Biashara ya Vanilla, Tshs 850,000 kwa kilo; Kuna nini nyuma ya tangazo hili?

Biashara ya Vanilla, Tshs 850,000 kwa kilo; Kuna nini nyuma ya tangazo hili?

Market ya leo ni tofauti na market three years down the line..., ni unpredictable, kama nina uwezo wa kupata leo product kwanini nisiuze iliyopo huku naendelea kutengeneza yangu siku nikipata yangu napunguza costs za ununuzi.., kuhusu organic na quality sikatazwi kununua mchichi na kuianika au ku-inspect the products..

Sikatai chochote kile ila kama wenye samaki wanao uwezo wa kunitafutia soko kwa bei mara tatu nikivuna sioni kwanini wakatae kununua kwa bei ya robo tatu leo kama soko lipo...

Mkuu hapo kuna biashara za aina tatu with zero risk involved hata mimi nikipata watu tafanya hio biashara ambayo soko ni guaranteed...

Moja kuuza ujenzi wa vizimba.
Mbili Kuuza mbegu ya samaki wangu
Tatu nina uhakika takuwa pia nina soko la chakula changu cha samaki kwa hao wateja

RISK Involved kwangu ni Zero..., sababu ukivuna samaki unakaniuzia ninatafuta soko..., wakifa hio ni hasara yako, Yaani hapa muwekezaji ameondoa risk factor to zero (hata risk yoyote); Tena hapo watakwambia tutanunua quality fulani na kilo kadhaa amabazo inabidi uzifikishe, kumbuka kuna risk badala ya kupata kilo 5000 huenda usipate baada ya magonjwa kuondoa samaki wako wote.., au wengine wakafubaa na wasikue required weight hata kwa miaka mitatu

Tofauti na hawa wanaokulimia, wanapalilia na kufanya kila kitu (risk ipo upande wao)
Tatizo ni lile lile tu, watu wanaogopa kuchukua risks kwanza kwa vile ni utaratibu mpya wa biashara na uwekezaji (tukikubaliana kuuita hivyo) na pili ni kwa sababu ya kiasi "kikubwa" cha fedha za kuwekeza na tatu ni juu ya "mapesa meeeengi" unayo ambiwa utapata baada ya "mavuno" aidha ya vanilla au mahindi au samaki! Akili ya non risk taker haielewi wala haikubaliani na the concept na matokeo yake. Hili ndio tatizo na chanzo cha wasiwasi na kuishia kwenye name - calling. Yote haya yanasindikizwa na umaskini wa kipato kwa jamii yetu kiasi cha kufanya haya yote - uwekezaji huu na matokeo yake - kuwa njozi na ndoto za mchana kama siyo za Alinacha! Na kuishia kutoa majibu mepesi ya DECI au Matapeli!
 
Tatizo ni lile lile tu, watu wanaogopa kuchukua risks kwanza kwa vile ni utaratibu mpya wa biashara na uwekezaji (tukikubaliana kuuita hivyo) na pili ni kwa sababu ya kiasi "kikubwa" cha fedha za kuwekeza na tatu ni juu ya "mapesa meeeengi" unayo ambiwa utapata baada ya "mavuno" aidha ya vanilla au mahindi au samaki! Akili ya non risk taker haielewi wala haikubaliani na the concept na matokeo yake. Hili ndio tatizo na chanzo cha wasiwasi na kuishia kwenye name - calling. Yote haya yanasindikizwa na umaskini wa kipato kwa jamii yetu kiasi cha kufanya haya yote - uwekezaji huu na matokeo yake - kuwa njozi na ndoto za mchana kama siyo za Alinacha! Na kuishia kutoa majibu mepesi ya DECI au Matapeli!
Niwekee hapa majina na Namba zao wakulima waliofanikiwa kuuza vanilla kwa bei hiyo. Itabidi tufanye validation, ila hizi ngonjera zenu mtawapata wajinga tu.
 
Kama soko lipo la uhakika na wao wana upingufu wa fedha kwa nini wasiandike project proposal then waende benki za commercial wakachukue fedha?

Tusichoshane, hii ni DECI kwa sura ya kilimo
Hakuna kuchoshana hapa kwani hakuna aliyeitwa au kulazimishwa kuchangia kwenye hili, ila ni suala la kujaribu kuangalia facts kama zilivyo kwenye suala hili. Kama kuna watu kule Songea walilizwa na huyu Simon Mkondya then hilo ni tatizo lao na wanao wajibu wakujipambania aidha kisheria au kivingine ili wapate haki yao. Suala la kupata mkopo Benki ni hoja nyingine ambayo hapa siyo mahali pake kwa sasa ila hilo nalo siyo rahisi kama usemavyo, mbona wenye viwanda wana tafuta wana hisa, kwa kuuza hisa huko DSE, kwa nini wasiandke hizo proposals na wakope Benki?
 
