Biashara ya Vanilla, Tshs 850,000 kwa kilo; Kuna nini nyuma ya tangazo hili?

Biashara ya Vanilla, Tshs 850,000 kwa kilo; Kuna nini nyuma ya tangazo hili?

Nani mwenye hiyo teknolojia bongo hii? Wakulima kila siku wanalalamika unadhani hawajui hizo ngonjera za teknolojia?
Kulalamika peke yake hakusaidii, kuchukua hatua ndiyo kutakupeleka mbele.

Shida ya kilimo cha kwetu, kwanza vijana hawapendi kujishughulisha na kazi hiyo, imebakia ya wazee huko vijijini. Unataarajia utapata maendeleo yo yote?

Pili, hapa kwetu kila mtu ni mtaalamu wa kilimo, yaani ukichoka maisha tu unakwenda kwenye kilimo. Hiyo siyo sawa. Kilimo ni taaluma kama kazi nyingine.

Angalia hata vijana wachache wanaofanya kazi ya kilimo (ya uhakika) uone mafanikio yao.
 
Nisiwachoshe bure nitaandika kifupi sana. Kuna tangazo limepata airtime kubwa kwenye ITV kuhusu Vanilla International inayo promote kilimo cha vanilla wilayani Njombe. Bottom line ni bei ya soko ya kilo moja kuwa ni Tsh 850,000.

Wasiwasi wangu:
1. Kama faida ni kubwa hivyo kwa nini wasilime wenyewe kwa vile wanajuwa soko lilipo?

2. Ile methali ya kizuri chajiuza, na kibaya chajitembeza, je ina apply hapa?

3. Kuna watu wanalima vanilla Mkoa wa Kagera wanadai kuwa hata mteja wa kumuuzia kilo moja kwa Tsh 50,000 hawampati.

4. Kwa nini wanatangaza "faida" tu mfano bei nzuri na hawatangazi "changamoto" zinazoendana na biashara hii?

5. Naiona kama DESI watu wanaweza kupigwa hela hapa.

Wajuzi tufahamisheni
Kuna watu wameshalizwa uko njombe, wako kwa RPC kudai pesa zao.
 
B
Nisiwachoshe bure nitaandika kifupi sana. Kuna tangazo limepata airtime kubwa kwenye ITV kuhusu Vanilla International inayo promote kilimo cha vanilla wilayani Njombe. Bottom line ni bei ya soko ya kilo moja kuwa ni Tsh 850,000.

Wasiwasi wangu:
1. Kama faida ni kubwa hivyo kwa nini wasilime wenyewe kwa vile wanajuwa soko lilipo?

2. Ile methali ya kizuri chajiuza, na kibaya chajitembeza, je ina apply hapa?

3. Kuna watu wanalima vanilla Mkoa wa Kagera wanadai kuwa hata mteja wa kumuuzia kilo moja kwa Tsh 50,000 hawampati.

4. Kwa nini wanatangaza "faida" tu mfano bei nzuri na hawatangazi "changamoto" zinazoendana na biashara hii?

5. Naiona kama DESI watu wanaweza kupigwa hela hapa.

Wajuzi tufahamisheni
.....eeeh...1+2=12 ...!
 
Nawasikilizaga weee nabaki nacheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani
1. Wakupe shamba
2. Pembejeo
3. Mwangalizi/kibarua wakukufanyia kazi kama upo mbali
Halafu wewe uvune faida ukiwa Dar??

Nanusa harufu ya kupigwa hapa.

Km wanapemnejeo, mashamba, vibarua, madawa na mbegu kwanini wasifanye wao.

Hii itakua kama Mr. Kuku
Upatu mkuu
 
Nisiwachoshe bure nitaandika kifupi sana. Kuna tangazo limepata airtime kubwa kwenye ITV kuhusu Vanilla International inayo promote kilimo cha vanilla wilayani Njombe. Bottom line ni bei ya soko ya kilo moja kuwa ni Tsh 850,000.

Wasiwasi wangu:
1. Kama faida ni kubwa hivyo kwa nini wasilime wenyewe kwa vile wanajuwa soko lilipo?

2. Ile methali ya kizuri chajiuza, na kibaya chajitembeza, je ina apply hapa?

3. Kuna watu wanalima vanilla Mkoa wa Kagera wanadai kuwa hata mteja wa kumuuzia kilo moja kwa Tsh 50,000 hawampati.

4. Kwa nini wanatangaza "faida" tu mfano bei nzuri na hawatangazi "changamoto" zinazoendana na biashara hii?

5. Naiona kama DESI watu wanaweza kupigwa hela hapa.

Wajuzi tufahamisheni
Mkiingia nao makubaliano, HAKUNA MIKATABA YA KISHERIA au ni kwa kuaminiana tu!? Halafu, labda kwa ufupi sana nami nichangie kidogo. Hao Vanilla International wana alika wawekezaji! Wanataka wakusanye mtaji ili kuendesha kilimo hicho, wenyewe hawana mtaji wa kuweza labda KUKIDHI SOKO WALILO NALO! I am just thinking aloud on paper here in JF.

