na upande mwengine unaweza kuagiza kupitia hawa alibaba kwani wao bei zao ni nafuu sana ila kuwa makini sana na online marketing binamu karibu
Shukrani sana Cousin... Nimefatilia bei ya vifaa hivyo. Bado nafanya mchakato wa stationeries kujua nitaagiza wapi!
 
bigup umefanya jambo la maana sana cousin kwani ni muhimu uwe na shughuli yako mwenyewe hata kama uko kazini kwani ile biashara yako itakuongezea maradufu mkuu ngoja nami nikuulizie huku bei ya hvyo vitu pindi ujapo uweze fanya window shopingi mwenyewe na kujionea kwani kuna maduka ambayo yanauza bei rahisi na ni bora na upande mwengine unaweza kuagiza kupitia hawa alibaba kwani wao bei zao ni nafuu sana ila kuwa makini sana na online marketing binamu karibu

Nimejaribu kupita Aliexpress ila naona shipping bei kubwa sana, inakuwaje. Hebu nidadabvulie basi
 
Ingawa wengi wanakushauri ununue hiki na kile na kile ila mimi nakushauri jaribu kupunguza overheads as much as possible yaani kwa kuanzia nunua hata vitu used wakati unajifunza na kuzoea kazi.

Computer
K
wa kazi za kawaida za kuchapa hauitaji computer ya kisasa hata zile za CRT na Pentium IV au chini ya hapo inafaa sana tena hata used, kwahio kwa hapa hata chini ya laki mbili unaweza ukapata.

Scanner
Ni bei rahisi ila hata kama hauna unaweza ukaanza kazi.

Photocopy
Hapa chukua used tena ukichukua IR series unaweza ukapata ambayo ina-print kwahio una-connect inakuwa inaprint hence bei ya printing inakuwa sawa sawa na photocopy ila nakushauri ununue pia laser printer sababu opc ya copy inaweza ikawa chafu kidogo mtu akakubali hio kama photocopy ila asikubali uki-print (quality yake ikawa sio kubwa)

Printer
Hapa angalia wateja wako kama unaprint sana kadi za harusi na rangi unahitaji inkjet printer (ambayo unaweza kununua epson yenye mitungi ya nje) au kama haufanyi printing kwa sana unaweza kununua hata hp tu ila catridge bei kubwa sana hivyo itabidi uwe unafanya refilling kwa sindano.. (kwa mwendo wa kununua catridge mpya huwezi ku-break even sababu hizi catridge ni bei ya juu sana kulinganisha na soko/bei wateja wanayotaka).

Kama una-print sana black and white ni muhimu kuwa na laser printer (nadhani hizi zinaanzia kwenye laki mbili au chini kidogo) tatizo la hizi catridge yake bei mbaya nadhani mtaani unaweza kuipata kwa kwenye elfu 70 mpaka laki na nusu.., ila dawa hapa kila wino ukiisha unafanya refilling na sio kununua mpya unaweza hata ukafanyiwa refilling kwa elfu 15.., na hii inaweza kutoa kama copies 2000.

Mengineyo
Sababu hii biashara imeshaanza kuwa saturated watu wengi wanafanya kwahio bei ni za chini sana usipokuwa mwangalifu au kujua undani wa biashara unaweza ukafunga baada ya muda mfupi, mafundi wanachakachua sana pindi vitu vikiharibika pia wafanyakazi wanaiba vile vile unaweza ukashaangaa matumizi yanazidi mapato, hivyo kuwa mwangalifu kufuatilia kazi (mfano mashine za ir series zina count hivyo unaweza ukajua ni copies ngapi zimetoka) as well as jifunze mashine ujue makosa madogo madogo sio kila mashine ikikwama unaita fundi (bei utapigwa kubwa as well as kuibiwa spare)

Subsidize na Vingine
Usitegemee dukani faida ya copy na kuchapa kazi peke yake (ukizingatia bei za copy zinaenda as low as tshs 30 na printing as low as 100 na kuchapa kazi hata chini ya 500/=) ongezea na vitu vingine kidogo kidogo mfano kuuza pen, madaftari, karatasi (ingawa faida yake ndogo sana), mmpesa (kama mzunguko ni poa hii inaweza kulipia hata chumba na mfanyakazi), luku, voucher n.k.
 
Oky ngoja nimuulize kuna mtu yeye anawatumia sana hawa alibaba na ebay nitakufahamisha zaidi acha nicheki nao
Nimejaribu kupita aliexpress ila naona shipping bei kubwa sana, inakuwaje. Hebu nidadabvulie basi.
 