Tatizo ni lile lile tu, watu wanaogopa kuchukua risks kwanza kwa vile ni utaratibu mpya wa biashara na uwekezaji (tukikubaliana kuuita hivyo) na pili ni kwa sababu ya kiasi "kikubwa" cha fedha za kuwekeza na tatu ni juu ya "mapesa meeeengi" unayo ambiwa utapata baada ya "mavuno" aidha ya vanilla au mahindi au samaki! Akili ya non risk taker haielewi wala haikubaliani na the concept na matokeo yake. Hili ndio tatizo na chanzo cha wasiwasi na kuishia kwenye name - calling. Yote haya yanasindikizwa na umaskini wa kipato kwa jamii yetu kiasi cha kufanya haya yote - uwekezaji huu na matokeo yake - kuwa njozi na ndoto za mchana kama siyo za Alinacha! Na kuishia kutoa majibu mepesi ya DECI au Matapeli!
Mkuu kinachouzwa na kinachofanyika sicho kinachosemwa..., Huu mfumo ulikuwepo kwenye Sungura kuuziwa mbegu, mabanda na chakula cha Sungura ili wakizaliwa utafutiwe soko kwa Tshs elfu 30 kila sungura...

Kwa mwenye mfumo business model yake ni kuuza chakula, mabanda na hizo mbegu za Sungura with Zero Risk hata akinunua kwa elfu 30 anakuwa ame-offset , cost nyingine zote with zero risk... Sababu kama product (Sungura) wangekuwa na soko kweli la elfu 30 kwa kilo, asingekataa watu wa vijijini ambao wangeweza kupata na kuwauzia Sungura hao kwa elfu 10...

Kwa hao wa Kuku na Samaki pia hio ndio business model yao, ingawa hao sidhani kama watakataa mtu ambaye hawakumuuzia mbegu kuwauzia hao kuku na samaki kama bei ipo accordingly, watu wakianza kuchagua wanunuzi hapo jiulize kwamba huenda the soko sio kubwa kama wanavyodai..

Sasa hawa wa Vanilla wanauza nini ? Kununua Kilo Moja ya Vanilla Miaka kadhaa ijayo kwa Bei waliyosema ?, Kama ndio basi hapa biashara sio Vanilla per se.., bali ni pesa wanazopata leo kwa ku-offset kwamba miaka kadhaa ijayo hata wakinunua kwa hio Bei huenda bado waka-break even (At Best) at worse ni everything kwenda Pear Shaped na wao na wanahisa wote kwenda belly up (sisemi watu wafanye au wasifanye, bali ni Busara kujua the ins and outs ya kipi mtu anaingia)..., Sababu kama wangekuwa na masoko ya kutosha kwa bei hio ya sasa, hakuna cha kuwazuia kununua kwa watu na kuuza
 
Nisiwachoshe bure nitaandika kifupi sana. Kuna tangazo limepata airtime kubwa kwenye ITV kuhusu Vanilla International inayo promote kilimo cha vanilla wilayani Njombe. Bottom line ni bei ya soko ya kilo moja kuwa ni Tsh 850,000.

Wasiwasi wangu:
1. Kama faida ni kubwa hivyo kwa nini wasilime wenyewe kwa vile wanajuwa soko lilipo?

2. Ile methali ya kizuri chajiuza, na kibaya chajitembeza, je ina apply hapa?

3. Kuna watu wanalima vanilla Mkoa wa Kagera wanadai kuwa hata mteja wa kumuuzia kilo moja kwa Tsh 50,000 hawampati.

4. Kwa nini wanatangaza "faida" tu mfano bei nzuri na hawatangazi "changamoto" zinazoendana na biashara hii?

5. Naiona kama DESI watu wanaweza kupigwa hela hapa.

Wajuzi tufahamisheni
Hilo ni tangazo brother!! Yaan ni sawa na utake Vodacom kwenye matangazo yao waanze kukwambia kwamba mb zao zinaisha mapema au coca cola wakwambie kwamba soda siyo nzur kwa afya!!!

Marketing ni kucheza na akili za watu...hapa duniani ni "kutumiana" so na wewe tafuta maboya wako "watumie" tu
 
Mkuu kinachouzwa na kinachofanyika sicho kinachosemwa..., Huu mfumo ulikuwepo kwenye Sungura kuuziwa mbegu, mabanda na chakula cha Sungura ili wakizaliwa utafutiwe soko kwa Tshs elfu 30 kila sungura...