Inawezekana wanatafuta nguvu za ziada kutoka kwa wenye hela zao ili wakidhi soko la Vanilla. Kuhusu hiyo bei, nimewahi kumskia mkulima wa Vanilla wa Pemba akizungumza na ITV via kipindi cha "Shamba Lulu" cha Abdallh Mwaipaya (sasa ni DC somewhere) akisema bei ya zao hili iko juu duniani. Vanilla mbichi yeye anauza kwa shilingi 150,000/= hadi 400,000/= kwa kilo! Tafuteni hiyo clip na mtafuteni huyo mkulima kwa taarifa zaidi kwani kaweka hadi simu yake. Nashauri tusikatishane tamaa humu JF kabla au bila kufanya utafiti wa masuala haya.
 
Nawasikilizaga weee nabaki nacheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani
1. Wakupe shamba
2. Pembejeo
3. Mwangalizi/kibarua wakukufanyia kazi kama upo mbali
Halafu wewe uvune faida ukiwa Dar??

Nanusa harufu ya kupigwa hapa.

Km wanapemnejeo, mashamba, vibarua, madawa na mbegu kwanini wasifanye wao.

Hii itakua kama Mr. Kuku
We baki unacheka tu, ila jaribu kufanya utafiti kidogo, usibaki UNACHEKA TU! Ila ukweli ni kuwa, ardhi, pembejeo, wafanya kazi, madawa, mbegu, vifaa vya ujenzi wa hizo Greenhouses n.k n.k. vinahitaji PESA. Labda wao, hao Vanilla International, labda wana soko la uhakika na linalo hitaji makilo mengi ya Vanilla, LAKINI hawana PESA! Sasa wafanyeje kufikia malengo yao, labda wakaona njia rahisi ni KUKARIBISHA WAWEKEZAJI (hii ni kama wale wanaokaribisha watu wanunue hisa huko DSE ili wapate fedha za aidha kuanzisha au kupanua kiwanda n.k. n.k.hakuna tofauti hapa!). Nahisi hiyo ndiyo approach yao hapa. Vinginevyo tusubiri tuone na wengine TUBAKI TANACHEKA!
 
Mkiingia nao makubaliano, HAKUNA MIKATABA YA KISHERIA au ni kwa kuaminiana tu!? Halafu, labda kwa ufupi sana nami nichangie kidogo. Hao Vanilla International wana alika wawekezaji! Wanataka wakusanye mtaji ili kuendesha kilimo hicho, wenyewe hawana mtaji wa kuweza labda KUKIDHI SOKO WALILO NALO! I am just thinking aloud on paper here in JF.

Inawezekana wanatafuta nguvu za ziada kutoka kwa wenye hela zao ili wakidhi soko la Vanilla. Kuhusu hiyo bei, nimewahi kumskia mkulima wa Vanilla wa Pemba akizungumza na ITV via kipindi cha "Shamba Lulu" cha Abdallh Mwaipaya (sasa ni DC somewhere) akisema bei ya zao hili iko juu duniani. Vanilla mbichi yeye anauza kwa shilingi 150,000/= hadi 400,000/= kwa kilo! Tafuteni hiyo clip na mtafuteni huyo mkulima kwa taarifa zaidi kwani kaweka hadi simu yake. Nashauri tusikatishane tamaa humu JF kabla au bila kufanya utafiti wa masuala haya.
Kama wana soko kubwa kuliko kuhangaika kuanza kulima leo na kusubiri miaka mitatu kwanini wasianze kuchukua hizo ambazo zipo sokoni tayari kwa bei hata pungufu ya hapo ?
 
