Biashara ya Uchawi Tanzania

Biashara ya Uchawi Tanzania

Asili ya uchawi na majini ya nchi za Kiafrika ni kutoka Arabuni, ndiyo maana utakuta majini mengi yana majina ya Kiarabu. Miji au vijiji walivyokaa Warabu ndivyo vinaongoza kwa uchawi na havina maendeleo. Lakini utashangaa pia kuwa mtu kama Osama Bin Laden ambaye ni Mwarabu amefundishwa uchawi na Mtanzania wa Kigoma.

Mkuu hebu tupe kidogo story za osama kufundishwa uchawi na Mtanzania wa Kigoma
 
Aliyekuwa mchawi mkuu wa serikali ya Tanganyika na baadaye kubadilishwa jina na kuitwa Tanzania Yahaya Huseini amefariki dunia leo tarehe 20 Mai 2011.

Yahya aliingizwa kwenye system ya nchi na Waziri mkuu wa kwanza wa serikali ya Tanganyika marehemu Julius Kambarage Nyerere, baada ya kushauriwa na waganga wa kishenzi wa Bagamoyo, kabla ya kupata uhuru wa Tanganyika. Siku hiyo Nyerere alizuru lango kuu la kuzimu la Zazuni, Bagamoyo alipokwenda kufanyiwa uganga. Yahaya alikuwa bado kijana mdogo aliyependwa sana na viongozi wake, na alikuwa na kipaji kikubwa cha mambo ya unajimu na ulozi. Yahaya akiwa ndani ya ikulu ya Dar es Salaam, alitengeneza jini aliloligeuza umbo na kuwa fimbo, Yahaya kwa msaada ya lango la kuzimu la Mustallah waliomba watengenezewe saa ya kijini pia ambayo, kama kuna jambo lisilokuwa la kawaida saa ilikuwa inabadilika rangi kwa ndani na kuwa nyekundu.

Nyerere ambaye kwa asili yake ya kabila la Kizanaki, ushirikina ni jambo la kawaida na mara nyingi alikuwa akihudhuria matambiko yote yaliyokuwa yakifanyika kijijini kwake. Jina la Kambarage ni jina la mzimu wa mvua, marehemu ndiye alikuwa kiongozi wa mzimu huo, na ndiyo maana aliamua aitwe jina la muzimu huo wa mvua, KAMBARAGE.

Yahaya akitumia ujuzi wake wa unajimu wa kuchukuwa kichawi nyota za watu zenye vipawa vikubwa, alimsaidia sana Nyerere, baada ya kumpatia nyota ya utawala, kuongea kwa ufasaha na mvuto. Kwa kawaida kipawa chochote kutoka kwa Mwenyezi Mungu hasa kwa kiongozi, mtu unakuwa umekamilika kila idara, ndiyo maana leo hii ukisikiliza hotuba za Nyerere, unabaki kushangaa, kama mtu huyu na mawazo kama haya alishindwa vipi kuyatekeleza kwa vitendo, wakati serikali yote ilikuwa chini yake na maamuzi yake mbona hayakuwa yanatekelezwa. Binadamu tunazaliwa na vinasaba vinavyofanana kifamilia kutoka mababu wa zamani na vinasaba hivyo huendelea kuridhiwa na watoto na wajukuu, ndiyo maana kwa bahati mbaya vinasaba hivyo havisikiki kwa watoto wake wala wajukuu.

Yahaya aliendelea na nafasi yake ya mchawi mkuu wa taifa baada ya uongozi wa nchi kuwa chini ya Ali Hasani Mwinyi, majukumu makubwa ya wachawi ni kudidimiza na kuharibu maisha ya watu, hivyo kwa kutumia lango la kuzimu la mustallah la upanga, siku zote mipango yao ilikuwa ni ya uharibifu, ndiyo maana mzee Mwinyi kila akijitahidi kubadilisha hali ya maisha ya wananchi, alikuwa akiishia kubomoa misingi ya uchumi wa taifa.