Kwa mwenye mfumo business model yake ni kuuza chakula, mabanda na hizo mbegu za Sungura with Zero Risk hata akinunua kwa elfu 30 anakuwa ame-offset , cost nyingine zote with zero risk... Sababu kama product (Sungura) wangekuwa na soko kweli la elfu 30 kwa kilo, asingekataa watu wa vijijini ambao wangeweza kupata na kuwauzia Sungura hao kwa elfu 10...

Kwa hao wa Kuku na Samaki pia hio ndio business model yao, ingawa hao sidhani kama watakataa mtu ambaye hawakumuuzia mbegu kuwauzia hao kuku na samaki kama bei ipo accordingly, watu wakianza kuchagua wanunuzi hapo jiulize kwamba huenda the soko sio kubwa kama wanavyodai..

Sasa hawa wa Vanilla wanauza nini ? Kununua Kilo Moja ya Vanilla Miaka kadhaa ijayo kwa Bei waliyosema ?, Kama ndio basi hapa biashara sio Vanilla per se.., bali ni pesa wanazopata leo kwa ku-offset kwamba miaka kadhaa ijayo hata wakinunua kwa hio Bei huenda bado waka-break even (At Best) at worse ni everything kwenda Pear Shaped na wao na wanahisa wote kwenda belly up (sisemi watu wafanye au wasifanye, bali ni Busara kujua the ins and outs ya kipi mtu anaingia)..., Sababu kama wangekuwa na masoko ya kutosha kwa bei hio ya sasa, hakuna cha kuwazuia kununua kwa watu na kuuza
Kuna mwana JF mmoja nadhani anaitwa jfmkenda97 analo soko la vanilla anaitafuta, anataka kilo 100 - mbichi au iliyokauka. Masoko hayo!
 
Nisiwachoshe bure nitaandika kifupi sana. Kuna tangazo limepata airtime kubwa kwenye ITV kuhusu Vanilla International inayo promote kilimo cha vanilla wilayani Njombe. Bottom line ni bei ya soko ya kilo moja kuwa ni Tsh 850,000.

Wasiwasi wangu:
1. Kama faida ni kubwa hivyo kwa nini wasilime wenyewe kwa vile wanajuwa soko lilipo?

2. Ile methali ya kizuri chajiuza, na kibaya chajitembeza, je ina apply hapa?

3. Kuna watu wanalima vanilla Mkoa wa Kagera wanadai kuwa hata mteja wa kumuuzia kilo moja kwa Tsh 50,000 hawampati.

4. Kwa nini wanatangaza "faida" tu mfano bei nzuri na hawatangazi "changamoto" zinazoendana na biashara hii?

5. Naiona kama DESI watu wanaweza kupigwa hela hapa.

Wajuzi tufahamisheni
Huo utakuwa ni uongo,labda iwe kwamba eka 1 inatoa kilo 3 za vanila.otherwise serkali iingilie kati kama kuna upotoshaji
 
Mkuu kinachouzwa na kinachofanyika sicho kinachosemwa..., Huu mfumo ulikuwepo kwenye Sungura kuuziwa mbegu, mabanda na chakula cha Sungura ili wakizaliwa utafutiwe soko kwa Tshs elfu 30 kila sungura...

Kwa mwenye mfumo business model yake ni kuuza chakula, mabanda na hizo mbegu za Sungura with Zero Risk hata akinunua kwa elfu 30 anakuwa ame-offset , cost nyingine zote with zero risk... Sababu kama product (Sungura) wangekuwa na soko kweli la elfu 30 kwa kilo, asingekataa watu wa vijijini ambao wangeweza kupata na kuwauzia Sungura hao kwa elfu 10...

Kwa hao wa Kuku na Samaki pia hio ndio business model yao, ingawa hao sidhani kama watakataa mtu ambaye hawakumuuzia mbegu kuwauzia hao kuku na samaki kama bei ipo accordingly, watu wakianza kuchagua wanunuzi hapo jiulize kwamba huenda the soko sio kubwa kama wanavyodai..

Sasa hawa wa Vanilla wanauza nini ? Kununua Kilo Moja ya Vanilla Miaka kadhaa ijayo kwa Bei waliyosema ?, Kama ndio basi hapa biashara sio Vanilla per se.., bali ni pesa wanazopata leo kwa ku-offset kwamba miaka kadhaa ijayo hata wakinunua kwa hio Bei huenda bado waka-break even (At Best) at worse ni everything kwenda Pear Shaped na wao na wanahisa wote kwenda belly up (sisemi watu wafanye au wasifanye, bali ni Busara kujua the ins and outs ya kipi mtu anaingia)..., Sababu kama wangekuwa na masoko ya kutosha kwa bei hio ya sasa, hakuna cha kuwazuia kununua kwa watu na kuuza
Kuna mwana JF mmoja nadhani anaitwa jfmkenda97 analo soko la vanilla anaitafuta, anataka kilo 100 - mbichi au iliyokauka. Masoko hayo!
Kwa Bei gani ?, Sawa na ya hawa Wadau ?
Hakusema bei ila utafute uzi wake kwenye jukwaa la biashara utampata na muwasiliane!
 