Kama wana soko kubwa kuliko kuhangaika kuanza kulima leo na kusubiri miaka mitatu kwanini wasianze kuchukua hizo ambazo zipo sokoni tayari kwa bei hata pungufu ya hapo ?
Sawa huo unaitwa ULANGUZI au UDALALI na kwenye biashara inaruhusiwa ILA inategemea na SOKO LAKO! Masoko mengine wanataka aidha ORGANIC or NON - ORGANIC products or produces na kwa wingi fulani na kwa muda fulani. Katika hali hiyo na masharti hayo, kwa nini, kama unaweza usiingie shambani tu, ukalima kwa njia yoyote ile ikiwa ni pamoja na hiyo ya kukaribisha "wana hisa au wawekezaji binafsi" kwa masharti ya WIN-WIN SCENARIO? Inaonekan huu ni utaratibu mpya wa uwekezaji unao ingia sasa nchini mwetu, in fact mchana huu nilkuwa nazungumza na wafuga samaki kwenye vizimba huko Mwanza nao wanatumia utaratibu huu, na hii ni baada ya kumuona Mzee Mecki Sadiki (former RC wetu hapa Dar-es-Salaam) akilielezea hili kwenye TV moja na likanivutia sana.

Hawa wa samaki, kama wa Vanilla, nao wanakaribisha "wawekezaji/wana hisa"; wanakujengea kizimba chenye ukubwa wa aidha mita tano kwa mita tano (5m by 5m) au mita sita kwa sita kwa shilingi MILIONI NNE (4milioni)! Hapa ndio penye utata, pesa ndio taabu na ndio msingi wa watu kuanza kusema DECI HAO! Milioni nne si hela fupi ILA wao wanafanya kila kitu, namaanisha KILA KITU! Ikiwa ni pamoja na kukuwekea samaki au mbegu 10,000, hawa wakikua na ukivuna utapata kilo 5000 na kwa bei ya sasa hapo Mwanza ni shilingi 5000/= kwa kilo na kwa Dar-es-Salaam ni shilingi 8000/= hadi 10000/= kwa kilo! Piga hesabu hiyo ya kuzidisha na kisha ULIE NA KUPAYUKA DECI hao!
 
Kuna matapeli kutoka Kagera wanakuja kunifundisha kilimo hiki na pia wanakuja na Miche, eti niwalipe milioni tatu kwanza kisha milioni saba niwamalizie wakimaliza kupanda. Manina zao
Nisiwachoshe bure nitaandika kifupi sana. Kuna tangazo limepata airtime kubwa kwenye ITV kuhusu Vanilla International inayo promote kilimo cha vanilla wilayani Njombe. Bottom line ni bei ya soko ya kilo moja kuwa ni Tsh 850,000.

Wasiwasi wangu:
1. Kama faida ni kubwa hivyo kwa nini wasilime wenyewe kwa vile wanajuwa soko lilipo?

2. Ile methali ya kizuri chajiuza, na kibaya chajitembeza, je ina apply hapa?

3. Kuna watu wanalima vanilla Mkoa wa Kagera wanadai kuwa hata mteja wa kumuuzia kilo moja kwa Tsh 50,000 hawampati.

4. Kwa nini wanatangaza "faida" tu mfano bei nzuri na hawatangazi "changamoto" zinazoendana na biashara hii?

5. Naiona kama DESI watu wanaweza kupigwa hela hapa.

Wajuzi tufahamisheni
 
Sawa huo unaitwa ULANGUZI au UDALALI na kwenye biashara inaruhusiwa ILA inategemea na SOKO LAKO! Masoko mengine wanataka aidha ORGANIC or NON - ORGANIC products or produces na kwa wingi fulani na kwa muda fulani. Katika hali hiyo na masharti hayo, kwa nini, kama unaweza usiingie shambani tu, ukalima kwa njia yoyote ile ikiwa ni pamoja na hiyo ya kukaribisha "wana hisa au wawekezaji binafsi" kwa masharti ya WIN-WIN SCENARIO?
Market ya leo ni tofauti na market three years down the line..., ni unpredictable, kama nina uwezo wa kupata leo product kwanini nisiuze iliyopo huku naendelea kutengeneza yangu siku nikipata yangu napunguza costs za ununuzi.., kuhusu organic na quality sikatazwi kununua mchichi na kuianika au ku-inspect the products..
Inaonekan huu ni utaratibu mpya wa uwekezaji unao ingia sasa nchini mwetu, in fact mchana huu nilkuwa nazungumza na wafuga samaki kwenye vizimba huko Mwanza nao wanatumia utaratibu huu, na hii ni baada ya kumuona Mzee Mecki Sadiki (former RC wetu hapa Dar-es-Salaam) akilielezea hili kwenye TV moja na likanivutia sana.
Sikatai chochote kile ila kama wenye samaki wanao uwezo wa kunitafutia soko kwa bei mara tatu nikivuna sioni kwanini wakatae kununua kwa bei ya robo tatu leo kama soko lipo...
Hawa wa samaki, kama wa Vanilla, nao wanakaribisha "wawekezaji/wana hisa"; wanakujengea kizimba chenye ukubwa wa aidha mita tano kwa mita tano (5m by 5m) au mita sita kwa sita kwa shilingi MILIONI NNE (4milioni)! Hapa ndio penye utata, pesa ndio taabu na ndio msingi wa watu kuanza kusema DECI HAO! Milioni nne si hela fupi ILA wao wanafanya kila kitu, namaanisha KILA KITU! Ikiwa ni pamoja na kukuwekea samaki au mbegu 10,000, hawa wakikua na ukivuna utapata kilo 5000 na kwa bei ya sasa hapo Mwanza ni shilingi 5000/= kwa kilo na kwa Dar-es-Salaam ni shilingi 8000/= hadi 10000/= kwa kilo! Piga hesabu hiyo ya kuzidisha na kisha ULIE NA KUPAYUKA DECI hao!
Mkuu hapo kuna biashara za aina tatu with zero risk involved hata mimi nikipata watu tafanya hio biashara ambayo soko ni guaranteed...

