Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

Hii biashara imekuwa ngumu sana baada ya kuja kwa smartphone na tablet, kwa hapa mjini siku hizi watu wengi wana access na internet kupitia simu au tablet.
 
WIFI ndo nini jamani wengine tuna simu za tochi tufafanulieni..ndo uwanja wenyewe huu. Ukiwa na WIFI kwenye Internet Cafe inakuwaje na gharama zake zikoje na zinapatikana wapi? Mana na mimi Computer ninazo nafikiria kufungua shule kwa ajili yaTraining ya Computer hivyo naweza nkaitumia na hiyo WIFI nkiielewa vizuri. Thnx Appoh kwa kuileta hii mada jukwaani...Ngoja tusikie ushauri kutoka kwa wenzetu.
 
Hiyo wireless naipatia wapi au kwenye Kampuni za simu??
 
WIFI ndo nini jamani wengine tuna simu za tochi tufafanulieni..ndo uwanja wenyewe huu...Ukiwa na WIFI kwenye Internet Cafe inakuwaje??na gharama zake zikoje na zinapatikana wapi?? mana na mimi Computer ninazo nafikiria kufungua shule kwa ajili yaTraining ya Computer hivyo naweza nkaitumia na hiyo WIFI nkiielewa vizuri...Thnx Appoh kwa kuileta hii mada jukwaani...Ngoja tusikie ushauri kutoka kwa wenzetu...

Hahahahaha utani mwingine kiboko.

Yaani wewe unatarajia kufungua shule ya kompyuta na hujui maana ya WIFI? Ebo! Hao utakaowafundisha wataishia kuangalia filamu na nyimbo za kina Diamond.
 
Khaa, hii biashara ni ngumu kama vile kuendesha kampuni ya ndege. Nilifungua nikafunga ndani ya mwezi. Rent 300,000, TTCL bundle Tsh 200,000, umeme 100,000, salary ya mhudumu 150,000, bado ulinzi na gharama nyingine jumla unajikuta unabidi uspend kama 700,000 kama fixed cost. Sasa na vile wateja wa kudunduliza. Bora ufungue mahali amabapo population ya watu ni kubwa, kama wanafunzi wa chuo vile.

Kuna fursa nataka niitumie kuhusu kodi hakuna shida kwani ni nyumbani eneo ni barabarani so hilo bundle hakuna la bei ya chini zaidi ya hilo. Nataka nifanye na biashara nyingine hapo hapo kama tigo pesa kuuza vocha za jumla mpesa na kuuza umeme ila sasa nimemamliza kujenga ofisi hizo zingine ni ideas naanza na cafe ya net kwanza.
 
Hii biashara imekuwa ngumu sana baada ya kuja kwa smartphone na tablet,kwa hapa mjini siku hizi watu wengi wana access na internet kupitia simu au tablet

Huduma kama cv kuprint na kucheki kaanda email pamoja na attachment computer muhimu.
 
kuna fursa nataka niitumie kuhusu kodi hakuna shida kwani ni nyumbani eneo ni barabarani so hilo bundle hakuna la bei ya chini zaidi ya hilo
Nataka nifanye na biashara nyingine hapo hapo kama tigo pesa kuuza vocha za jumla mpesa na kuuza umeme ila sasa nimemamliza kujenga ofisi hizo zingine ni ideas naanza na cafe ya net kwanza

Nunua bundle ya tccl ya elfu arobaini na nane cafe haihitaji speed sana ila zuia watu ku stream na kudownload movies au unaweza nunua bundle ya voda ya mwezi ni elfu arobaini. Nasisitiza uzuie watu ku stream na kudowload movies. Najua haya kwasababu nina internet cafe.
 
nunua bundle ya tccl ya elfu arobaini na nane cafe haihitaji speed sana ila zuia watu ku stream na kudownload movies au unaweza nunua bundle ya voda ya mwezi ni elfu arobaini.
nasisitiza uzuie watu ku stream na kudowload movies. Najua haya kwasababu nina internet cafe.

Sasa hapo kwenye kuzuia watu kustream na kudownload kazi ninayo kwani wakistream tatizo litakua wapo au nini kitatokea.
 
Nunua bundle ya tccl ya elfu arobaini na nane cafe haihitaji speed sana ila zuia watu ku stream na kudownload movies au unaweza nunua bundle ya voda ya mwezi ni elfu arobaini. Nasisitiza uzuie watu ku stream na kudowload movies. Najua haya kwasababu nina internet cafe.

Asante mkuu vip kuisha kwake ni kama bundle la kawaida yaani may b week siku au mwezi au mpaka mb au gb zitakapoisha.
 
Wakuu hii biashara bado ipo kweli? Na hizi simu za kisasa zilizojaa kila kitu kinaishia kwenye simu....all the best mkuu
 
Internet kwa sasa sio big deal kama zamani 2000's ndio maana cafe zote za kipindi kile zimeshafungwa.
 