Yahaya baada ya kumudu kuwadhibiti watawala hawa, kuzimu walimpandisha cheo, na kuwa mkuu wa lango la kuzimu la mustallah. Nyumbani kwake Mkwajuni Kinondoni alichimba bwawa la kuogelea, lakini hiyo ni geresha, siyo bwawa la kuogelea, bali ni lango kuu la kuingilia kuzimu, ndiye mchawi pekee, kama anavyosifiwa wa Afrika Mashariki na Kati kuwa na lango binafsi la kuingilia kuzimu. Usiku alikuwa akiingia ndani ya bwawa lake na kutambaa chini kwa chini ya ardhi hadi anaibukia juu ya lango la kuzimu la mustallah, upanga. Wachawi karibu wote hupaa angani kwa ungo, lakini mkongwe wa ulozi alikuwa anapasua udongo na miamba chini ya ardhi na njia inatokea.

Awamu ya tatu ya Benjamin, aliendelea na cheo chake kile kile cha mchawi mkuu wa taifa, jukumu kubwa likiwa ni uharibu wa maisha ya wanadamu, kipindi hiki yalijitokeza mambo makubwa ya uharibifu huko kuzimu, na kafara kubwa kubwa zilitakiwa, kafara kubwa mara zote zinatakiwa damu za binadamu kunyamazisha kuzimu. Kumbuka ajali ya meli ziwa victoria, kumbuka ajali kubwa kubwa zilizomaliza maisha ya Watanzania barabarani, kumbuka ajali za treni za abiria kila wakati kipindi chote cha utawala wa Mkapa. Mpango mkubwa ulioshindikana ni wa kuangusha ndege ya abiria ya precisios iliyokuwa inatoka Mwanza kuelekea Dar, kuzimu walishapanga mwezi, tarehe, siku na saa ya kuiangusha ndege hiyo juu ya soko kuu la kariakoo. Ilikuwa ni bahati mbaya sijui, ilikuwa ni bahati nzuri sijui lakini waliingia abiria wawili ndani ya hiyo ndege, abiria hao kuingia kwao ni baada ya abiria wengine wawili kuahirisha safari yao ya kwenda Dar hivyo tiketi zao zikapatiwa ruhusa ya kusafiri na ndege hiyo, watu hao walijulikana kama walokole, ndege ilipofika katika anga na eneo la maafa, mitego ya kichawi iliteketezwa, kwenye ulimwengu usioonekana moto ulilamba wachawi waliokuwa wamejipanga na madumu ya kuchukulia damu, misingi ya kuzimu ilipasuka, tangu siku hiyo makafara yaliyohitaji damu yalipugua sana.

Awamu ya sasa ndiyo aliwathibitishia Watanzania kuwa yeye ndiye mchawi mkuu wa taifa, anayetoa ulinzi usioonekana. Kumbuka mwaka 2005 nyota ya kilozi ilivyokuwa iking'aa kwa kiongozi wetu, inashangaza nyota imefifia kwa kasi ya ajabu, haijulikani kesho itakuwaje. Uchumi wa taifa upo kitandani Muhimbili, wananchi wamekosa matumaini makubwa baada ya ahadi kubwa kubwa walizopewa.

Ni lini taifa litapata viongozi wanaomuogopa na kumtegemea Mwenyenzi Mungu na kuzivunja laana hizi za kichawi zinazolitafuna taifa tangu mwaka 1961 ?

Je nafasi ya mkuu wa wachawi wa taifa itafutika, au ipo wazi kwa muda?

Mkuu tusaidie majibu ya hayo maswali uliyouliza hapo mwisho chini
 
majimoto tuambie basi juu ya makanisa kama haya ya akina kakobe,lwakatare,lusekelo, na wengine kama hawa maana tutashindwa hata sehemu ya kwenda kuombewa du!