Moja kuuza ujenzi wa vizimba.
Mbili Kuuza mbegu ya samaki wangu
Tatu nina uhakika takuwa pia nina soko la chakula changu cha samaki kwa hao wateja

RISK Involved kwangu ni Zero..., sababu ukivuna samaki unakaniuzia ninatafuta soko..., wakifa hio ni hasara yako, Yaani hapa muwekezaji ameondoa risk factor to zero (hata risk yoyote); Tena hapo watakwambia tutanunua quality fulani na kilo kadhaa amabazo inabidi uzifikishe, kumbuka kuna risk badala ya kupata kilo 5000 huenda usipate baada ya magonjwa kuondoa samaki wako wote.., au wengine wakafubaa na wasikue required weight hata kwa miaka mitatu

Tofauti na hawa wanaokulimia, wanapalilia na kufanya kila kitu (risk ipo upande wao)
 
Market ya leo ni tofauti na market three years down the line..., ni unpredictable, kama nina uwezo wa kupata leo product kwanini nisiuze iliyopo huku naendelea kutengeneza yangu siku nikipata yangu napunguza costs za ununuzi.., kuhusu organic na quality sikatazwi kununua mchichi na kuianika au ku-inspect the products..

Sikatai chochote kile ila kama wenye samaki wanao uwezo wa kunitafutia soko kwa bei mara tatu nikivuna sioni kwanini wakatae kununua kwa bei ya robo tatu leo kama soko lipo...

Mkuu hapo kuna biashara za aina tatu with zero risk involved hata mimi nikipata watu tafanya hio biashara ambayo soko ni guaranteed...

Moja kuuza ujenzi wa vizimba.
Mbili Kuuza mbegu ya samaki wangu
Tatu nina uhakika takuwa pia nina soko la chakula changu cha samaki kwa hao wateja

RISK Involved kwangu ni Zero..., sababu ukivuna samaki unakaniuzia ninatafuta soko..., wakifa hio ni hasara yako, Yaani hapa muwekezaji ameondoa risk factor to zero (hata risk yoyote); Tena hapo watakwambia tutanunua quality fulani na kilo kadhaa amabazo inabidi uzifikishe, kumbuka kuna risk badala ya kupata kilo 5000 huenda usipate baada ya magonjwa kuondoa samaki wako wote.., au wengine wakafubaa na wasikue required weight hata kwa miaka mitatu

Tofauti na hawa wanaokulimia, wanapalilia na kufanya kila kitu (risk ipo upande wao)
Hao wanaokulimia ni wazi mtakuwa na Mkataba wa kisheria na kuangalia risk zote hizo, sidhani unaweza kutoa mihela yako hivi hivi tu!? Haya mambo yapo ila ni suala la watu kuangalia namna ya kuminimize the risks na pia sioni biashara au any venture in life isiyo kuwa na risk, hata kuoa au kuolewa nako kuna risks au SIYO? Sasa watu wasioe au wasiolewe kwa kuomba risks!? Hapana lazima tuondokane na huu UOGA au UWOGA wa kuchukua risks! Vinginevyo hatuwezi kutoboa! Ona Wanaijeria (Nigerians) wanavyo risk na hatimaye kutoboa, wapo Nigerians wachezaji mpira hapa Bongo huko kwenye timu za Championship, this is risk taking bro!
 
