Biashara ya Vanilla, Tshs 850,000 kwa kilo; Kuna nini nyuma ya tangazo hili?

Biashara ya Vanilla, Tshs 850,000 kwa kilo; Kuna nini nyuma ya tangazo hili?

Huyo mkurugenzi sura yake na pozi wakati akitangaza lazima upate uwalakini
Mkurugenzi jana nimeona anatangaza fursa nyingine.....hahahaha! Vitunguu swaumu, eti soko anatafuta yeye wewe kazi yako ni kukodi shamba, pembejeo, mbegu, nk ni juu yake, picha anaweka za India kwa msaada wa google ..ila mara hii naona uso wake umetakata Sana, kanawiri!

Watanzania kuna kitu tumewekewa vichwani mwetu na kinasambaa kupitia kizazi!
 
Mkurugenzi jana nimeona anatangaza fursa nyingine.....hahahaha! Vitunguu swaumu, eti soko anatafuta yeye wewe kazi yako ni kukodi shamba, pembejeo, mbegu, nk ni juu yake, picha anaweka za India kwa msaada wa google ..ila mara hii naona uso wake umetakata Sana, kanawiri!

Watanzania kuna kitu tumewekewa vichwani mwetu na kinasambaa kupitia kizazi!
Hii thread ni wake-up call, kama watu wataingia kichwa kichwa, wakisha pigwa wasitulaumu. We have played our role
 
Nawasikilizaga weee nabaki nacheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani
1. Wakupe shamba
2. Pembejeo
3. Mwangalizi/kibarua wakukufanyia kazi kama upo mbali
Halafu wewe uvune faida ukiwa Dar??

Nanusa harufu ya kupigwa hapa.

Km wanapemnejeo, mashamba, vibarua, madawa na mbegu kwanini wasifanye wao.

Hii itakua kama Mr. Kuku
Mkuu Alvin A., hayo maswali yako ya msingi kuhusu kilimo/ biashara ya vanilla hakuna mtu aliyeyajibu mpaka sasa
 
Umesahau ya songea mkuu yule jamaa aliye nunua mahind kwa Bei kubwa na kuuza kwa Bei ndogo

Had makamu wa Rais ambaye Rais Sasa alienda na kumpongeza jamaa

Watanzania tusiwe wasahaulifu jaman

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Km huyu jamaa wa Vanilla village atakuwa amewaingiza Chaka viongozi wote waliokwenda pale, basi kuna walakini ktk mbongo za viongozi wetu
 
Nini kilimkuta mkuu
Jamaa aliwatapeli wananchi mahind tani nying za kutosha na kwenda kuziuza nchi jiran ya Kenya na wananchi hawakupta chochote had leo hii

Kwan malipo yake yalikuwa ukisha pima mahind yako malipo yako baada ya siku 2 naye akatumia mwanya huo kutokomea na mahind

Nasikia alidakwa


Q net ilizinduliwa na Dr khamis kigwangala ...



Mr kuku .. wazir wa uwekezaji wa wakat huo alitimiza vijana wawekeze kwa mwamba wa kuku





Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa aliwatapeli wananchi mahind tani nying za kutosha na kwenda kuziuza nchi jiran ya Kenya na wananchi hawakupta chochote had leo hii

Kwan malipo yake yalikuwa ukisha pima mahind yako malipo yako baada ya siku 2 naye akatumia mwanya huo kutokomea na mahind

Nasikia alidakwa


Q net ilizinduliwa na Dr khamis kigwangala ...



Mr kuku .. wazir wa uwekezaji wa wakat huo alitimiza vijana wawekeze kwa mwamba wa kuku





Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Peramiho yetu Uko deep sana kwa kweli na nakupongeza kwa kuweka mifano hai. Sasa hawa wanakwenda kichwa kichwa hasa wastaafu wa PSSSF sisi tumefanya kazi yetu. Wakilizwa na Simon Mkondya wasije kutusumbua
 
kuna kamsemo kanasema "ukiitwa kwenye fursa jua wewe ndo fursa" I think this is a fit project for this saying to apply..guys lets watch out...japo kuna mtu atakuja kusema the higher the risk, the higher the profit😅
 
Hiyo ni fikra ya kizamani sana. Lima kwa kutumia teknolojia ya kisasa na utaona faida yake.

Nani mwenye hiyo teknolojia bongo hii? Wakulima kila siku wanalalamika unadhani hawajui hizo ngonjera za teknolojia?
 
Back
Top Bottom