Ingawa wengi wanakushauri ununue hiki na kile na kile ila mimi nakushauri jaribu kupunguza overheads as much as possible yaani kwa kuanzia nunua hata vitu used wakati unajifunza na kuzoea kazi

Computer.., kwa kazi za kawaida za kuchapa hauitaji computer ya kisasa hata zile za CRT na Pentium IV au chini ya hapo inafaa sana tena hata used.., kwahio kwa hapa hata chini ya laki mbili unaweza ukapata..

Scanner ni bei rahisi ila hata kama hauna unaweza ukaanza kazi
Photocopy hapa chukua used tena ukichukua IR series unaweza ukapata ambayo ina-print kwahio una-connect inakuwa inaprint hence bei ya printing inakuwa sawa sawa na photocopy ila nakushauri ununue pia laser printer sababu opc ya copy inaweza ikawa chafu kidogo mtu akakubali hio kama photocopy ila asikubali uki-print (quality yake ikawa sio kubwa)
Printer hapa angalia wateja wako kama unaprint sana kadi za harusi na rangi unahitaji inkjet printer (ambayo unaweza kununua epson yenye mitungi ya nje) au kama haufanyi printing kwa sana unaweza kununua hata hp tu ila catridge bei kubwa sana hivyo itabidi uwe unafanya refilling kwa sindano.. (kwa mwendo wa kununua catridge mpya huwezi ku-break even sababu hizi catridge ni bei ya juu sana kulinganisha na soko/bei wateja wanayotaka).. Kama una-print sana black and white ni muhimu kuwa na laser printer (nadhani hizi zinaanzia kwenye laki mbili au chini kidogo) tatizo la hizi catridge yake bei mbaya nadhani mtaani unaweza kuipata kwa kwenye elfu 70 mpaka laki na nusu.., ila dawa hapa kila wino ukiisha unafanya refilling na sio kununua mpya unaweza hata ukafanyiwa refilling kwa elfu 15.., na hii inaweza kutoa kama copies 2000
Mengineyo Sababu hii biashara imeshaanza kuwa saturated watu wengi wanafanya kwahio bei ni za chini sana usipokuwa mwangalifu au kujua undani wa biashara unaweza ukafunga baada ya muda mfupi.., mafundi wanachakachua sana pindi vitu vikiharibika pia wafanyakazi wanaiba vile vile unaweza ukashaangaa matumizi yanazidi mapato.., hivyo kuwa mwangalifu kufuatilia kazi (mfano mashine za ir series zina count hivyo unaweza ukajua ni copies ngapi zimetoka) as well as jifunze mashine ujue makosa madogo madogo sio kila mashine ikikwama unaita fundi (bei utapigwa kubwa as well as kuibiwa spare)

Subsidize na Vingine usitegemee dukani faida ya copy na kuchapa kazi peke yake (ukizingatia bei za copy zinaenda as low as tshs 30 na printing as low as 100 na kuchapa kazi hata chini ya 500/=) ongezea na vitu vingine kidogo kidogo mfano kuuza pen, madaftari, karatasi (ingawa faida yake ndogo sana), mmpesa (kama mzunguko ni poa hii inaweza kulipia hata chumba na mfanyakazi), luku, voucher n.k.

Shukrani sana mkuu kwa ushauri wako.

Nitaufanyia kazi, ila hapo kwenye Used machine hujanishawishi, naogopa sana tena sana make nilishaumwa na nyoka, nikisikia hata unyasi nahisi ni nyoka.

Nitaanza kwa kununua vitu vipya make vina guarantee.

Pia nilishawahi kuifanya kazi hii kwa mtu so nina experience kiasi chake! Hakuna shida saaaana katika usimamizi...
 
Shukrani sana mkuu kwa ushauri wako...

Nitaufanyia kazi, ila hapo kwenye Used machine hujanishawishi, naogopa sana tena sana make nilishaumwa na nyoka, nikisikia hata unyasi nahisi ni nyoka.

Siongelei used kutoka bongo kwa photocopy sababu photocopy nyingi zinazotoka dubai na nje ni used, alafu kuna copier zinaweza zikawa mpya ila sababu sokoni hazijatumika sana haujui matatizo yake au spares zake sio nyingi.

Pili kuweka labda mtaji wa 1.5m au laki nane kuchukua PC mpya wakati ya Laki Mbili ingefanya kazi sioni kama ni kutumia rasilimali vizuri, bora hizo pesa zinazobaki ungeongezea kwenye mtaji mwingine wa vitu vidogo vidogo.