Ruhazwe, utatembea Makanisa yote Tanzania bila ya mafanikio, kwa sababu wewe unatafuta kuombewa na siyo kuomba.
 
Ruhazwe, utatembea Makanisa yote Tanzania bila ya mafanikio, kwa sababu wewe unatafuta kuombewa na siyo kuomba.
mkuu kwa hiyo unatushauri vipi katika hili maana hali ngumu kwelikweli.umekua kimya sana majimoto
 
Mkuu upo Dar?

nipo dar ndio.
Mkuu kumbuka maisha ya sasa yamejaa utata mtupu wakati mwingine mtu unashindwa kwenda kusali kwani makanisa mengine ni usanii
siku moja nilikua na jamaa yangu kiukweli tukawa na shida ya kupata maombezi,tukafunga safari kwenda kwenye moja ya kanisa maalufu(nalihifadhi)ilikua siku ya J5,kufika pale getini tunaambiwa hatuna kadi maalum kwani maombezi ya siku hiyo ilikua maalum kwa walio na kadi,tukauliza je kadi zinapatikana wapi?tukajibiwa zilishaisha.tukaondoka
siku ya J2 tukaamka mapema tukaenda kwenye kanisa lingine maalufu,tulifika mapema tukaa sit za mbele kabisa ibaada ilipo anza baadae wakaja watu wenye pesa zao na inaonekana ni maalufu kwa utoaji katika lile kanisa,tulifatwa na wahudumu tukatolewa siti zile tukarudishwa nyuma kabisa wale wenye nazo wakaa pale roho iliniuma sana sikurudi tena katka kanisa lile
sasa kunamambo madogo kama hayo mimi binafs yananitoa imani najiuliza kwani hata kwa mungu tutabaguliwa hivi?
 
Ruhazwe JR: Ndio unajua leo, mbona haya mabo yapo ndugu yangu ukiwa na pesa wewe mtu ukiwa huna wewe gunia. Makanisa kama hayo ndiyo yanafanya watu wanapoteza imani na kubadili dini zao. Pole ndugu yangu cha muhimu ni imani yako omba mungu hatakutupa.
 
Mkuu Majimoto kama mkuu wa wachawi wote East Africa kafariki nani atachukua nafasi yake? Na inakuwaje huo mlango wake wa swimming pool ambao alikuwa anatumia kwenda kuzimu?
 
Mkuu Majimoto nimeshasikia kwa watu kwamba hapa Tanzania kuna mawe ambayo yanapigiwa ngoma na kucheza, Je hii ni kweli ama ni uzushi na kama ni kweli ni majini? :noidea::noidea:
 
Mhh.mi nashindwa kuchangia naogopa pc yangu isije ika shut off remotely na wachawi
 
nipo dar ndio.
Mkuu kumbuka maisha ya sasa yamejaa utata mtupu wakati mwingine mtu unashindwa kwenda kusali kwani makanisa mengine ni usanii
siku moja nilikua na jamaa yangu kiukweli tukawa na shida ya kupata maombezi,tukafunga safari kwenda kwenye moja ya kanisa maalufu(nalihifadhi)ilikua siku ya J5,kufika pale getini tunaambiwa hatuna kadi maalum kwani maombezi ya siku hiyo ilikua maalum kwa walio na kadi,tukauliza je kadi zinapatikana wapi?tukajibiwa zilishaisha.tukaondoka
siku ya J2 tukaamka mapema tukaenda kwenye kanisa lingine maalufu,tulifika mapema tukaa sit za mbele kabisa ibaada ilipo anza baadae wakaja watu wenye pesa zao na inaonekana ni maalufu kwa utoaji katika lile kanisa,tulifatwa na wahudumu tukatolewa siti zile tukarudishwa nyuma kabisa wale wenye nazo wakaa pale roho iliniuma sana sikurudi tena katka kanisa lile
sasa kunamambo madogo kama hayo mimi binafs yananitoa imani najiuliza kwani hata kwa mungu tutabaguliwa hivi?
mkuu,
Kanisa linaanzishwa na pesa za mfukoni za mchungaji na uongozi wake,waumini wakishafika 100 kanisa linaanza kujiendesha,sasa hapo biashara inaanza ku- break even ,
kufungua na kuendesha kanisa ni sawa na biashara ya Bank au microfinance ,mwanzo huwa mgumu then unapata wateja wakubwa na wateja wanaofata mkumbo kuongeza idadi,hivyo basi waumini wanaopewa kipaumbele ni wale waliofanikiwa kifedha na mali.hao ndio wanapata upako maalum wa mchungaji/askofu/Nabii wa kanisa husika.
nanyi makapuku mnaofata mkumbo mnawekwa nyuma ya kanisa.