Kila kitu kipo tayari computer kama kumi tatizo sijajua gharama za bundle ntanunuaje wakuu msaada.

Mkuu hiyo bishara itakusumbua sana....kwa kiwango kikubwa ujio wa smartphones na various internet inclusive bundles za makampuni ya simu zimepunguza soko na mahitaji ya cafe' no-wonder siku hizi inakubidi utembee sana kupata internet cafe'

goodluck anyway!
 
huduma kama cv kuprint na kucheki kaanda email pamoja na attachment computer muhimu
Siku hizi hata application za kazi nyingi zinafanywa online tofauti na zamani,kuna smartphone unafanya attachment like unatumia computer.Kwa mikoani still biashara hii bado inalipa but hapa Dar hailipi,kuna jamaa wana internet tangu zamani mitaa ya Mwenge walikuwa wanafanya sana biashara last week nimeenda jamaa analalamika biashara imekuwa ngumu sana.Jamaa walikuwa wana internet,stationary,download music,movie,games na kuwauzia watu kwa sasa imekuwa robo ya mapato aliyokuwa anapata huko nyuma
 
WIFI ndo nini jamani wengine tuna simu za tochi tufafanulieni..ndo uwanja wenyewe huu...Ukiwa na WIFI kwenye Internet Cafe inakuwaje??na gharama zake zikoje na zinapatikana wapi? Maana na mimi Computer ninazo nafikiria kufungua shule kwa ajili yaTraining ya Computer hivyo naweza nkaitumia na hiyo WIFI nkiielewa vizuri...Thnx Appoh kwa kuileta hii mada jukwaani. Ngoja tusikie ushauri kutoka kwa wenzetu.

Unataka kufungua computer training, utaajiri walimu? Kama mwalimu ni mwenyewe inakuwaje hujui hata maana ya WIFI,
 
Nunua bundle ya tccl ya elfu arobaini na nane cafe haihitaji speed sana ila zuia watu ku stream na kudownload movies au unaweza nunua bundle ya voda ya mwezi ni elfu arobaini.

Nasisitiza uzuie watu ku stream na kudowload movies. Najua haya kwasababu nina internet cafe.

Mapato yakoje kwa mwezi.
 
Mkuu hii biashara kwa sasa nafkiri inachangamoto kubwa,sijui umetega api! kuna ongezeko kubwa la simu za mkononi zenye intaneti,angalia hata bei ya modem inashuka kwa kasi ,kama umelitafakari hili ,ni sawa Mimi café ninazozifahamu zinasuasua.
 
Hahahahaha utani mwingine kiboko,
Yaani wewe unatarajia kufungua shule ya kompyuta na hujui maana ya WIFI?
Ebo! Hao utakaowafundisha wataishia kuangalia filamu na nyimbo za kina Diamond.
Sasa kakosea nn? Mbona mambo ya techn yanabadilika kila siku.mm mwenyew.muelimishe tu
 
Ngoja nikuambie jambo, jambo lolote ukiwa na nia ya dhati waweza kulifanya na kupata faida. Mfano angalia udhaifu uliopo kwa wengi wanaoendesha biasharara hiyo ya Internet cafe kama vile.

1. Desktop Computer kutokua na uninterruptible power supply (UPS)- incase of power interruption, every thing that has been done lost.
2. Speed ya Internet kuwa ya chini sana.
3. Chumba chenye ufinyu kisichokua na mpangilio ,hewa nk.
4. Cafe za mitaani nyingi hata kufagiliwa na kufutwa vumbi hamna, N.k nk.
Ukiweza kuwa na plan nzuri na usimamizi mzuri utapata biashara , kwa kua sio kila mtu ana uwezo wa kununua hayo ma-smart/ Adroid Phone.
 
Ngoja nikuambie jambo, jambo lolote ukiwa na nia ya dhati waweza kulifanya na kupata faida. Mfano angalia udhaifu uliopo kwa wengi wanaoendesha biasharara hiyo ya Internet cafe kama vile.
1. Desktop Computer kutokua na uninterruptible power supply (UPS)- incase of power interruption, every thing that has been done lost.
2. Speed ya Internet kuwa ya chini sana.
3.Chumba chenye ufinyu kisichokua na mpangilio ,hewa nk.
4. Cafe za mitaani nyingi hata kufagiliwa na kufutwa vumbi hamna, N.k nk.
Ukiweza kuwa na plan nzuri na usimamizi mzuri utapata biashara , kwa kua sio kila mtu ana uwezo wa kununua hayo ma-smart/ Adroid Phone.

Well said mkuu ulikua kwenye mawazo yangu kikubwa ninachoangalia ni privacy na usafi tu yaani full air fresh na ac na nataka niweke privacy kama mtu anapotumia computer mtu mwingine asione yani ntazibana wengi wanaogopa hata kufungua email zao au picha walizotumiwa na wapenzi wao sababu ya uwazi unaonekana na watu ndani ya chumba kila mtu anajua unafanya nini.
 
Back
Top Bottom