Labda kwa swali nikuulize unapanga utumia kama tshs ngapi kwa kununua vifaa? na huenda ukanunua vifaa kibao kwa kuanzia kabla haujajua soko la hapo, huenda ukachukua lamination machine ya bei mbaya kumbe pale wateja wengi ni wa binding au ukanunua epson yenye mitungi ya nje ku-print color kumbe hapo wateja wa printing rangi ni wachache na mashine kukaa bila kazi inapelekea kuziba.. (kumbe kwa kuanzia hata hp ya kawaida ingetosha)

Sababu kwa kazi ndogo ndogo kuchapa hauhitaji sijui icore 3 au nini ni basic PC inatosha, kwahio kama kuna uwezekano wa kuanzisha biashara kwa 2m kwa used alafu unajiongeza unavyokua ni vema kuliko kutumia 5m ambayo itakuchukua miaka ku-break even kitu ambacho huenda yule aliyeanza kwa 2m ataanza kupata faida mapema na kujiongeza.
 
Siongelei used kutoka bongo kwa photocopy sababu photocopy nyingi zinazotoka dubai na nje ni used.., alafu kuna copier zinaweza zikawa mpya ila sababu sokoni hazijatumika sana haujui matatizo yake au spares zake sio nyingi... pili kuweka labda mtaji wa 1.5m au laki nane kuchukua PC mpya wakati ya Laki Mbili ingefanya kazi sioni kama ni kutumia rasilimali vizuri.., bora hizo pesa zinazobaki ungeongezea kwenye mtaji mwingine wa vitu vidogo vidogo..

Mkuu sipingani na wewe kuhusu vifaa used, ila naogopa sana kununua kifaa used afu unakuwa unashinda na mafundi kutwa unatengeneza machine. Hapo ndio hofu yangu maana ukinunua used sijui kama wanatoa guarantee.

Labda kwa swali nikuulize unapanga utumia kama tshs ngapi kwa kununua vifaa ? na huenda ukanunua vifaa kibao kwa kuanzia kabla haujajua soko la hapo.., huenda ukachukua lamination machine ya bei mbaya kumbe pale wateja wengi ni wa binding au ukanunua epson yenye mitungi ya nje ku-print color kumbe hapo wateja wa printing rangi ni wachache na mashine kukaa bila kazi inapelekea kuziba.. (kumbe kwa kuanzia hata hp ya kawaida ingetosha)

Hii biashara sitategemea "working in customers" bali nitafanya marketing ya kufa mtu, so nitafanya kazi zote na sitegemei printing pekee, au binding pekee. Nnachofanya ni kuwa na machine zote iwapo mtu akihitaji huduma fulani anaipata.
 
Wakuu Mimi naumizwa na namna ya kufanya monitoring kwenye mapato ya photocopy! Kijana Wa kazi ananipiga maboblish siyo kidogo! Hebu aliyefanikiwa kudhibiti wizi kwenye hii kazi anisaidie mbinu, mwisho nitafunga kijiwe wakuu!
 
Wakuu Mimi naumizwa na namna ya kufanya monitoring kwenye mapato ya photocopy! Kijana Wa kazi ananipiga maboblish siyo kidogo! Hebu aliyefanikiwa kudhibiti wizi kwenye hii kazi anisaidie mbinu, mwisho nitafunga kijiwe wakuu!

Kuna Photocopy machine ambazo zina namba, ukitoa copy zinahesabu. Sasa sijui kama machine yako kama ina hizo namba. Ni aina gani ya machine unatumia?
 
Tupo!

Niliwahi kupata ushauri wa hii biashara mwaka jana, nikashawishika kuifungua. Inahitaji usimamizi wa karibu kwani mauzo yake ni kudunduliza eg photocopying.

Niliifungua Nganza (nadhani upo Mwanza) jirani na Kanisa Katoliki. Niliifanya kwa miezi mitatu nikiwa na imonitor kwa karibu.

Hatimaye nilihama kikazi kwenda mkoa mwingine na kumwacha mdada wa kazi akiendeleza hadi muda huu.

Kwa kuwa unataka vifaa kwa reasonable price, basi nimeorodhesha hapa chini kama utakuwa interested, tuwasiliane kwa pm.
  • Photocopy machine kubwa- ina print na kutoa copy
  • HP printer/scanner- black/colour
  • Laminating machine
  • Spiral binding machine
  • Steppler machine kubwa
  • Desktop Pc
  • Paper cutter
  • office table
  • office chair

Nahitaji hiyo sehemu uliyokuwa au unayoifanyia biashara kama bado unaimiliki.
 
Ni simple kwani mashine yenyewe inahesabu copy zilizotoka kwa siku. Mwambie karatasi itakayoharibika hisitupwe na oanisha na no ya photocopy.
 
Back
Top Bottom