nimehudhuria makanisa ya kisasa na hiyo ndio hali halisi,sijawahi kutengwa au kupelekwa nyuma ,ila nimeona yakifanyika kwa watu kuwekwa kufuatana na maeneo wanayotekea,e.g mbagala,mwananyamala tandale sehemu yao ya kukaa, na wale wa upanga,masaki,mwenge ,mikocheni etc sehemu yao
inamaana waumini wamewekwa kufuatana na social class,kwani hamna aisiyejua kuwa wapi wana kipato cha chini na wapi kuna wakazi wa kipato cha juu.
Mtazamo wangu ,sali na shiriki katika kanisa lenye umri zaidi ya miaka 30,kwani hapo utakuta ushirka na mfumo uliyo komaa ambao hauko kimaslahi zaidi
 
mkuu,
Kanisa linaanzishwa na pesa za mfukoni za mchungaji na uongozi wake,waumini wakishafika 100 kanisa linaanza kujiendesha,sasa hapo biashara inaanza ku- break even ,
kufungua na kuendesha kanisa ni sawa na biashara ya Bank au microfinance ,mwanzo huwa mgumu then unapata wateja wakubwa na wateja wanaofata mkumbo kuongeza idadi,hivyo basi waumini wanaopewa kipaumbele ni wale waliofanikiwa kifedha na mali.hao ndio wanapata upako maalum wa mchungaji/askofu/Nabii wa kanisa husika.
nanyi makapuku mnaofata mkumbo mnawekwa nyuma ya kanisa.

nimehudhuria makanisa ya kisasa na hiyo ndio hali halisi,sijawahi kutengwa au kupelekwa nyuma ,ila nimeona yakifanyika kwa watu kuwekwa kufuatana na maeneo wanayotekea,e.g mbagala,mwananyamala tandale sehemu yao ya kukaa, na wale wa upanga,masaki,mwenge ,mikocheni etc sehemu yao
inamaana waumini wamewekwa kufuatana na social class,kwani hamna aisiyejua kuwa wapi wana kipato cha chini na wapi kuna wakazi wa kipato cha juu.
Mtazamo wangu ,sali na shiriki katika kanisa lenye umri zaidi ya miaka 30,kwani hapo utakuta ushirka na mfumo uliyo komaa ambao hauko kimaslahi zaidi
mkuu hizo class unazozisema nazani watakua wanachemka,huwezi ukamclass mtu kulingana na anakotoka wapo watu wanakaa tandale lakini class yao ipo juu.nimewai kukutana na mtaalam mmoja kutoka UK yeye akanipa shule kidogo kuhusiana na social class,anadai kwamba class ya mtu haipimwi kwa uwezo wa mtu wa kifedha wala na hasa kwa watanzania,asema kua wapo watanzania wanafedha lakini class yao na lower na wengine ni viongozi lakini class yake by nature ni lower na wapo watu wenye maisha duni kwa maana ya uwezo mdogo wa fedha lakini class yake ni high au middle,akatoa mfano wa mhe.PM kwamba yule yupo kwenye lower class.kwa hiyo wapo watu wanatokea mbagala lakini ni high class,kwa kanisani wao wanatumia mtoa sadaka ya fedha nying ndio wanajua huju ni wa kukaa mbele na automatically masikini hasa wa kitanzania anatabia ya kujishusha hiyo utakuta mwenyewe anajipeleka nyuma.
Lakini kwa imani yangu mimi sidhani kama mungu anaibariki hii kitu,binafsi sipendi kumdhalau mtu au kumshusha mtu kwa sababu ambazo zipo nje ya uwezo wako kama kifedha,umasikinki,ukilema,rangi,elimu,na nk na mimi pia sipendi kufanyiwa hivyo na wala kumnyeyekea mtu kwa sababu ananizidi uwezo au vitu vingine nilivyotaja hapo juu
eee mungu tazama uwezo wetu ni mdogo je ni wapi tutaenda kukuabudu?kuombewa?ikiwa hata viongozi wa makanisa wa tubagua masikini.Kweli umasikini mbaya
 