Hao wanaokulimia ni wazi mtakuwa na Mkataba wa kisheria na kuangalia risk zote hizo, sidhani unaweza kutoa mihela yako hivi hivi tu!? Haya mambo yapo ila ni suala la watu kuangalia namna ya kuminimize the risks na pia sioni biashara au any venture in life isiyo kuwa na risk, hata kuoa au kuolewa nako kuna risks au SIYO? Sasa watu wasioe au wasiolewe kwa kuomba risks!? Hapana lazima tuondokane na huu UOGA au UWOGA wa kuchukua risks! Vinginevyo hatuwezi kutoboa! Ona Wanaijeria (Nigerians) wanavyo risk na hatimaye kutoboa, wapo Nigerians wachezaji mpira hapa Bongo huko kwenye timu za Championship, this is risk taking bro!
Mkuu Anything must make sense.... ngoja twende pole pole na logically...

A) Vanilla ina Bei sana na Masoko yapo ya Kumwaga, tena kwa Bei ya Juu zaidi ambayo ipo Guaranteed na Source A
B) Kama A ni sawa basi itakuwa ni Ajabu Source A akatae au asichukue Vanilla ambazo zipo tayari hata kwa bei pungufu kidogo ukizingatia yeye ana Soko Guaranteed la Kiasi cha juu cha Pesa..

C) Hivyo basi kama anakataa mzigo ambao upo tayari ni either soko sio la moja kwa moja kama anavyosema au hio bei anayosema atanunulia ni kubwa zaidi kwa sasa, ila kutokana na kile ambacho watu wanaweka sasa hivi, hio bei kwake ita-make sense..., Yaani ni kama unampa pesa leo yeye akupe interest in three years na Interest hio badala ya kukupa pesa yako na ziada atanunua mzigo wako wa Vanilla kwa Kgs kiasi fulani..., Ingawa kama hizo Kgs zisipofika sidhani kama unaweza ukamfunga sababu itakuwa ni beyond uwezo wake kuzuia Majanga kama yatatokea

Kwahio hii tunaweza kusema in Investment in Futures....
 
Mkuu Anything must make sense.... ngoja twende pole pole na logically...

A) Vanilla ina Bei sana na Masoko yapo ya Kumwaga, tena kwa Bei ya Juu zaidi ambayo ipo Guaranteed na Source A
B) Kama A ni sawa basi itakuwa ni Ajabu Source A akatae au asichukue Vanilla ambazo zipo tayari hata kwa bei pungufu kidogo ukizingatia yeye ana Soko Guaranteed la Kiasi cha juu cha Pesa..

C) Hivyo basi kama anakataa mzigo ambao upo tayari ni either soko sio la moja kwa moja kama anavyosema au hio bei anayosema atanunulia ni kubwa zaidi kwa sasa, ila kutokana na kile ambacho watu wanaweka sasa hivi, hio bei kwake ita-make sense..., Yaani ni kama unampa pesa leo yeye akupe interest in three years na Interest hio badala ya kukupa pesa yako na ziada atanunua mzigo wako wa Vanilla kwa Kgs kiasi fulani..., Ingawa kama hizo Kgs zisipofika sidhani kama unaweza ukamfunga sababu itakuwa ni beyond uwezo wake kuzuia Majanga kama yatatokea
Hawa ni matapeli tu na hawajaanza na Vanilla. Hata mahindi kuna watu huyo Simon Mkondya aliwaliza kule Songea
 
Mkiingia nao makubaliano, HAKUNA MIKATABA YA KISHERIA au ni kwa kuaminiana tu!? Halafu, labda kwa ufupi sana nami nichangie kidogo. Hao Vanilla International wana alika wawekezaji! Wanataka wakusanye mtaji ili kuendesha kilimo hicho, wenyewe hawana mtaji wa kuweza labda KUKIDHI SOKO WALILO NALO! I am just thinking aloud on paper here in JF.

Inawezekana wanatafuta nguvu za ziada kutoka kwa wenye hela zao ili wakidhi soko la Vanilla. Kuhusu hiyo bei, nimewahi kumskia mkulima wa Vanilla wa Pemba akizungumza na ITV via kipindi cha "Shamba Lulu" cha Abdallh Mwaipaya (sasa ni DC somewhere) akisema bei ya zao hili iko juu duniani. Vanilla mbichi yeye anauza kwa shilingi 150,000/= hadi 400,000/= kwa kilo! Tafuteni hiyo clip na mtafuteni huyo mkulima kwa taarifa zaidi kwani kaweka hadi simu yake. Nashauri tusikatishane tamaa humu JF kabla au bila kufanya utafiti wa masuala haya.
Kama soko lipo la uhakika na wao wana upingufu wa fedha kwa nini wasiandike project proposal then waende benki za commercial wakachukue fedha?

Tusichoshane, hii ni DECI kwa sura ya kilimo
 
Back
Top Bottom