Hakuna kuchoshana hapa kwani hakuna aliyeitwa au kulazimishwa kuchangia kwenye hili, ila ni suala la kujaribu kuangalia facts kama zilivyo kwenye suala hili. Kama kuna watu kule Songea walilizwa na huyu Simon Mkondya then hilo ni tatizo lao na wanao wajibu wakujipambania aidha kisheria au kivingine ili wapate haki yao. Suala la kupata mkopo Benki ni hoja nyingine ambayo hapa siyo mahali pake kwa sasa ila hilo nalo siyo rahisi kama usemavyo, mbona wenye viwanda wana tafuta wana hisa, kwa kuuza hisa huko DSE, kwa nini wasiandke hizo proposals na wakope Benki?
Wewe CHIEF MASALAKULANGWA, I bet ni mmoja wapo wa wasanii wa hiyo Vanilla International, si kwa kuumiza kichwa huko kutetea wizi wa mchana
 
Tuanze na wewe, je shamba lako liko wapi? Japo tuone unavyofanikiwa. Wengi wa aina yako ni "motivational speakers"
Mimi nimewekeza Vanilla village kwenye eneo la 40 sq.m kwa shilingi milioni mbili (2mi/=) na nimepandiwa miche arobaini (40) na ikistawi nitapata at the lowest kilo tatu kwa mche na nitauza Vanilla mbichi kwa sh.150,000/= kwa kilo moja. Non risk takers CHEKENI NA KUITA MAJINA yoyote. Sisi tunasonga mbele kama tulivyo nunua hisa za JATU. UPO!?
 
Wewe CHIEF MASALAKULANGWA, I bet ni mmoja wapo wa wasanii wa hiyo Vanilla International, si kwa kuumiza kichwa huko kutetea wizi wa mchana
Karaga baho! Kama wasemavyo Wazaramo sisi tunasonga mbele. Mimi ni mwekezaji huko Vanilla Village kwenye a 40 sq.m greenhouse yenye miche 40! Wewe piga sisasa humu JF ingawa nafahamu shida ni income poverty SIYO utapeli mnaofikiria kwa kufikirika1
 
Nawasikilizaga weee nabaki nacheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani
1. Wakupe shamba
2. Pembejeo
3. Mwangalizi/kibarua wakukufanyia kazi kama upo mbali
Halafu wewe uvune faida ukiwa Dar??

Nanusa harufu ya kupigwa hapa.

Km wanapemnejeo, mashamba, vibarua, madawa na mbegu kwanini wasifanye wao.

Hii itakua kama Mr. Kuku
Hao Kama jatu kabisa[emoji23][emoji23]
 
Serikali bwana. Yaan wameshindwa kutafuta soko zuri kwa wakulima wa zao hili zaidi ya 10000 huko kagera wanaenda kuhimiza pengine.
Kwa nini serikali ndio itafute masoko? wakulima wenyewe na wadau wao wana uwezo huo kama hawawezi basi kuna uzembe au hawako serious, connections ya masoko yote ipo online, tuache kutegemea serikali kila kitu
 
Kuna matapeli kutoka Kagera wanakuja kunifundisha kilimo hiki na pia wanakuja na Miche, eti niwalipe milioni tatu kwanza kisha milioni saba niwamalizie wakimaliza kupanda. Manina zao
Duuuh, pesa yote hiyo? Shamba Lina ukubwa gani?
 
Mimi nimewekeza Vanilla village kwenye eneo la 40 sq.m kwa shilingi milioni mbili (2mi/=) na nimepandiwa miche arobaini (40) na ikistawi nitapata at the lowest kilo tatu kwa mche na nitauza Vanilla mbichi kwa sh.150,000/= kwa kilo moja. Non risk takers CHEKENI NA KUITA MAJINA yoyote. Sisi tunasonga mbele kama tulivyo nunua hisa za JATU. UPO!?
Issue yangu ndio inakuja hapo..., hivi kweli kwa sasa huko Bukoba n.k. huwezi kupata Vanilla mbichi chini ya 150K? kama ndio unaweza kwanini wakati unasubiri usichukue hizo Vanilla kwa hao wadau na kupeleka huko kwenye soko lako la 150K kwa Kg?

Issue yangu hapa ni pricing, huenda hao wakakupa prices nzuri zaidi kulingana na longterm investment yako n.k. ila sio necessarily bei ya soko ikawa hio
 
Back
Top Bottom