ukiamua kujitisha kwa kufikiria maswala ya uchawi unaweza.ukifiri unalogwa basi huwa hivyo, ukifikili mtu anapita kona ya ukuta basi ubongo nao huifadhi hiyo kumbukumbu. kwani Aliwazalo mjinga humtokea na ujinga una fani nyingi kama unavyoona fani za udaktari na uhandisi. tuachane na uongo wa uchawi kwani maendeleo tutayasikia tu.tuwekeze kwenye sayansi.
 
ukiamua kujitisha kwa kufikiria maswala ya uchawi unaweza.ukifiri unalogwa basi huwa hivyo, ukifikili mtu anapita kona ya ukuta basi ubongo nao huifadhi hiyo kumbukumbu. kwani Aliwazalo mjinga humtokea na ujinga una fani nyingi kama unavyoona fani za udaktari na uhandisi. tuachane na uongo wa uchawi kwani maendeleo tutayasikia tu.tuwekeze kwenye sayansi.

mkuu wewe ni mmoja wao nini?
 
Mkuu Majimoto kama mkuu wa wachawi wote East Africa kafariki nani atachukua nafasi yake? Na inakuwaje huo mlango wake wa swimming pool ambao alikuwa anatumia kwenda kuzimu?

Mtoto wake kachukua mikoba ya baba yake.
 
Mkuu Majimoto nimeshasikia kwa watu kwamba hapa Tanzania kuna mawe ambayo yanapigiwa ngoma na kucheza, Je hii ni kweli ama ni uzushi na kama ni kweli ni majini? :noidea::noidea:

Yapo Ukerewe, Mwanza. Ni madhabahu za wachawi
 
Viongozi ni wateja wazuri, lakini idadi yao siyo kubwa

Viongozi gani wenye idadi ndogo, wa kidini? kama ni wa kisiasa nadhani wanawazidi hata wafanyabiashara, ni wengi mno, nenda Bagamoyo kaulize ni nani hasa wanaenda huko utakuja na findings tofauti kabisa na hizi za sasa.
 
Hii sredi nimeivumbua jana make mi si mwenyeji sana JF na nimesoma page zote 1 -25 kusema kweli sina cha kusema ngoja nitafakari angalau wiki nijue pa kuanzia,,, make mimi ni mshabiki mkubwa wa filami za ki Nigeria na kama mnavyojua almost more than 75% ya filamu hizi huonesha mambo ya kishawi,kutokana na fitina, wivu, kutaka utajiri wakatimwingine hata mapenzi na mwisho wake huwa tunaona neno la Mwenyezi mungu linaingilia na kuufunika huo uchawi. kusema kweli hua na nafikiri ni maigizo tu kumbe kuna uhalisia wake sana. kuhusu huyu bwana MAJIMOTO !!!! Duh!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom